Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Pistorius kufanyiwa uchunguzi wa kiakili

Jaji katika kesi inayomkabili Oscar Pistorius anasema kuwa mwanariadha huyo lazima aanza kufanyiwa uchunguzi wa kiakili kuanzia Jumatatu wiki ijayo kwa mwezi mmoja

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

OSCAR PISTORIUS KUFANYIWA UCHUNGUZI WA KIAKILI KWA MWEZI MMOJA

Mwanariadha wa Afrika Kusini, Oscar Pistorius. JAJI katika kesi inayomkabili Oscar Pistorius wa Afrika Kusini anasema kuwa mwanariadha huyo lazima aanze kufanyiwa uchunguzi wa kiakili kuanzia Jumatatu wiki ijayo kwa muda wa mwezi mmoja kubaini hali yake kiakili alipomuua mpenzi wake Reeva Steenkamp. Jaji Thokozile Masipa aliamuamuru Pistorius kua awe anakwenda katika hospitali ya maradhi ya kiakili ya Weskoppies mjini Pretoria...

 

11 years ago

BBCSwahili

Hoja ya hali ya kiakili ya Pistorius

Upande wa mashitaka katika kesi dhidi ya Oscar Pistorius umewasilisha ombi la kutaka mwanariadha huyo kufanyiwa uchunguzi wa kiakili

 

11 years ago

BBCSwahili

Pistorius alikuwa sawa kiakili

Mwanariadha wa Afrika Kusini Oscar Pistorius hakuwa na tatizo lolote la kiakili wakati alipomuua mpenzi wake.

 

11 years ago

BBCSwahili

Pistorius hana tatizo la kiakili

Mwanariadha Oscar Pistorius hakuwa na tatizo lolote la kiakili wakati alipomuua mpenzi wake Reeva Steenkamp.

 

11 years ago

BBCSwahili

Oscar Pistorius kuchunguzwa kiakili

Jaji katika kesi ya Oscar Pistorius, ameamuru mwanariadha huyo apelekwe katika kituo cha afya kufanyiwa uchunguzi wa kiakili.

 

10 years ago

BBCSwahili

Rooney kufanyiwa uchunguzi zaidi

Nahodha wa Manchester united Wayne Rooney, atafanyiwa uchunguzi zaidi ili kujua ukubwa wa tatizo la goti lake.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mwili wa Al Douri kufanyiwa uchunguzi

Uchunguzi wa chembechembe za DNA unatarajiwa kufanyiwa kile maafisa nchini Iraq wanasema kuwa ni mwili wa Izzat Ibrahim al Douri

 

10 years ago

Mwananchi

Gharama Kituo cha Mabasi cha Kange kufanyiwa uchunguzi

>Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru), Dk Edward Hoseah amesema uchunguzi wa gharama zilizotumika kujenga kituo kipya cha mabasi cha Kange jijini Tanga, utakamilika kwa siku 14 kuanzia sasa.

 

10 years ago

BBCSwahili

Rubani alikuwa na matatizo ya kiakili

Viongozi wa mashtaka wa Ujerumani wanasema wamepata ushahidi unaosema kwamba rubani huyo alimficha mwajiri wake ugonjwa anaougua.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani