Watanzania wajitokeza kupimwa usikivu Mloganzila
![](https://1.bp.blogspot.com/-BhwwAmzFsms/Xl5iMbpXCMI/AAAAAAALgwU/tSXcXWKCacs9BEHQx4JsqO7bmwZsqq8XwCLcBGAsYHQ/s72-c/01.jpg)
Mamia wajitokeza kupimwa usikivu katika Hospitali ya Taifa Muhimbili Mloganzila katika kuadhimisha siku ya usikivu duniani yenye kauli mbiu isemayo “Usiruhusu upotevu wa usikivu uwe kikwazo, usikivu bora kwa maisha bora” lengo ikiwa ni kuchunguza kiwango cha usikivu kwa wananchi.
Kwa mujibu wa takwimu za Shirika la Afya Duniani (WHO) takribani watu 466 milioni duniani wana matatizo ya usikivu ambapo inakisiwa kuwa hadi kufikia mwaka 2050 idadi hiyo inatarajiwa kuongezeka hadi kufikia 900...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-DGTGcp9_z00/XmOLmLt6eEI/AAAAAAALhuI/nj8uWn4i8T8ZKI-SpGFrLa16jN3UBb-ggCLcBGAsYHQ/s72-c/2020-03-07-278-0002.jpg)
Zaidi ya 250 wajitokeza uchunguzi presha ya macho Mloganzila
![](https://1.bp.blogspot.com/-DGTGcp9_z00/XmOLmLt6eEI/AAAAAAALhuI/nj8uWn4i8T8ZKI-SpGFrLa16jN3UBb-ggCLcBGAsYHQ/s640/2020-03-07-278-0002.jpg)
![](http://www.mnh.or.tz/muhimbiliblog/images/2020-03-07-278-0003.jpg)
Mtaalam wa kupima macho wa MNH-Mloganzila, Dkt. Martin Francis akimpima uwezo wa macho kuona, Bi. Nasra Yusuph.
![](http://www.mnh.or.tz/muhimbiliblog/images/2020-03-07-278-0004.jpg)
Mtaalam wa kupima macho MNH-Mloganzila, Dkt. Nestory Massawe akimpima uwezo wa macho kuona mbali na karibu, Bi. Sophia Shomari.
![](http://www.mnh.or.tz/muhimbiliblog/images/2020-03-07-278-0005.jpg)
Baadhi ya wananchi waliofika kufanyiwa uchunguzi wa macho.
Na...
10 years ago
VijimamboWATANZANIA MASSACHUSETTS NI MFANO WA KUIGWA WAJITOKEZA KWA WINGI KISOMO CHA MKAKILE
9 years ago
VijimamboWATANZANIA WAJITOKEZA NYUMBANI KWA NY EBRA BROOKLYN. NEW YORK KUMPA POLE KWA KUFIWA NA DADA YAKE HUKO TANZANIA
Jumuiya ya Watanzania New York New Jersey,Connecticut na Pennsylvania inasikitika kuungana na Ebra Nyagaly wa Vijimambo New York kutangaza msiba wa dada yake Mpenzi Asha Nyagaly kilichotokea Dar es Salaam, Tanzania. Dada amekutwa na mauti nyumbani baada ya kuzidiwa ghafla akitokea hospitali alipokwenda kupata matibabuKwa sasa unaweza kumpigia simu Ebra NY na kumpa pole simu 347 475 4313
Msiba utakuwa nyumbani kwaEbra702 E 37th St,Brooklyn, NY
Mwenye Enzi Mungu amsameh Marehemu makosa yake na...
10 years ago
Habarileo09 Oct
Viongozi wa dini wasifu usikivu wa JK
VIONGOZI wa dini waliopewa nafasi kusoma dua, licha ya kuchomekea mahitaji ya taasisi zao, baadhi walisifu usikivu na upole wa Rais Jakaya Kikwete na kusisitiza washauri wake kumshauri vyema.
10 years ago
Africanjam.Com![](http://2.bp.blogspot.com/-M7Zm1yBCBgA/U9zCREqRDlI/AAAAAAAAA9Q/b3amEcOLUhU/s72-c/ears_kids.jpg)
UKWELI KUHUSU USIKIVU WA MASIKIO YAKO
![](http://2.bp.blogspot.com/-M7Zm1yBCBgA/U9zCREqRDlI/AAAAAAAAA9Q/b3amEcOLUhU/s1600/ears_kids.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-D8YzRIqcEsk/XlOwIXQpKKI/AAAAAAALfBg/oUrDZheLXz8sFot29303yYaYFukPuR5mwCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
Serikali yaimarisha usikivu wa TBC kwa asilimia zaidi ya 73.
![](https://1.bp.blogspot.com/-D8YzRIqcEsk/XlOwIXQpKKI/AAAAAAALfBg/oUrDZheLXz8sFot29303yYaYFukPuR5mwCLcBGAsYHQ/s320/1.jpg)
Katika kuhakikisha yote hayo yanafanyika Serikali inafanya juhudi kubwa za kuimarisha usikivu wa Shirika hilo katika mikoa yote ya Tanzania ili wananchi wapate taarifa sahihi zilizokusudiwa tena kwa wakati.
Moja ya...
10 years ago
Habarileo24 Mar
TMA yasisitiza usikivu utabiri Na Francisca Emmanuel wa hali ya hewa
MAKAMPUNI yenye dhamana katika sekta ya usafiri wa anga yametakiwa kuzingatia taarifa za hali ya hewa zitolewazo mara kwa mara ili kujiepusha na matatizo kadhaa yanayoweza kujitokeza.
10 years ago
MichuziHOSPITALI KUU YA MNAZI MMOJA YAZIDUA UPIMAJI USIKIVU WA WATOTO WACHANGA
10 years ago
Raia Tanzania22 Jul
Wanafunzi 270 kupimwa afya
ZAIDI ya wanafunzi 270 wa Shule ya Msingi Viziwi Buguruni, jijini Dar es Salaam, wanatarajiwa kupima afya zao na kupatiwa matibabu.
Akizungumza na gazeti hili jana, jijini Dar es Salaam, Mkurugenzi Mtendaji wa Chama cha Kuhudumia Viziwi Tanzania (TSD), Yasin Mawe, alisema wanafunzi hao watapimwa damu, mkojo, uzito na urefu.
"Tumeamua kuwapima afya ili kupata kumbukumbu sahihi na kufahamu maradhi yanayowasumbua ili kuwapatia dawa," alisema.
Alisema TSD kwa kushirikiana na wahisani...