Oscar Pistorius kuchunguzwa kiakili
Jaji katika kesi ya Oscar Pistorius, ameamuru mwanariadha huyo apelekwe katika kituo cha afya kufanyiwa uchunguzi wa kiakili.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPLOSCAR PISTORIUS KUFANYIWA UCHUNGUZI WA KIAKILI KWA MWEZI MMOJA
Mwanariadha wa Afrika Kusini, Oscar Pistorius. JAJI katika kesi inayomkabili Oscar Pistorius wa Afrika Kusini anasema kuwa mwanariadha huyo lazima aanze kufanyiwa uchunguzi wa kiakili kuanzia Jumatatu wiki ijayo kwa muda wa mwezi mmoja kubaini hali yake kiakili alipomuua mpenzi wake Reeva Steenkamp. Jaji Thokozile Masipa aliamuamuru Pistorius kua awe anakwenda katika hospitali ya maradhi ya kiakili ya Weskoppies mjini Pretoria...
11 years ago
BBCSwahili13 May
Hoja ya hali ya kiakili ya Pistorius
Upande wa mashitaka katika kesi dhidi ya Oscar Pistorius umewasilisha ombi la kutaka mwanariadha huyo kufanyiwa uchunguzi wa kiakili
11 years ago
BBCSwahili20 May
Pistorius kufanyiwa uchunguzi wa kiakili
Jaji katika kesi inayomkabili Oscar Pistorius anasema kuwa mwanariadha huyo lazima aanza kufanyiwa uchunguzi wa kiakili kuanzia Jumatatu wiki ijayo kwa mwezi mmoja
11 years ago
BBCSwahili30 Jun
Pistorius alikuwa sawa kiakili
Mwanariadha wa Afrika Kusini Oscar Pistorius hakuwa na tatizo lolote la kiakili wakati alipomuua mpenzi wake.
11 years ago
BBCSwahili30 Jun
Pistorius hana tatizo la kiakili
Mwanariadha Oscar Pistorius hakuwa na tatizo lolote la kiakili wakati alipomuua mpenzi wake Reeva Steenkamp.
9 years ago
BBC10 years ago
BBCOscar Pistorius 'has no money'
The sentencing hearing of Oscar Pistorius hears the athlete has no money left after the seven-month trial.
10 years ago
BBCSwahili12 Sep
Oscar Pistorius asubiri hukumu
Jaji Thokozile Masipa hii leo atatoa hukumu dhidi ya kesi ya mauaji inayomkabili mwanariadha Oscar Pistorius huko Afrika Kusini.
11 years ago
BBCOscar Pistorius manager quizzed
The manager of Oscar Pistorius is cross-examined as the murder trial of the South African athlete continues in Pretoria.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania