SAMIA NA JAKAYA WAUNGANA NA WADAU KUCHANGIA HARAMBEE YA UJENZI WA UKUMBI WA CCM PWANI
![](https://1.bp.blogspot.com/-Kngs9nwhvZU/Xm3B0yLDt4I/AAAAAAALjs8/PISqWQHwLdYax1oRT6f9QdPWl90nRaKBQCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200314-WA0060.jpg)
NA MWAMVUA MWINYI,PWANI
MAKAMU wa Rais na mlezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM),Samia Suluhu pamoja na Rais mstaafu Jakaya Kikwete wameungana na wadau , kwenye harambee ya kuchangia zaidi ya sh.milioni 500 ili kukamilisha ujenzi wa ukumbi wa CCM mkoani Pwani,":ambapo ameeleza chama hicho mkoa sio maskini badala yake waviendeleze vitega uchumi walivyonavyo.
Katika harambee hiyo, imeweza kupatikana kiasi cha sh.milioni 584.1 ikiwa fedha taslim milioni 113.4,ahadi milioni 471.6,mifuko ya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-8RJfI-5SQoA/Xmze2t-b0wI/AAAAAAALjo8/Xarp4Mc65vAK1t2iXG2oDZrjci6bJ-RbgCLcBGAsYHQ/s72-c/F87A2948-2-768x464.jpg)
MAKAMU WA RAIS AONGOZA HARAMBEE UJENZI WA JENGO LA OFISI NA UKUMBI LA KITEGA UCHUMI WA CCM MKOA WA PWANI
![](https://1.bp.blogspot.com/-8RJfI-5SQoA/Xmze2t-b0wI/AAAAAAALjo8/Xarp4Mc65vAK1t2iXG2oDZrjci6bJ-RbgCLcBGAsYHQ/s640/F87A2948-2-768x464.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-QIsUW-4gE7I/VIPpNZJIIDI/AAAAAAAG1tk/_B7Tn2oT4bw/s72-c/unnamed%2B(82).jpg)
Pinda aongoza harambee ya kuchangia ujenzi wa kanisa Katoliki la Kibiti Mkoani Pwani
![](http://3.bp.blogspot.com/-QIsUW-4gE7I/VIPpNZJIIDI/AAAAAAAG1tk/_B7Tn2oT4bw/s1600/unnamed%2B(82).jpg)
5 years ago
CCM BlogMAKAMU WA RAIS SAMIA SULUHU HASSAN KATIKA HARAMBEE YA CCM MKOA WA PWANI
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Ie43xXmRuEg/VQNooKKajGI/AAAAAAAHKK4/_WRB3bfSHFI/s72-c/mm1.jpg)
JK AFANIKISHA HARAMBEE YA KUCHANGIA UJENZI WA CHUO KIKUU CHA TUMAINI, 1.6bn/- zapatikana usiku huu diamond jubilee hall dar es salaam
![](http://4.bp.blogspot.com/-Ie43xXmRuEg/VQNooKKajGI/AAAAAAAHKK4/_WRB3bfSHFI/s1600/mm1.jpg)
5 years ago
CCM Blog![](https://img.youtube.com/vi/3pS2peYhMb8/default.jpg)
5 years ago
CCM BlogMAMA SAMIA ANOGESHA MADHIMISHO MIAKA 43 YA CCM MKOA WA PWANI
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-_gqDqwPKVu4/XtUTe1LnU8I/AAAAAAACL4c/_DtXIsDGByUsxbqxJVC256pr4ZJ-Oo-AwCLcBGAsYHQ/s72-c/7.jpg)
RAIS DK. MAGUFULI AKAGUA UKARABATI WA UKUMBI WA MKUTANO WA JAKAYA KIKWETE NA UKUMBI WA NEC
![](https://1.bp.blogspot.com/-_gqDqwPKVu4/XtUTe1LnU8I/AAAAAAACL4c/_DtXIsDGByUsxbqxJVC256pr4ZJ-Oo-AwCLcBGAsYHQ/s400/7.jpg)
Dodoma, Tanzania
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Ndg. John Pombe Joseph Magufuli leo tarehe 01 Juni, 2020 amekagua maandalizi ya kumbi za mikutano na vikao vya chama vinavyotarajiwa kufanyika hivi karibuni.
Ndg....