MH.LAWRENCE MASHA NA VIONGOZI WENGINE WA CCM WAAHAMIA CHADEMA LEO
Kwa taarifa zilizotufikia leo kutoka Mkoani Arusha zinasema kuwa aliyewahi kuwa waziri wa mambo ya ndani Mh.Lawrence Masha kakihama Chama cha Mapinduzi na kujiunga na CHADEMA leo.Pia Wanachama wa (CCM) na viongozi ambao ni Daniel Porokwa aliyekuwa katibu wa CCM mkoani Manyara, Robinson aliyekuwa Mwenyekiti wa UVCCM Arusha, aliyekuwa Mwenyekiti wa CCM mkoa Arusha, Goodluck Sipira aliyekuwa katibu wa CCM mkoani Arusha huyu anatokea Longido, Wazee wa kimila wa kimasai pamoja na Wazee wa...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi22 Apr
Mwenezi wa Chadema Wilaya ya Meatu arudi CCM pamoja na viongozi wengine wa Chadema
![](https://ci5.googleusercontent.com/proxy/Vy0mW3LU_If27f9ioP3gkooDjE85MAK-h_rjJo3XO4dv7MGW6PMZWOyGm5h2r6CRHlDpxXkZobrU4UACc9o-uLXcVXwgb7CUH6AghePN8gz4VCzrKUezTc2AiVI7wZvNGBvTgQvp9y0Etzlvz3YtDxn-v-qPOq1-FgnFYwr8bOvsNBxILNfj2OzWYnFFDtMXW0xE5dADsSTTyXoUVpIw-v0MZVFrA1FgH-jBvGICBmUGub6tpgslPgzgTclELWH-r9S_k4tWD2-rMdXZ_rn177jjch1J0pKVFMBX-1ypb7UkYJLxUubcqsVkO6GQk9yl1x5nkFEArP82rB9MzJtViOCJe74OQSmaYQA=s0-d-e1-ft#https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F3.bp.blogspot.com%2F-fF_ne3h5XYY%2FU1YZijKrE4I%2FAAAAAAAANUk%2Flqgc3rxm7cA%2Fs1600%2FIMG-20140421-WA025.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
![](https://ci6.googleusercontent.com/proxy/oESitJrcddp3Zg5vvFIK33vREkY_KlOpt7S5Ba0mj5z1iJQKjDvdOjYfCWgk6YLaX10lTs8rsGELhSKujTyAyatbhif2451kczq_p8lufubAlG42j4_jvnC5HA0GUy9hgGPXjSFUczqHYvolzLSNtP1ZaEEPu4fK7_0QefK6lcp0OPtihQjynUEXDis8sKrc0i-ASX2TtkfYhVtqeA0K_seYwZxuaUWdudIVUDO8dIhgdxX-XMjRXDNa5vjPgAhaUTeq3lDRJWmmKZvN89EqTPZx-oy4F18P0Cg8T_ntI2foKmdCwJ9QLh0tJ0BAdT0z6aW5UlOmHVQcBAOBUZgNcolIPL8ihoL0TQI=s0-d-e1-ft#https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F2.bp.blogspot.com%2F-JmTTR7WUZE0%2FU1YaF0FhGLI%2FAAAAAAAANUs%2Fo_O5Rye9jHE%2Fs1600%2FIMG-20140421-WA027.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
![](https://ci5.googleusercontent.com/proxy/Xqe7Cv5Wn8xasPT640dJlhqVnsw0TpUiAdrED0pKIBffuP1hKbuJnfHqeXyGvLB4PAz9XN4U5Dhv_sgFZAv9N-wXE0HL-IM87imfqtOqjSuU6r3mjolnzm7kprzn3n1gsrFFeixlDXdu2imjAEBEVJnZouIDzznLmLE1EhKjUdd6RPM53kvxo3YL-KD9CZFBERyo-2pPav-CyoV6-67oQUd4FCPW5YDaqBY1871lGwZ5_I8f-EVTI5mIL4qYFdQQB_aeAQg0z9c6NX165rx21jLCwVmCnhrpPZ6jSN6zMiioTt_ju_zjHoFzkQ0Xp9xbLuJID2UyWaPoz7W4ggL1F1UQlP0F0fofLoU=s0-d-e1-ft#https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F4.bp.blogspot.com%2F-Nre6WFW95XA%2FU1YadOCl4WI%2FAAAAAAAANU0%2FzVZSH7A8Y78%2Fs1600%2FIMG-20140421-WA029.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
LAWRENCE MASHA AFIKISHWA MAHAKAMANI JIJINI DAR
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-_HmmvaBXKUA/Vd3PGd5TkUI/AAAAAAADXPY/Rqjx3WJlQok/s72-c/IMG-20150826-WA0014.jpg)
Aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Ndani nchini, Lawrence Masha alipoachiwa baada ya kukamilisha masharti ya dhamana.
