Vifaa vya utabiri wa hali ya hewa vyafungwa Arumeru-Arusha
Wananchi wa kata Sita za wilaya ya Arumeru ambazo hukumbwa na mafuriko ya mara kwa mara huenda wakaondona na adha hiyo, kutokana na ufungwaji wa vituo 36 vya ufuatiliaji wa hali ya hewa, vitakavyosaidia kutoa taarifa sahihi na kuwawezesha wakazi hao kukabiliana na majanga mapema zaidi.
Sehemu tuu ya janga la mafururiko yaliyotokana na mvua kubwa zilizonyesha hivi karibuni na kusababisha mmomonyoko wa udongo kwenye baadhi ya maeneo ya Wilaya ya Arumeru Mkoani Arusha.
Mratibu wa mradi wa...
StarTV
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi25 Aug
Vifaa vya hali ya hewa tatizo Afrika
10 years ago
Habarileo10 Mar
‘Wananchi zingatieni utabiri hali ya hewa’
MAMLAKA ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imewataka wananchi kuzingatia utabiri wa hali ya hewa, unaotolewa kila siku ili kuchukua tahadhari na kuweza kuepuka maafa.
11 years ago
Tanzania Daima26 Feb
Wanahabari kushiriki utabiri hali ya hewa
MAMLAKA ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imewaalika waandishi wa habari kushiriki katika kujadili utabiri wa msimu ujao wa hali ya hewa utakaoanza Machi hadi Mei mwaka huu. Kabla ya...
10 years ago
VijimamboHALI YA HEWA YAENDELEA KUWANOA WATAALAMU WAKE KATIKA KUKIDHI VIGEZO VYA SHIRIKA LA HALI YA HEWA DUNIANI (WMO)
IMG0086: Mgeni rasmi, Mkurugenzi Mkuu wa TMA Dkt. Agnes Kijazi katika picha ya pamoja na wahitimu wa mafunzo ya huduma za hali ya hewa kwa ajili ya usafiri wa anga kutoka Chuo cha Hali ya Hewa Kigoma,Kulia kwake mwenye tai nyekundu ni Mkuu wa Chuo cha Hali ya Hewa Kigoma Bw. Joseph...
10 years ago
Habarileo24 Mar
TMA yasisitiza usikivu utabiri Na Francisca Emmanuel wa hali ya hewa
MAKAMPUNI yenye dhamana katika sekta ya usafiri wa anga yametakiwa kuzingatia taarifa za hali ya hewa zitolewazo mara kwa mara ili kujiepusha na matatizo kadhaa yanayoweza kujitokeza.
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-jUsys5IIb-Q/VIWWTCotiOI/AAAAAAADRKQ/czUQxGXW8lo/s72-c/uk-met.jpg)
MAMLAKA YA HALI YA HEWA TANZANIA (TMA) NA OFISI YA HALI YA HEWA YA UINGEREZA (UK MET OFFICE) WASAINI MKATABA WA MAKUBALIANO (MoU) YA USHIRIKIANO KATIKA KUBORESHA HUDUMA ZA HALI YA HEWA NCHINI
![](http://2.bp.blogspot.com/-jUsys5IIb-Q/VIWWTCotiOI/AAAAAAADRKQ/czUQxGXW8lo/s1600/uk-met.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-s6H8gBDNMEY/VIVjIbUrWrI/AAAAAAAG16A/Rbr5217A81c/s72-c/unnamed%2B(68).jpg)
MAMLAKA YA HALI YA HEWA TANZANIA (TMA) NA OFISI YA HALI YA HEWA YA UINGEREZA (UK MET OFFICE) WASAINI MKATABA WA MAKUBALIANO (MoU) YA USHIRIKIANO KATIKA KUBORESHA HUDUMA ZA HALI YA HEWA NCHINI
Akizungumzia makubaliano hayo Dkt Agnes Kijazi alisema Mamlaka ya Hali ya Hewa ililiomba Shirika la Hali ya Hewa Duniani kuisaidia TMA kuboresha huduma zake ili ziwe za kisasa...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-dc4Mwrw6QT4/VBgiuf69GBI/AAAAAAAGj8M/-FVeHCAjxng/s72-c/unnamed%2B(49).jpg)
MKUU WA MKOA WA ARUSHA AAGIZA MAMLAKA ZA HALI YA HEWA KUSINI MWA AFRIKA KUSHIRIKIANA KATIKA KUTATUA CHANGAMOTO ZA HUDUMA ZA HALI YA HEWA KATIKA KANDA YA SADC
Mkutano huo unafanyika mkoani Arusha. Akifungua mkutano huo kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa wa Arusha mgeni rasmi ambaye ni mkuu wa Wilaya ya Monduli Mhe. Jowika W. Kasunga alizitaka taasis za hali ya hewa kusini mwa Afrika ikiwemo TMA kushirikiana katika kutatua changamoto zinazoikabili...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-X9uFhmcosWo/UwzIrQwpkjI/AAAAAAAFPg0/Gbj5sZTYs-c/s72-c/unnamed+(38).jpg)
MAMLAKA YA HALI YA HEWA (TMA) YAKUTANA NA WADAU WA SEKTA MBALI MBALI KUJADILI UTABIRI WA MVUA ZA MSIMU KWA MWEZI MACHI MPAKA MEI (MASIKA)
![](http://2.bp.blogspot.com/-X9uFhmcosWo/UwzIrQwpkjI/AAAAAAAFPg0/Gbj5sZTYs-c/s1600/unnamed+(38).jpg)
Kila mwaka mwezi Februari kabla ya kutoa utabiri wa msimu Mamlaka hukutana na wadau wa sekta mbali mbali nchini ili kujadili utabiri wa msimu huo wa mvua za MASIKA kwa kipindi cha miezi ya Machi hadi Mei na kuwapa wadau nafasi ya...