Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Zaidi ya 250 wajitokeza uchunguzi presha ya macho Mloganzila

Daktari Bingwa wa Macho wa MNH-Mloganzila, Dkt. Catherine Makunja akimfanyia uchunguzi wa awali, Bi. Ashura Abdallah aliyefika hospitalini hapa kwa ajili ya kufanyiwa uchunguzi wa awali wa macho.
Mtaalam wa kupima macho wa MNH-Mloganzila, Dkt. Martin Francis akimpima uwezo wa macho kuona, Bi. Nasra Yusuph.

Mtaalam wa kupima macho MNH-Mloganzila, Dkt. Nestory Massawe akimpima uwezo wa macho kuona mbali na karibu, Bi. Sophia Shomari.

Baadhi ya wananchi waliofika kufanyiwa uchunguzi wa macho.
 Na...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

Watanzania wajitokeza kupimwa usikivu Mloganzila

Mamia wajitokeza kupimwa usikivu katika Hospitali ya Taifa Muhimbili Mloganzila katika kuadhimisha siku ya usikivu duniani yenye kauli mbiu isemayo “Usiruhusu upotevu wa usikivu uwe kikwazo, usikivu bora kwa maisha bora” lengo ikiwa ni kuchunguza kiwango cha usikivu kwa wananchi.

Kwa mujibu wa takwimu za Shirika la Afya Duniani (WHO) takribani watu 466 milioni duniani wana matatizo ya usikivu ambapo inakisiwa kuwa hadi kufikia mwaka 2050 idadi hiyo inatarajiwa kuongezeka hadi kufikia 900...

 

10 years ago

BBCSwahili

Rooney kufanyiwa uchunguzi zaidi

Nahodha wa Manchester united Wayne Rooney, atafanyiwa uchunguzi zaidi ili kujua ukubwa wa tatizo la goti lake.

 

10 years ago

BBCSwahili

Warner afanyiwa uchunguzi zaidi

Uchunguzi unaendelea kuhusu masuala ya kifedha ya aliyekuwa makamu wa rais wa shirikisho la kandanda dunia FIFA Jack Warner.

 

9 years ago

StarTV

Zaidi ya wagonjwa 300 kufanyiwa upasuaji wa macho Mwanza

Zaidi ya wagonjwa 300 wenye matatizo ya macho mkoani Mwanza wanatarajiwa kufanyiwa upasuaji wa macho kati ya wagonjwa elfu tano watakaopatiwa matibabu na Taasisi ya Bilali Muslim misheni ya nchini Tanzania.

Matibabu hayo yanayotolewa na jopo la madaktari bingwa wa huduma za upasuaji wa magonjwa ya macho ni ishara tosha kuwa ni mkombozi wa utatuzi wa magonjwa hayo ambayo imekuwa ni changamoto kubwa miongoni mwa jamii kutokana na kuwa na gharama kubwa.

mkazi wa Mkuyuni jijini Mwanza mwenye...

 

10 years ago

Dewji Blog

Halmashauri ya Manispaa Singida yapewa msaada wa zaidi ya Mil 250 kwa ajili ya malori ya taka ngumu

DSC06161Kijiko mali ya manispaa ya Singida kilichonunuliwa kwa shilingi 110 milioni,kikipakia taka ngumu kutoka kwenye dampo la soko la vitunguu mjini hapa jana.Picha na Nathaniel Limu

Na Nathaniel Limu

Serikali kuu imeipatia msaada  halmashauri ya manispaa ya Singida, kijiko na malori mawili makubwa vyote vikiwa na thamani ya zaidi ya shilingi 250 milioni,kwa ajili ya uzoaji wa taka ngumu.

Hayo yamesemwa juzi  na mkurugenzi wa manispaa ya Singida, Joseph Mchina, wakati akizingumza na waandishi wa...

 

10 years ago

Vijimambo

CAREER AFRICA YAFANA NEW YORK ZAIDI YA WANADIASPORA 400 WAJITOKEZA

Sophia Yona mwanadiaspora wa New York akiuliza jambo kwa mwakilishi wa Exim Bank Bwn. Dinesh Arora kwenye Career Africa iliyofanyika jiji lisilo lala New York City ndani ya hotel ya Hilton iliyopo mtaa wa 1335 avenue of americas, New York New York 10019 na wanaDiaspora takribani 400 walijitokeza kwenye Careear Africa hiyo iliyokua imeandaliwa na baadhi ya wana Diaspora wa New York na New Jersey kwa kushirikiana na makampuni makubwa yanayofanya shughuli zake Afrika yaliyofanya kongamano hilo...

 

10 years ago

Dewji Blog

Mzizima Lions Club kuhudumia wagonjwa wa macho zaidi ya 150 mkoani SINGIDA

DSC01108

Mratibu wa Mzizima Lions Club ya jijini Dar-es-salaam, Mustafa Kudrati, akifafanua jambo kwa waandishi wa hababari (hawapo kwenye picha) juu ya kampeni yao ya upimaji,tiba na upasuaji wa macho kwenye kampeni yao ya siku mbili mkoani hapa, inayotarajiwa kunufaisha wakazi zaidi ya 150. Kwa mujibu wa Kudrati,kampeni hiyo inayodhaminiwa na shirika la ndege la Ethiopia na kampuni ya  bima ya AAR, itagharimu zaidi ya shilingi 20 milioni.

DSC01105

Daktari bingwa wa macho mkoani Singida, Dk.Ng’hungu...

 

10 years ago

GPL

CAREER AFRICA YAFANA NEW YORK ZAIDI YA WANADIASPORA 400 WAJITOKEZA‏

Sophia Yona mwanadiaspora wa New York akiuliza jambo kwa mwakilishi wa Exim Bank Bwn. Dinesh Arora kwenye Career Africa iliyofanyika jiji lisilo lala New York City ndani ya hotel ya Hilton iliyopo mtaa wa 1335 avenue of americas, New York New York 10019 na wanaDiaspora takribani 400 walijitokeza kwenye Careear Africa hiyo iliyokua imeandaliwa na baadhi ya wana Diaspora wa New York na New Jersey kwa kushirikiana na makampuni...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani