Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Warner afanyiwa uchunguzi zaidi

Uchunguzi unaendelea kuhusu masuala ya kifedha ya aliyekuwa makamu wa rais wa shirikisho la kandanda dunia FIFA Jack Warner.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

RC HOMERA AFANYIWA UCHUNGUZI WA KINYWA NA MENO


Daktari Bingwa wa Upasuji Uso na Mataya Hospitali ya Taifa Muhimbili Dkt. Arnold Mtenga akimfanyi uchunguzi wa Kinywa na Meno Mkuu wa Mkoa wa Katavi Mh. Juma Homera wakati wa Uzinduzi wa Wiki ya Afya ya Kinywa na Meno Tanzania katika  kuelekea Kilele cha Maadhimisho ya Siku ya Afya ya Kinywa na Meno Duniani. (PICHA NA MPIGAPICHA WETU)

 

5 years ago

CCM Blog

MKUU WA MKOA KATAVI JUMA HOMERA AFANYIWA UCHUNGUZI WA KINYWA NA MENO



Daktari Bingwa wa Upasuji Uso na Mataya Hospitali ya Taifa Muhimbili Dkt. Arnold Mtenga akimfanyi uchunguzi wa Kinywa na Meno Mkuu wa Mkoa wa Katavi Mh. Juma Homera wakati wa Uzinduzi wa Wiki ya Afya ya Kinywa na Meno Tanzania katika  kuelekea Kilele cha Maadhimisho ya Siku ya Afya ya Kinywa na Meno Duniani. (PICHA NA KHAMISI MUSSA)

 

10 years ago

BBCSwahili

Rooney kufanyiwa uchunguzi zaidi

Nahodha wa Manchester united Wayne Rooney, atafanyiwa uchunguzi zaidi ili kujua ukubwa wa tatizo la goti lake.

 

5 years ago

Michuzi

Zaidi ya 250 wajitokeza uchunguzi presha ya macho Mloganzila

Daktari Bingwa wa Macho wa MNH-Mloganzila, Dkt. Catherine Makunja akimfanyia uchunguzi wa awali, Bi. Ashura Abdallah aliyefika hospitalini hapa kwa ajili ya kufanyiwa uchunguzi wa awali wa macho.
Mtaalam wa kupima macho wa MNH-Mloganzila, Dkt. Martin Francis akimpima uwezo wa macho kuona, Bi. Nasra Yusuph.

Mtaalam wa kupima macho MNH-Mloganzila, Dkt. Nestory Massawe akimpima uwezo wa macho kuona mbali na karibu, Bi. Sophia Shomari.

Baadhi ya wananchi waliofika kufanyiwa uchunguzi wa macho.
 Na...

 

11 years ago

Michuzi

WAANDISHI WA HABARI KUTOKA NCHI ZAIDI YA 14 BARANI AFRIKA WAPEWA MAFUNYO YA UCHUNGUZI WA UHALIFU NCHINI MAURITIUS

 Mtaalam wa Maswala ya Uchunguzi wa Uhalifu (Crime and Investigation) kutona nchini Uingereza,Steven Gaskin (kulia) akizungumza wakati wa kutoa mafunzo kwa waandini wa habari (hawapo pichani) kutoka nchi mbali mbali barani Afrika ya namna ya kuweza kuchunguza na kuweza kubaini mwalifu katika tukio lolote,katika mafunzo yaliyofanyika jana kwenye ufukwe wa hoteli ya Trou Aux Biches,Mauritius.Mafunzo hayo yametolewa ikiwa ni sehemu kujionea kazi mbali mbali zinachoonyeshwa kwenye DSTV na GOTV...

 

10 years ago

TheCitizen

How much is Jack Warner worth?

Jack Warner, the football executive, political heavyweight and entrepreneur at the heart of the FIFA corruption scandal, runs a tropical business empire in his native Trinidad and Tobago. But how much is he actually worth?

 

10 years ago

BBCSwahili

Jack Warner azidi kuchunguzwa

Makamu wa Rais wa zamani wa FIFA Jack Warner amekumbwa na kashfa ingine na uchunguzi dhidi yake unaendelea.

 

9 years ago

TheCitizen

Ex-FIFA VP Warner gets lifetime ban from football

Former FIFA vice-president Jack Warner has been banned for life from all football-related activity, the adjudicatory chamber of the Ethics Committee of the sport’s world governing body said on Tuesday.

 

10 years ago

BBCSwahili

Dola milioni 10 za FIFA zililipwa Warner

BBC imegundua zilivyotumiwa pesa zilizotumwa kutoka FIFA kwenda kwa akaunti za aliyekuwa makamu rais wa shirikisho hilo

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani