LAWRENCE MASHA AFIKISHWA MAHAKAMANI JIJINI DAR
![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
Aliyewahi kuwa Waziri wa Mambo ya Ndani Lawrence Masha . Aliyewahi kuwa Waziri wa Mambo ya Ndani na Mwanachama wa CHADEMA, Lawrence Masha jana alikamatwa na Jeshi la Polisi, leo amefikishwa Mahakama ya Kisutu Jijini Dar Anashtakiwa kwa kosa la kuzuia Polisi wasitimize majukumu yao(Obstructrion of Justice)
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi25 Aug
Masha afikishwa mahakamani Kisutu leo
Waziri wa zamani wa Mambo ya Ndani, Lawrence Masha leo amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi, Kisutu jijini Dar es Salaam baada ya kukamatwa jana jioni.
10 years ago
GPLKOMANDOO WA JWTZ ALIYEUA MTU AFIKISHWA MAHAKAMANI DAR
Komando wa JWTZ aliyeua mtu mwishoni mwa wiki iliyopita, Octavian Maurus. Polisi wakiondoka mahakama ya wilaya Temeke leo na komandoo huyo.…
9 years ago
VijimamboMH.LAWRENCE MASHA NA VIONGOZI WENGINE WA CCM WAAHAMIA CHADEMA LEO
9 years ago
Mwananchi25 Aug
Masha afikishwa mahakamni Kisutu leo
Waziri wa zamani wa Mambo ya Ndani, Lawrence Masha leo amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi, Kisutu jijini Dar es Salaam baada ya kukamatwa jana jioni.
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-_HmmvaBXKUA/Vd3PGd5TkUI/AAAAAAADXPY/Rqjx3WJlQok/s72-c/IMG-20150826-WA0014.jpg)
Aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Ndani nchini, Lawrence Masha alipoachiwa baada ya kukamilisha masharti ya dhamana.
![](http://4.bp.blogspot.com/-_HmmvaBXKUA/Vd3PGd5TkUI/AAAAAAADXPY/Rqjx3WJlQok/s640/IMG-20150826-WA0014.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-G30ZG8WdwaA/Vd3QIR9KQXI/AAAAAAADXPk/LdC5jkziSIU/s1600/mashaaa_.jpg)
Masha alifikishwa mahakamani hapo jana...
10 years ago
VijimamboLIPUMBA AFIKISHWA MAHAKAMANI
9 years ago
Mwananchi03 Nov
Yeriko Nyerere afikishwa mahakamani
Mfanyabiashara, Yeriko Yohanesy Nyerere amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, akikabiliwa na mashtaka matano ya kutoa taarifa za upotoshaji kupitia mtandao wa Facebook.
10 years ago
BBCSwahili28 Jan
Profesa Lipumba afikishwa mahakamani
Mwenyekiti wa chama cha CUF nchini Tanzania Ibrahim Lipumba amefikishwa mahakamani kwa kuandamana kinyume cha sheria
11 years ago
BBCSwahili01 Feb
Morsi afikishwa mahakamani Misri
Aliyekuwa Rais wa Misri Mohammed Morsi amefikishwa mahakamani kwa mara nyingine kujibu tuhuma za kuchochea mauaji ya waandamanaji 2012
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania