Pinda aongoza harambee ya kuchangia ujenzi wa kanisa Katoliki la Kibiti Mkoani Pwani
![](http://3.bp.blogspot.com/-QIsUW-4gE7I/VIPpNZJIIDI/AAAAAAAG1tk/_B7Tn2oT4bw/s72-c/unnamed%2B(82).jpg)
Mh Waziri Mkuu Mizengo Pinda akipokea picha ya mji wa Jerusalemu kutoka kwa Muadhama, Askofu Mkuu Polycarp Kardinali Pengo katika chakula cha jioni kilichoandaliwa katika makazi Muadhama, Askofu Mkuu Polycarp Kardinali Pengo Kurasini jijini Dar es salaam usiku wa kuamkia leo kwa ajili ya kuchangia ujenzi wa kanisa Katoliki la Kibiti Mkoani Pwani Waziri Mkuu alikuwa mgeni rasimi katika shughuli hiyo ambapo kulipatikana pesa tasilimu na ahadi shilingi milioni miamoja ishirini na saba laki...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
MichuziDK. KIMEI AONGOZA HARAMBEE YA UJENZI WA KANISA LA KKKT USHARIKA WA SIHA MKOANI KILIMANJARO
![](http://1.bp.blogspot.com/-D6XaruaVBJE/VkCUKSEVuJI/AAAAAAABj4o/FpkJ1ONOOPA/s640/_MG_2271.jpg)
Mchungaji Kiongozi wa Kanisa la Kiijili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Cuthbert Temba akiongoza ibada.
![](http://4.bp.blogspot.com/-6y6faVBnRwA/VkCXhir_IZI/AAAAAAABj5o/BcLxCprj7Zo/s640/_MG_2291.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-7n-WqnqUNcA/VkCXOkRNXTI/AAAAAAABj5Y/ynRIepugWO0/s640/_MG_2322.jpg)
11 years ago
MichuziMILIONI 319 ZAPATIKANA KATIKA HARAMBEE YA UJENZI WA KANISA KATOLIKI LA MAKONGO JUU JIJINI DAR
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Yq53LevdOGQ/U3Z8oNVKWQI/AAAAAAAFiPs/PnEC1H6G5Pw/s72-c/j1.jpg)
JK aongoza Harambee ujenzi wa Kanisa la KKKT Bumbuli
![](http://2.bp.blogspot.com/-Yq53LevdOGQ/U3Z8oNVKWQI/AAAAAAAFiPs/PnEC1H6G5Pw/s1600/j1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-s5oBGfitkc0/U3Z8oNDkW0I/AAAAAAAFiP0/M3zPu-SuAKs/s1600/j2.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Kngs9nwhvZU/Xm3B0yLDt4I/AAAAAAALjs8/PISqWQHwLdYax1oRT6f9QdPWl90nRaKBQCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200314-WA0060.jpg)
SAMIA NA JAKAYA WAUNGANA NA WADAU KUCHANGIA HARAMBEE YA UJENZI WA UKUMBI WA CCM PWANI
MAKAMU wa Rais na mlezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM),Samia Suluhu pamoja na Rais mstaafu Jakaya Kikwete wameungana na wadau , kwenye harambee ya kuchangia zaidi ya sh.milioni 500 ili kukamilisha ujenzi wa ukumbi wa CCM mkoani Pwani,":ambapo ameeleza chama hicho mkoa sio maskini badala yake waviendeleze vitega uchumi walivyonavyo.
Katika harambee hiyo, imeweza kupatikana kiasi cha sh.milioni 584.1 ikiwa fedha taslim milioni 113.4,ahadi milioni 471.6,mifuko ya...
10 years ago
Dewji Blog20 Apr
Kanisa Katoliki Parokia ya Mwananyamala yazindua harambee kukarabati kanisa hilo
Paroko wa Kanisa Katoliki Parokia ya Mwananyamala, Focus Masawe, akizindua Kadi maalumu na tiketi kwa ajili ya harambee kuchangia ujenzi na ukarabati wa Kanisa hilo jijini Dar es Salaam.
Paroko wa Kanisa Katoliki Parokia ya Mwananyamala, Focus Masawe, akionyesha Kadi maalumu na tiketi kwa ajili ya harambee kuchangia ujenzi na ukarabati wa Kanisa hilo baada ya kuzindua rasmi
Mwanajumuiya wa Kanisa Katoliki Parokia ya Mwananyamala, Stephen Minja, akionyesha Kadi Maalumu ya harambee ya...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-ph4Aa25jMlk/VTTiw8bmmAI/AAAAAAAC3UQ/8EHqustY3aw/s72-c/1.jpg)
KANISA KATOLIKI POROKIA YA MWANANYAMALA YAZINDUA HARAMBEE KUKARABATI KANISA HILO
![](http://2.bp.blogspot.com/-ph4Aa25jMlk/VTTiw8bmmAI/AAAAAAAC3UQ/8EHqustY3aw/s1600/1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-sZD_07Sg5v0/VTTiuCUA03I/AAAAAAAC3UI/t4dJUbMvvnw/s1600/2.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-GyxUwmKhA-Y/VTTi6vqqaXI/AAAAAAAC3U0/Q99oBdlO65s/s1600/9.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-8RJfI-5SQoA/Xmze2t-b0wI/AAAAAAALjo8/Xarp4Mc65vAK1t2iXG2oDZrjci6bJ-RbgCLcBGAsYHQ/s72-c/F87A2948-2-768x464.jpg)
MAKAMU WA RAIS AONGOZA HARAMBEE UJENZI WA JENGO LA OFISI NA UKUMBI LA KITEGA UCHUMI WA CCM MKOA WA PWANI
![](https://1.bp.blogspot.com/-8RJfI-5SQoA/Xmze2t-b0wI/AAAAAAALjo8/Xarp4Mc65vAK1t2iXG2oDZrjci6bJ-RbgCLcBGAsYHQ/s640/F87A2948-2-768x464.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-N66x89Pqpx0/Uwown3kqKxI/AAAAAAAFPKA/Vw34TxVVi8c/s72-c/p6.jpg)
RAIS KIKWETE AONGOZA HARAMBEE KUCHANGIA WODI YA DHARURA YA WATOTO NA VIFAA VYAKE HOSPITALI YA TAIFA MUHIMBILI
10 years ago
Dewji Blog25 Aug
Pinda aongoza harambee ya Mkapa Fellows
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza katika harambee ya kuchangia Mradi wa Mkapa Fellows kwenye hoteli ya JB Belmont jijini Mwanza August 23, 2014. Zaidi ya sh. Bilioni 1.3 zilichangwa. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akipokea mchango wa shilingi milioni 15 kutoka kwa Mfanyabiashara wa Mwanza na Dar es salaam Jumanne Kishimba katika harambee ya kuchangia Mradi wa Mkapa Fellows iliyofanyiak kwenye hoteli ya JB Belmont jijini Mwanza August 23,2014. Zaidi ya...