LIPUMBA AFIKISHWA MAHAKAMANI
Mwenyekiti wa CUF, Prof. Ibrahim Lipumba akiwa kwenye kizimba cha mahakama tayari kusomewa shitaka linalomkabili.
Mwenyekiti wa CUF, Prof. Ibrahim Lipumba, akiwa kwenye chumba cha Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam, leo mchana wakati alipofika kusomewa shitaka la kesi yake ya jinai kwa kuwashawishi wafuasi wake kufanya fujo baada ya kutiwa mbaroni jana alipokuwa akiongoza maandamano ya wanachama wa CUF.
Mwenyekiti wa Chama cha Wanachi CUF, Prof Ibrahim haruna Lipumba akiwa...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili28 Jan
Profesa Lipumba afikishwa mahakamani
11 years ago
BBCSwahili01 Feb
Morsi afikishwa mahakamani Misri
9 years ago
Mwananchi03 Nov
Yeriko Nyerere afikishwa mahakamani
9 years ago
BBCSwahili01 Sep
Sambo Dasuki afikishwa mahakamani Abuja
9 years ago
Mwananchi25 Aug
Masha afikishwa mahakamani Kisutu leo
10 years ago
VijimamboLIPUMBA AFIKISHWA MAHAKAMA YA HAKIMU MKAZI KISUTU
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
LAWRENCE MASHA AFIKISHWA MAHAKAMANI JIJINI DAR
10 years ago
Bongo Movies03 Dec
INASIKITISHA: Mtunisi afikishwa mahakamani kwa kumpiga mkewe.
Mtunisi alipandishwa katika Mahakama ya Mwanzo Manzese Sinza jijini Dar es Salaam Jumatatu iliyopita, ambapo baada ya kusomewa shtaka lake la kushambulia mwili, mtuhumiwa alikana na hivyo hakimu kuahirisha kesi hiyo hadi Desemba 15 mwaka huu itakapotajwa tena.
Hata hivyo, Mtunisi alishindwa kupewa dhamana baada ya hakimu kutoridhishwa na afya ya mwanamke huyo, Aziz ambaye anaugulia nyumbani.Katika hali nyingine, walinzi wa mahakama hiyo walionyesha mizengwe mikubwa kwa waandishi wa habari...
10 years ago
GPLKOMANDOO WA JWTZ ALIYEUA MTU AFIKISHWA MAHAKAMANI DAR