TMA yasisitiza usikivu utabiri Na Francisca Emmanuel wa hali ya hewa
MAKAMPUNI yenye dhamana katika sekta ya usafiri wa anga yametakiwa kuzingatia taarifa za hali ya hewa zitolewazo mara kwa mara ili kujiepusha na matatizo kadhaa yanayoweza kujitokeza.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-s6H8gBDNMEY/VIVjIbUrWrI/AAAAAAAG16A/Rbr5217A81c/s72-c/unnamed%2B(68).jpg)
MAMLAKA YA HALI YA HEWA TANZANIA (TMA) NA OFISI YA HALI YA HEWA YA UINGEREZA (UK MET OFFICE) WASAINI MKATABA WA MAKUBALIANO (MoU) YA USHIRIKIANO KATIKA KUBORESHA HUDUMA ZA HALI YA HEWA NCHINI
Akizungumzia makubaliano hayo Dkt Agnes Kijazi alisema Mamlaka ya Hali ya Hewa ililiomba Shirika la Hali ya Hewa Duniani kuisaidia TMA kuboresha huduma zake ili ziwe za kisasa...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-jUsys5IIb-Q/VIWWTCotiOI/AAAAAAADRKQ/czUQxGXW8lo/s72-c/uk-met.jpg)
MAMLAKA YA HALI YA HEWA TANZANIA (TMA) NA OFISI YA HALI YA HEWA YA UINGEREZA (UK MET OFFICE) WASAINI MKATABA WA MAKUBALIANO (MoU) YA USHIRIKIANO KATIKA KUBORESHA HUDUMA ZA HALI YA HEWA NCHINI
![](http://2.bp.blogspot.com/-jUsys5IIb-Q/VIWWTCotiOI/AAAAAAADRKQ/czUQxGXW8lo/s1600/uk-met.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-X9uFhmcosWo/UwzIrQwpkjI/AAAAAAAFPg0/Gbj5sZTYs-c/s72-c/unnamed+(38).jpg)
MAMLAKA YA HALI YA HEWA (TMA) YAKUTANA NA WADAU WA SEKTA MBALI MBALI KUJADILI UTABIRI WA MVUA ZA MSIMU KWA MWEZI MACHI MPAKA MEI (MASIKA)
![](http://2.bp.blogspot.com/-X9uFhmcosWo/UwzIrQwpkjI/AAAAAAAFPg0/Gbj5sZTYs-c/s1600/unnamed+(38).jpg)
Kila mwaka mwezi Februari kabla ya kutoa utabiri wa msimu Mamlaka hukutana na wadau wa sekta mbali mbali nchini ili kujadili utabiri wa msimu huo wa mvua za MASIKA kwa kipindi cha miezi ya Machi hadi Mei na kuwapa wadau nafasi ya...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-CWrN_zGpowE/Xt9ZuGgT1zI/AAAAAAALtJo/nLdi_CaTmpo6kZF7UfuVn5oxCPXyVjBpgCLcBGAsYHQ/s72-c/TMA.jpg)
MAMLAKA ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) yatoa rasmi mwelekeo wa hali ya hewa msimu wa kipupwe nchini.
![](https://1.bp.blogspot.com/-CWrN_zGpowE/Xt9ZuGgT1zI/AAAAAAALtJo/nLdi_CaTmpo6kZF7UfuVn5oxCPXyVjBpgCLcBGAsYHQ/s400/TMA.jpg)
MAMLAKA ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imetoa rasmi mwelekeo wa hali ya hewa wa msimu wa kipupwe nchini, kwa Mwezi Juni hadi Agosti 2020 na kusema kuwa mwaka huu kutakuwa na vipindi vya upepo mkali wa kusi na hali ya ukavu katika maeneo mengi ya nchini.
Pia mamlaka imesema, vipindi vya baridi kali vinatarajiwa kuwepo katika msimu huu katika maeneo ya miinuko ya nyanda za juu kusini magharibi hususan nyakati za usiku na na asubuhi.
Akizungumzia msimu huo,...
11 years ago
Tanzania Daima26 Feb
Wanahabari kushiriki utabiri hali ya hewa
MAMLAKA ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imewaalika waandishi wa habari kushiriki katika kujadili utabiri wa msimu ujao wa hali ya hewa utakaoanza Machi hadi Mei mwaka huu. Kabla ya...
10 years ago
Habarileo10 Mar
‘Wananchi zingatieni utabiri hali ya hewa’
MAMLAKA ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imewataka wananchi kuzingatia utabiri wa hali ya hewa, unaotolewa kila siku ili kuchukua tahadhari na kuweza kuepuka maafa.
9 years ago
StarTV28 Dec
Vifaa vya utabiri wa hali ya hewa vyafungwa Arumeru-Arusha
Wananchi wa kata Sita za wilaya ya Arumeru ambazo hukumbwa na mafuriko ya mara kwa mara huenda wakaondona na adha hiyo, kutokana na ufungwaji wa vituo 36 vya ufuatiliaji wa hali ya hewa, vitakavyosaidia kutoa taarifa sahihi na kuwawezesha wakazi hao kukabiliana na majanga mapema zaidi.
Sehemu tuu ya janga la mafururiko yaliyotokana na mvua kubwa zilizonyesha hivi karibuni na kusababisha mmomonyoko wa udongo kwenye baadhi ya maeneo ya Wilaya ya Arumeru Mkoani Arusha.
Mratibu wa mradi wa...
11 years ago
Habarileo20 Apr
TMA: Msidharau taarifa za hali ya hewa
WATANZANIA wametakiwa kutodharau tafiti na taarifa, zinazotolewa na Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA), kwani mabadiliko ya mara kwa mara ya hali ya hewa yanayotokea yanaweza kuleta madhara.
10 years ago
Habarileo02 Apr
Mabadiliko ya hali ya hewa changamoto kwa TMA
MKURUGENZI Mkuu wa Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA), Dk Agnes Kijazi amesema mabadiliko ya mifumo ya hali ya hewa ambayo yanatokana na mabadiliko ya tabia nchi yamekuwa changamoto kubwa kwa wataalamu wa hali ya hewa nchini.