Pistorius kufanyiwa uchunguzi wa kiakili
Jaji katika kesi inayomkabili Oscar Pistorius anasema kuwa mwanariadha huyo lazima aanza kufanyiwa uchunguzi wa kiakili kuanzia Jumatatu wiki ijayo kwa mwezi mmoja
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ETTd9*7yfBC-GBBMsfUT7lv*SgO0Q8oj56pSMf7YY*KcWB*BO94mOdUpir9n9l0sbRMSlr*7wVjRuQzjOdyd0dfivvQ9djGS/oscarpistoriusdock.jpg)
OSCAR PISTORIUS KUFANYIWA UCHUNGUZI WA KIAKILI KWA MWEZI MMOJA
Mwanariadha wa Afrika Kusini, Oscar Pistorius. JAJI katika kesi inayomkabili Oscar Pistorius wa Afrika Kusini anasema kuwa mwanariadha huyo lazima aanze kufanyiwa uchunguzi wa kiakili kuanzia Jumatatu wiki ijayo kwa muda wa mwezi mmoja kubaini hali yake kiakili alipomuua mpenzi wake Reeva Steenkamp. Jaji Thokozile Masipa aliamuamuru Pistorius kua awe anakwenda katika hospitali ya maradhi ya kiakili ya Weskoppies mjini Pretoria...
11 years ago
BBCSwahili13 May
Hoja ya hali ya kiakili ya Pistorius
Upande wa mashitaka katika kesi dhidi ya Oscar Pistorius umewasilisha ombi la kutaka mwanariadha huyo kufanyiwa uchunguzi wa kiakili
11 years ago
BBCSwahili30 Jun
Pistorius alikuwa sawa kiakili
Mwanariadha wa Afrika Kusini Oscar Pistorius hakuwa na tatizo lolote la kiakili wakati alipomuua mpenzi wake.
11 years ago
BBCSwahili30 Jun
Pistorius hana tatizo la kiakili
Mwanariadha Oscar Pistorius hakuwa na tatizo lolote la kiakili wakati alipomuua mpenzi wake Reeva Steenkamp.
11 years ago
BBCSwahili14 May
Oscar Pistorius kuchunguzwa kiakili
Jaji katika kesi ya Oscar Pistorius, ameamuru mwanariadha huyo apelekwe katika kituo cha afya kufanyiwa uchunguzi wa kiakili.
10 years ago
BBCSwahili03 Dec
Rooney kufanyiwa uchunguzi zaidi
Nahodha wa Manchester united Wayne Rooney, atafanyiwa uchunguzi zaidi ili kujua ukubwa wa tatizo la goti lake.
10 years ago
BBCSwahili18 Apr
Mwili wa Al Douri kufanyiwa uchunguzi
Uchunguzi wa chembechembe za DNA unatarajiwa kufanyiwa kile maafisa nchini Iraq wanasema kuwa ni mwili wa Izzat Ibrahim al Douri
10 years ago
Mwananchi10 Apr
Gharama Kituo cha Mabasi cha Kange kufanyiwa uchunguzi
>Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru), Dk Edward Hoseah amesema uchunguzi wa gharama zilizotumika kujenga kituo kipya cha mabasi cha Kange jijini Tanga, utakamilika kwa siku 14 kuanzia sasa.
10 years ago
BBCSwahili27 Mar
Rubani alikuwa na matatizo ya kiakili
Viongozi wa mashtaka wa Ujerumani wanasema wamepata ushahidi unaosema kwamba rubani huyo alimficha mwajiri wake ugonjwa anaougua.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania