HARAMBEE KUCHANGIA MIUNDOMBINIU YA SHULE YA MSINGI KASHATO MKOANI KATAVI YAFANA
![](https://1.bp.blogspot.com/-kXmSsu4QSl4/Xt1LFMlLquI/AAAAAAALs84/thfrRBkcyTwdrLRdo7Mt5hIkUDAmdDQvgCLcBGAsYHQ/s72-c/k1.png)
Na Aidan Felson,Mpanda-Katavi.
Harambee ya kuchangia maendeleo ya miundombinu kwa Shule ya Msingi Kashato iliyopo Kata ya Makanyagio Halmashauri ya Manispaa ya Wilaya ya Mpanda Mkoani Katavi imeanza na tayari Diwani wa Kata hiyo Mhe. Haidari Sumri ameanza kwa vitendo kuonesha njia.
Kwa kutambua umuhimu wa elimu, Diwani Sumri amekabidhi mchango wake wa matofali 3,000 yenye thamani ya Shilingi Milioni 4 ili kuongeza miundombinu katika Shule hiyo iliyoanzishwa Mwaka 1963.
Shule ya Kashato...
CCM Blog
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-kXmSsu4QSl4/Xt1LFMlLquI/AAAAAAALs84/thfrRBkcyTwdrLRdo7Mt5hIkUDAmdDQvgCLcBGAsYHQ/s72-c/k1.png)
HARAMBEE KUCHANGIA MIUNDOMBINIU YA SHULE YA MSINGI KASHATO MKOANI KATAVI YAFANA
Harambee ya kuchangia maendeleo ya miundombinu kwa Shule ya Msingi Kashato iliyopo Kata ya Makanyagio Halmashauri ya Manispaa ya Wilaya ya Mpanda Mkoani Katavi imeanza na tayari Diwani wa Kata hiyo Mhe. Haidari Sumri ameanza kwa vitendo kuonesha njia.
Kwa kutambua umuhimu wa elimu, Diwani Sumri amekabidhi mchango wake wa matofali 3,000 yenye thamani ya Shilingi Milioni 4 ili kuongeza miundombinu katika Shule hiyo iliyoanzishwa Mwaka 1963.
Shule ya Kashato...
9 years ago
Dewji Blog18 Sep
Pinda aendelea kupokea misaada ya vifaa mbalimbali kusaidia shule mpya ya msingi Kakuni Mkoani Katavi
Mwakilishi wa Kampuni ya HUAWEI nchini Tanzania Bw. Jimmy Liguo Jin (kushoto) akimkabidhi Waziri Mkuu Mhe. Mizengo Pinda sehemu ya msaada wa kompyuta mpakato zilizotolewa na kampuni hiyo kusaidia wanafunzi wa shule mpya ya Msingi ya Kakuni iliyo katika kijiji cha Kibaoni mkoani Katavi leo jijini Dar es salaam. Shule hiyo ya kisasa imeanzishwa kufuatia wazo la Wazo la Waziri Mkuu, Mhe.Mizengo Pinda la kuwa na shule Bora na ya kisasa katika kijiji hicho na inajengwa kupitia michango na...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-Q-QlFeShnLU/VfwO40bnW9I/AAAAAAAH510/NZaohcqfnSk/s72-c/PM%2B-1.jpg)
WAZIRI MKUU MIZENGO PINDA AENDELEA KUPOKEA MISAADA YA VIFAA MBALIMBALI KUSAIDIA SHULE MPYA YA MSINGI KAKUNI MKOANI KATAVI
Pinda amepokea misaada hiyo kutoka Kampuni hizo kwa lengo la kuzindua mradi wa ujenzi wa Shule ya Msingi Kakuni katika kijiji cha Kibaoni Wilaya ya Mlele mkoa wa Katavi.
Shule ya Msingi Kakuni iliyopo kijiji cha Kibaoni Mkoani Katavi ni Shule aliyosoma Waziri Mkuu huyo Mhe,Mizengo Pinda.
Mradi huo wa...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-QIsUW-4gE7I/VIPpNZJIIDI/AAAAAAAG1tk/_B7Tn2oT4bw/s72-c/unnamed%2B(82).jpg)
Pinda aongoza harambee ya kuchangia ujenzi wa kanisa Katoliki la Kibiti Mkoani Pwani
![](http://3.bp.blogspot.com/-QIsUW-4gE7I/VIPpNZJIIDI/AAAAAAAG1tk/_B7Tn2oT4bw/s1600/unnamed%2B(82).jpg)
10 years ago
Tanzania Daima13 Oct
Diwani wa Themi kuchangia maji shule ya msingi Engira
DIWANI wa Kata ya Themi, Milance Kinabo, (CHADEMA), ameahidi kutoa sh 50,000 kila mwezi kwa ajili ya kuchangia gharama za ankara ya maji kwenye shule ya Msingi Engira, jijini hapa....
9 years ago
StarTV25 Nov
Shule ya Msingi Bafanka mkoani Geita hatarini kufungwa kwa Kujaa Kwa Vyoo Vya Shule
Ukosefu wa Vyoo kwa baadhi ya Shule limekuwa tatizo sugu lililosababisha shule ya msingi Isumabuna kufunga wakati shule ya msingi Bafanka wilayani Bukombe mkoani Geita ikiwa hatarini kufungwa wakati wowote kutokana na vyoo kujaa na kutoa wadudu hali inayowalazimu wanafunzi kujisaidia vichakani.
Kufungwa kwa shule ya Msingi Isumabuma tangu Novemba 12 mwaka huu kulikolenga kunusuru afya za watoto na kuwaepusha ma magonjwa ya mlipuko kumeathiri ratiba ya masomo kwa kiasi kikubwa kwa wanafunzi...
9 years ago
VijimamboBUNGE LA WATOTO OYSTERBAY SHULE YA MSINGI MKOANI MANYARA WAFANIKIWA KUWARUDISHA WATOTO WA MITAANI SHULE
Abdallah Waziri - ambaye ni mmoja wa watoto wa mitaani aliyerudishwa shule kwenye kikao cha leo.
Abdallah Waziri, Asia Mtibua na Mwalimu Gaudensia Igoshalimo wakimkaribisha Abdallah Waziri shuleni.
Mmoja wa wajumbe akitoa maoni yake katika kikao cha bunge katika shule ya oysterbay mkoani manyara
Mbunge Nasri Selemani akifuatilia hoja kwa makini.wakati kikao cha bunge la watoto likiendelea katika shule ya oysterbay mkoani manyara
Mbunge Nasri Selemani ambaye alikuwa ni mfanyakazi wa...
9 years ago
MichuziBUNGE LA WATOTO WA SHULE ZA MSINGI MKOANI MANYARA WAFANIKIWA KUWARUDISHA WATOTO WA MITAANI SHULE
KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA.
10 years ago
Dewji Blog21 Oct
Dkt. Shukuru Kawambwa kuwa mgeni rasmi kwenye Harambee ya shule ya Sekondari ya Enaboishu mkoani Arusha
Na Beatrice Lyimo, Maelezo-DSM.
WAZIRI wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi Mhe. Dkt. Shukuru Kawambwa (pichani) anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika Harambee ya kuchangia kuchangia ujenzi wa nyumba za walimu vyumba vya madarasa na ununuzi wa samani katika shule ya Sekondari ya Enaboishu iliyopo mkoani Arusha.
Hayo yamesemwa na Mwenyekiti wa Bodi wa shule hiyo, Bw. Emmanuel Munga wakati alipokuwa akizungumza na waandishi jijini Dar Es Salaam.
Munga amesema kuwa Harambee hiyo inatarajiwa kufanyika...