Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


SEKONDARI YA ILBORU KUFANYIWA HARAMBEE

Katibu wa Ilboru Alumni Foundation, Elianshisaria Munisi (wa kwanza kushoto) akizungumza katika kikao hicho na pembeni ni wajumbe wa kamati hiyo. Wanahabari wakiwasikiliza wanachama waliosoma Ilboru.…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

WAZIRI WA ELIMU KUONGOZA HARAMBEE YA SEKONDARI ENABOISHU, ARUSHA

Mwenyekiti wa bodi ya shule ya Enaboishu, Emmanuel Munga akisisitiza jambo kwa wanahabari (hawako pichani). WAZIRI wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dk Shukuru Kawambwa, anatarajiwa  kuwa mgeni rasmi katika kuchangia harambee ya ujenzi wa madarasa na vyumba vya walimu wa Shule ya Sekondari Enaboishu  iliyoko wilayani Arumeru mkoani Arusha. Akiongea na waandishi wa habari leo, jijini Dar es Salaama, mwenyekiti wa bodi ya ...

 

9 years ago

Michuzi

HARAMBEE YA UJENZI WA SHULE YA SEKONDARI YAFANYIKA WILAYANI SIMANJIRO

 Mkuu wa Wilaya ya Simanjiro Mkoani Manyara, Mahmoud Kambona akizungumza kwenye harambee ya ujenzi wa shule ya sekondari ya taasisi ya masjid Nuuru ya Mji mdogo wa Mirerani ambapo zilipatikana zaidi ya sh16 milioni (kushoto) ni Imamu wa masjid hiyo Mohames Shauri na kulia ni Willy Mushi meneja wa mgodi wa Tanzanite Africa. Mshairi wa mji mdogo wa Mirerani Wilayani Simanjiro Mkoani Manyara, Husna Hussein akimkabidhi mkuu wa wilaya hiyo Hashim Kambona, shairi alilolighani kwenye chakula...

 

10 years ago

Dewji Blog

Dkt. Shukuru Kawambwa kuwa mgeni rasmi kwenye Harambee ya shule ya Sekondari ya Enaboishu mkoani Arusha

Waziri-wa-Elimu-na-Mafunzo-ya-Ufundi-Dkt.-Shukuru-Kawambwa.

Na Beatrice Lyimo, Maelezo-DSM.

WAZIRI wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi Mhe. Dkt. Shukuru Kawambwa (pichani) anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika Harambee ya kuchangia kuchangia ujenzi wa nyumba za walimu vyumba vya madarasa na ununuzi wa samani katika shule ya Sekondari ya Enaboishu iliyopo mkoani Arusha.

Hayo yamesemwa na Mwenyekiti wa Bodi wa shule hiyo, Bw. Emmanuel Munga wakati alipokuwa akizungumza na waandishi jijini Dar Es Salaam.

Munga amesema kuwa Harambee hiyo inatarajiwa kufanyika...

 

10 years ago

Vijimambo

HOTUBA YA KAIMU KATIBU TAWALA MKOA WA MWANZA WAKATI WA KUFUNGUA MASHINDANO YA NGAZI YA MKOA YA MICHEZO YA SHULE ZA SEKONDARI TANZANIA (UMISSETA) NSUMBA SEKONDARI TAREHE 23 MEI, 2015

Awali ya yote napenda kuchukua fursa hii kukushukuru Katibu Tawala Msaidizi ambaye ni Afisaelimu wa Mkoa na Viongozi wenzako katika seksheni ya Elimu kwa kunialika kufungua Mashindano haya ya Umoja wa Michezo ya Shule za Sekondari Tanzania (UMISSETA).

Nimeupokea mwaliko huu kwa furaha kwa vile umenipa fursa ya pekee kuwaona na kuzungumza na hadhara hii ya wanafunzi, Wanamichezo na Walimu wao. Aidha, nitumie fursa hii kuupongeza uongozi wa Nsumba na Jumuia yote kwa maandalizi mazuri ya...

 

10 years ago

BBCSwahili

Rooney kufanyiwa uchunguzi zaidi

Nahodha wa Manchester united Wayne Rooney, atafanyiwa uchunguzi zaidi ili kujua ukubwa wa tatizo la goti lake.

 

10 years ago

GPL

CAITLYN KUFANYIWA UPASUAJI WA SAUTI

Baba wa Kim Kardashian ambaye kwa sasa amebadili jinsi yake na kuwa mwanamke,  ‘Caitlyn Jenner’. New York, Marekani
BABA wa Kim Kardashian ‘Caitlyn Jenner’ ambaye kwa sasa amebadili jinsi yake na kuwa mwanamke anatarajiwa kufanyiwa upasuaji wa sauti ili awe mwanamke aliyekamilika. Akizungumza na mtandao unaodili na habari za mastaa, Caitlyn alisema kuwa alifanyiwa upasuaji wa kila kitu na...

 

10 years ago

BBCSwahili

Mwili wa Al Douri kufanyiwa uchunguzi

Uchunguzi wa chembechembe za DNA unatarajiwa kufanyiwa kile maafisa nchini Iraq wanasema kuwa ni mwili wa Izzat Ibrahim al Douri

 

9 years ago

Mwananchi

Watoto wazidi kufanyiwa ukatili

Watoto watatu kati ya 10 wenye umri chini ya miaka 18 nchini wamefanyiwa vitendo vya ukatili.

 

9 years ago

BBCSwahili

Luke Shaw kufanyiwa upasuaji

Mlinzi wa kushoto wa Man United Luke Shaw atafanyiwa upasuaji wa pili leo

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani