Rooney kufanyiwa uchunguzi zaidi
Nahodha wa Manchester united Wayne Rooney, atafanyiwa uchunguzi zaidi ili kujua ukubwa wa tatizo la goti lake.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili18 Apr
Mwili wa Al Douri kufanyiwa uchunguzi
11 years ago
BBCSwahili20 May
Pistorius kufanyiwa uchunguzi wa kiakili
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ETTd9*7yfBC-GBBMsfUT7lv*SgO0Q8oj56pSMf7YY*KcWB*BO94mOdUpir9n9l0sbRMSlr*7wVjRuQzjOdyd0dfivvQ9djGS/oscarpistoriusdock.jpg)
OSCAR PISTORIUS KUFANYIWA UCHUNGUZI WA KIAKILI KWA MWEZI MMOJA
10 years ago
Mwananchi10 Apr
Gharama Kituo cha Mabasi cha Kange kufanyiwa uchunguzi
9 years ago
Mtanzania26 Oct
Rooney amtabiria makubwa zaidi Ronaldo
![134881](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2015/10/134881-300x200.jpg)
MSHAMBULIAJI wa timu ya Manchester United, Wayne Rooney, amekunwa na mafanikio aliyonayo Cristiano Ronaldo na akasema kuwa anavyoamini kuna mambo mazuri atayafanya staa huyo wa timu ya Real Madrid.
Hivi karibuni Ronaldo alifikia rekodi ya Raul ya kuwa mfungaji bora wa muda wote katika timu hiyo ya Real Madrid, ikiwa ni baada ya kuwa mchezaji tegemeo muda wote katika timu ya Taifa ya Ureno.
Rooney aliwahi kucheza na Ronaldo akiwa Man United kati ya mwaka 2003 na 2009 na...
9 years ago
StarTV26 Dec
Zaidi ya wagonjwa 300 kufanyiwa upasuaji wa macho Mwanza
Zaidi ya wagonjwa 300 wenye matatizo ya macho mkoani Mwanza wanatarajiwa kufanyiwa upasuaji wa macho kati ya wagonjwa elfu tano watakaopatiwa matibabu na Taasisi ya Bilali Muslim misheni ya nchini Tanzania.
Matibabu hayo yanayotolewa na jopo la madaktari bingwa wa huduma za upasuaji wa magonjwa ya macho ni ishara tosha kuwa ni mkombozi wa utatuzi wa magonjwa hayo ambayo imekuwa ni changamoto kubwa miongoni mwa jamii kutokana na kuwa na gharama kubwa.
mkazi wa Mkuyuni jijini Mwanza mwenye...
10 years ago
BBCSwahili09 Jun
Warner afanyiwa uchunguzi zaidi
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-DGTGcp9_z00/XmOLmLt6eEI/AAAAAAALhuI/nj8uWn4i8T8ZKI-SpGFrLa16jN3UBb-ggCLcBGAsYHQ/s72-c/2020-03-07-278-0002.jpg)
Zaidi ya 250 wajitokeza uchunguzi presha ya macho Mloganzila
![](https://1.bp.blogspot.com/-DGTGcp9_z00/XmOLmLt6eEI/AAAAAAALhuI/nj8uWn4i8T8ZKI-SpGFrLa16jN3UBb-ggCLcBGAsYHQ/s640/2020-03-07-278-0002.jpg)
![](http://www.mnh.or.tz/muhimbiliblog/images/2020-03-07-278-0003.jpg)
Mtaalam wa kupima macho wa MNH-Mloganzila, Dkt. Martin Francis akimpima uwezo wa macho kuona, Bi. Nasra Yusuph.
![](http://www.mnh.or.tz/muhimbiliblog/images/2020-03-07-278-0004.jpg)
Mtaalam wa kupima macho MNH-Mloganzila, Dkt. Nestory Massawe akimpima uwezo wa macho kuona mbali na karibu, Bi. Sophia Shomari.
![](http://www.mnh.or.tz/muhimbiliblog/images/2020-03-07-278-0005.jpg)
Baadhi ya wananchi waliofika kufanyiwa uchunguzi wa macho.
Na...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-HAalbelt-bw/U62FznTV5OI/AAAAAAAFtO8/V5nqATDwL7w/s72-c/MMGM1586.jpg)
WAANDISHI WA HABARI KUTOKA NCHI ZAIDI YA 14 BARANI AFRIKA WAPEWA MAFUNYO YA UCHUNGUZI WA UHALIFU NCHINI MAURITIUS
![](http://2.bp.blogspot.com/-HAalbelt-bw/U62FznTV5OI/AAAAAAAFtO8/V5nqATDwL7w/s1600/MMGM1586.jpg)