Zaidi ya 250 wajitokeza uchunguzi presha ya macho Mloganzila
![](https://1.bp.blogspot.com/-DGTGcp9_z00/XmOLmLt6eEI/AAAAAAALhuI/nj8uWn4i8T8ZKI-SpGFrLa16jN3UBb-ggCLcBGAsYHQ/s72-c/2020-03-07-278-0002.jpg)
Daktari Bingwa wa Macho wa MNH-Mloganzila, Dkt. Catherine Makunja akimfanyia uchunguzi wa awali, Bi. Ashura Abdallah aliyefika hospitalini hapa kwa ajili ya kufanyiwa uchunguzi wa awali wa macho.
Mtaalam wa kupima macho wa MNH-Mloganzila, Dkt. Martin Francis akimpima uwezo wa macho kuona, Bi. Nasra Yusuph.
Mtaalam wa kupima macho MNH-Mloganzila, Dkt. Nestory Massawe akimpima uwezo wa macho kuona mbali na karibu, Bi. Sophia Shomari.
Baadhi ya wananchi waliofika kufanyiwa uchunguzi wa macho.
Na...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-BhwwAmzFsms/Xl5iMbpXCMI/AAAAAAALgwU/tSXcXWKCacs9BEHQx4JsqO7bmwZsqq8XwCLcBGAsYHQ/s72-c/01.jpg)
Watanzania wajitokeza kupimwa usikivu Mloganzila
Kwa mujibu wa takwimu za Shirika la Afya Duniani (WHO) takribani watu 466 milioni duniani wana matatizo ya usikivu ambapo inakisiwa kuwa hadi kufikia mwaka 2050 idadi hiyo inatarajiwa kuongezeka hadi kufikia 900...
10 years ago
BBCSwahili03 Dec
Rooney kufanyiwa uchunguzi zaidi
10 years ago
BBCSwahili09 Jun
Warner afanyiwa uchunguzi zaidi
9 years ago
StarTV26 Dec
Zaidi ya wagonjwa 300 kufanyiwa upasuaji wa macho Mwanza
Zaidi ya wagonjwa 300 wenye matatizo ya macho mkoani Mwanza wanatarajiwa kufanyiwa upasuaji wa macho kati ya wagonjwa elfu tano watakaopatiwa matibabu na Taasisi ya Bilali Muslim misheni ya nchini Tanzania.
Matibabu hayo yanayotolewa na jopo la madaktari bingwa wa huduma za upasuaji wa magonjwa ya macho ni ishara tosha kuwa ni mkombozi wa utatuzi wa magonjwa hayo ambayo imekuwa ni changamoto kubwa miongoni mwa jamii kutokana na kuwa na gharama kubwa.
mkazi wa Mkuyuni jijini Mwanza mwenye...
10 years ago
Dewji Blog28 May
Halmashauri ya Manispaa Singida yapewa msaada wa zaidi ya Mil 250 kwa ajili ya malori ya taka ngumu
Kijiko mali ya manispaa ya Singida kilichonunuliwa kwa shilingi 110 milioni,kikipakia taka ngumu kutoka kwenye dampo la soko la vitunguu mjini hapa jana.Picha na Nathaniel Limu
Na Nathaniel Limu
Serikali kuu imeipatia msaada halmashauri ya manispaa ya Singida, kijiko na malori mawili makubwa vyote vikiwa na thamani ya zaidi ya shilingi 250 milioni,kwa ajili ya uzoaji wa taka ngumu.
Hayo yamesemwa juzi na mkurugenzi wa manispaa ya Singida, Joseph Mchina, wakati akizingumza na waandishi wa...
10 years ago
VijimamboCAREER AFRICA YAFANA NEW YORK ZAIDI YA WANADIASPORA 400 WAJITOKEZA
10 years ago
Dewji Blog10 Aug
Mzizima Lions Club kuhudumia wagonjwa wa macho zaidi ya 150 mkoani SINGIDA
Mratibu wa Mzizima Lions Club ya jijini Dar-es-salaam, Mustafa Kudrati, akifafanua jambo kwa waandishi wa hababari (hawapo kwenye picha) juu ya kampeni yao ya upimaji,tiba na upasuaji wa macho kwenye kampeni yao ya siku mbili mkoani hapa, inayotarajiwa kunufaisha wakazi zaidi ya 150. Kwa mujibu wa Kudrati,kampeni hiyo inayodhaminiwa na shirika la ndege la Ethiopia na kampuni ya bima ya AAR, itagharimu zaidi ya shilingi 20 milioni.
10 years ago
GPLCAREER AFRICA YAFANA NEW YORK ZAIDI YA WANADIASPORA 400 WAJITOKEZA