![](http://4.bp.blogspot.com/-_HmmvaBXKUA/Vd3PGd5TkUI/AAAAAAADXPY/Rqjx3WJlQok/s640/IMG-20150826-WA0014.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-G30ZG8WdwaA/Vd3QIR9KQXI/AAAAAAADXPk/LdC5jkziSIU/s1600/mashaaa_.jpg)
Masha alifikishwa mahakamani hapo jana...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-RbYsQKeTGC8/U-JSpLYST_I/AAAAAAACm6Y/kpwDAWUm-S0/s72-c/w1.jpg)
RAIS KIKWETE AJIUNGA NA VIONGOZI WENGINE WA AFRIKA KATIKA MKUTANO WA VIONGOZI WA AFRIKA NA MAREKANI JIJINI WASHINGTON DC LEO
![](http://3.bp.blogspot.com/-RbYsQKeTGC8/U-JSpLYST_I/AAAAAAACm6Y/kpwDAWUm-S0/s1600/w1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/--99HsdIinyU/U-JSpsBc8zI/AAAAAAACm6c/WRZHxk6HhCQ/s1600/w2.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-DzOJdcH2t3Q/U-JSzBmSTzI/AAAAAAACm64/qIQOvCLbufI/s1600/w4.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-YPY62IRGZGM/U-JSwO_f7GI/AAAAAAACm6w/Zq2FHZgvBbQ/s1600/w5.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-jUW7OXuce9k/U-JS1Ohnr9I/AAAAAAACm7A/KnShrBQRpyA/s1600/w6.jpg)
9 years ago
Dewji Blog25 Oct
Rais wa Zanzibar pamoja na viongozi wengine wakipiga kura leo
Rais wa Zanzibar Dk. Ali Mohd Shein akitumbukiza karatasi yake ya kura kwenye sanduku maalum katika kituo cha Skuli ya msingi ya Bungi Mkoa wa kusini Unguja.
Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mwanamwema Shein akipiga kura yake katika kituo cha Skuli ya msingi ya Bungi Mkoa wa kusini Unguja.
Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Sharif Hamadi akipiga kura katika kituo cha Garagara Jimbo la Mtopepo Zanzibar.
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Idi akipiga kura yake...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-NWrG1PCyc9I/XpK-Zh_YV-I/AAAAAAABnIc/QaCxcjjr5oUauo3v8zv2s0sMCe_ilYlhACLcBGAsYHQ/s72-c/gdfhgdf.jpg)
WABUNGE WENGINE CHADEMA NA CUF MBIONI KUTIKIA CCM
![](https://1.bp.blogspot.com/-NWrG1PCyc9I/XpK-Zh_YV-I/AAAAAAABnIc/QaCxcjjr5oUauo3v8zv2s0sMCe_ilYlhACLcBGAsYHQ/s640/gdfhgdf.jpg)
Taarifa kutoka kwa baadhi ya watu waliokaribu na wabunge hao zinasema, tayari wawakilishi hao wa wananchi, wamekamilisha majadiliano na baadhi ya viongozi wakuu wa vyama wanavyotarajia kujiunga navyo.
Kwa mujibu wa mtoa taarifa wa MwanaHALISI ONLINE, hatua ya kuondoka kwa wabunge hao katika kipindi hiki cha kuelekea...
9 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-ukNw3QKRXiY/VfvtSzDeWdI/AAAAAAABVU8/F-LcUeczpf0/s72-c/12038431_785458398231803_3528898794948630829_n.png)
VIONGOZI WOTE WA CCM WA KATA YA MKOMAZI NA WAPIGA KURA 1,400 WA CCM WAHAMIA CHADEMA
![](http://3.bp.blogspot.com/-ukNw3QKRXiY/VfvtSzDeWdI/AAAAAAABVU8/F-LcUeczpf0/s640/12038431_785458398231803_3528898794948630829_n.png)
11 years ago
Dewji Blog22 Apr
CCM Meatu yazoa viongozi wa CHADEMA
-Mwenezi wa Chadema Wilaya ya Meatu arudi CCM pamoja na viongozi wengine wa Chadema
-Lugaila Madama aliyekuwa Mwenyekiti wa Chadema kata ya Mwandoya arudi CCM
-Miyeye Robert aliyekuwa mwenyekiti wa Chadema kata ya Kisesa arudi CCM
Aliyekuwa Katibu Mwenezi wa Chadema wilaya ya Meatu Kimwaga Jackson Ndibo akirudisha vitu vya Chadema zikiwemo kadi, bendera na katiba kwa viongozi wa CCM baada ya kurudi rasmi.
Mwenyekiti wa Vijana mkoa wa Simiyu na MNEC wa Itilima Ndugu Njalu Silanga...
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/09/IMG_0361.jpg)
VIONGOZI WA CHADEMA GAIRO, MIKUMI WATIMKIA CCM