HARAMBEE YA ZANCANA YAFANA
Wanajumuiya ya ZANCANA wakipata picha ya pamoja baada ya ibada ya dua maalum ya kuwaombea walioathirika na mvua za masika, nchini Tanzania
Jumuiya ya Wazanzibari waishio nchini Canada (ZANCANA), imechangisha zaidi ya Dola 1500 za Canada kwa ajili ya waathirika wa hali ya hewa nchini Tanzania.Katika taarifa yake ambayo Swahilivilla imeipata nakala yake, Zancana imesema kwamba mnamo tarehe 9 Mei, 2015, jumuiya hiyo iliandaa mkutano maalum wa wanachama wake katika jiji la Toronto nchini Canada....
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi12 May
HARAMBEE YA Jumuiya ya Wazanzibari waishio nchini Canada (ZANCANA) YAFANA
![](https://scontent-iad.xx.fbcdn.net/hphotos-xpa1/v/t34.0-12/11100651_10155511526635247_944224250_n.jpg?oh=8e6a4a704534266740676492772875b8&oe=55542DAC)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-kXmSsu4QSl4/Xt1LFMlLquI/AAAAAAALs84/thfrRBkcyTwdrLRdo7Mt5hIkUDAmdDQvgCLcBGAsYHQ/s72-c/k1.png)
HARAMBEE KUCHANGIA MIUNDOMBINIU YA SHULE YA MSINGI KASHATO MKOANI KATAVI YAFANA
Harambee ya kuchangia maendeleo ya miundombinu kwa Shule ya Msingi Kashato iliyopo Kata ya Makanyagio Halmashauri ya Manispaa ya Wilaya ya Mpanda Mkoani Katavi imeanza na tayari Diwani wa Kata hiyo Mhe. Haidari Sumri ameanza kwa vitendo kuonesha njia.
Kwa kutambua umuhimu wa elimu, Diwani Sumri amekabidhi mchango wake wa matofali 3,000 yenye thamani ya Shilingi Milioni 4 ili kuongeza miundombinu katika Shule hiyo iliyoanzishwa Mwaka 1963.
Shule ya Kashato...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-kXmSsu4QSl4/Xt1LFMlLquI/AAAAAAALs84/thfrRBkcyTwdrLRdo7Mt5hIkUDAmdDQvgCLcBGAsYHQ/s72-c/k1.png)
HARAMBEE KUCHANGIA MIUNDOMBINIU YA SHULE YA MSINGI KASHATO MKOANI KATAVI YAFANA
Harambee ya kuchangia maendeleo ya miundombinu kwa Shule ya Msingi Kashato iliyopo Kata ya Makanyagio Halmashauri ya Manispaa ya Wilaya ya Mpanda Mkoani Katavi imeanza na tayari Diwani wa Kata hiyo Mhe. Haidari Sumri ameanza kwa vitendo kuonesha njia.
Kwa kutambua umuhimu wa elimu, Diwani Sumri amekabidhi mchango wake wa matofali 3,000 yenye thamani ya Shilingi Milioni 4 ili kuongeza miundombinu katika Shule hiyo iliyoanzishwa Mwaka 1963.
Shule ya Kashato...
10 years ago
VijimamboHARAMBEE NA CHAKULA CHA JIONI JUMUIYA YA AFRIKA MASHARIKI ALBANY, NEW YORK YAFANA SANA.
Esther Brown kutoka Uganda mmoja katika uongozi wa Jumuiya ya Afrika Mashariki ya Albany, New York akitoa utambulisho kwa viongozi wa Jumuiya hiyo katika sherehe ya harambe ya chakula cha jioni ya Jumuiya ya Afrika Mashariki ya Albany jimbo la New York, Jumuiya ikiwa inajumuisha nchi tano ambazo ni Rwanda, Burundi, Tanzania, Uganda na Kenya.
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-Hsmntcqx0Jo/VYNJwbFaRQI/AAAAAAADsMw/zQlhJTYOBds/s72-c/ramadhan.jpg)
11 years ago
BBCSwahili06 Mar
Harambee stars yarejea nyumbani
11 years ago
Tanzania Daima24 Apr
Harambee ya Bugadea yakusanya mil. 8/-
SHILINGI milioni 8.8 zimekusanywa katika harambee ya kuchangia ujenzi wa Kituo cha Afya cha Buganguzi, wilayani Muleba iliyoratibiwa na Umoja wa Maendeleo ya Buganguzi (Bugadea). Akizungumza katika harambee hiyo iliyofanyika...
10 years ago
Habarileo11 Oct
Harambee ya Amref yakusanya bil. 1.9/-
HARAMBEE ya mfuko wa kampeni ya ‘Jitolee kwa ajili ya akina mama wa Afrika’, iliyoongozwa na Makamu wa Rais Dk Mohammed Gharib Bilal juzi, imewezeshakupatikanaSh bilioni 1.9, ikiwa ni zaidi ya lengo la Sh bilioni moja lililowekwa na Shirika linalojihusisha na masuala ya afya la Amref.
10 years ago
GPLSEKONDARI YA ILBORU KUFANYIWA HARAMBEE