Watoto wazidi kufanyiwa ukatili
Watoto watatu kati ya 10 wenye umri chini ya miaka 18 nchini wamefanyiwa vitendo vya ukatili.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima24 May
Wanaharakati walaani mtoto kufanyiwa ukatili
TAASISI zinazojihusisha na utetezi wa haki za binadamu, wanawake na watoto, zimelaani kitendo cha walezi wa mtoto Nasra Rashid (4) kumficha katika boksi tangu akiwa na miezi tisa hadi sasa...
5 years ago
CCM BlogSAMIA: VITENDO VYA KULAWITI WATOTO WA KIUME NI UKATILI NA UDHALILISHAJI WA WATOTO, LAZIMA VIKOMESHWE
Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan amekemea vitendo vya ukatili wa kijinsia kwa watoto hasa wa kiume ambao baadhi wamekuwa wakiwadhalilisha kwa kuwalawiti.
Ameyasema hayo leo mkoani Simiyu wakati wa Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani yaliyofanyika Kitaifa mkoani hapa/
Makamu wa Rais amewataka Watanzania kusimama pampja kwa kila mmoja kuwa mlinzi wa mwenzie na kuwa katika mapambano hayo ya kupambana na vitendo vya ukatili wa kijinsia.
"Sasa hii tabia ya kuwageuza...
9 years ago
MichuziWatoto 25 kufanyiwa Opasuaji wa Moyo JKCI
Operesheni hiyo inatekelezwa na timu ya wataalamu wanane kutoka Jumuiya hiyo kwa kushirikiana na wataalamu wa Taasisi ya JKCI.
Kaimu Mkuu wa Taasisi hiyo Profesa Mohamed Janabi amesema kambi hiyo ni ya mwisho kwa...
11 years ago
Mwananchi17 Jun
Watoto pacha kufanyiwa operesheni nyingine
11 years ago
Habarileo03 Apr
Ukimwi wazidi kuwa tishio kwa watoto
HATARI ya kuongezeka kwa vifo vya watoto vinavyotokana na upungufu wa kinga mwilini (Ukimwi) na maradhi nyemelezi, inatishia taifa.
10 years ago
BBCSwahili13 Mar
Ukatili unaofanyiwa watoto Zanzibar
11 years ago
Tanzania Daima18 Jun
Tushirikiane kukomesha ukatili kwa watoto
VITENDO vya ukatili kwa watoto nchini vinazidi kushamiri kila siku na mbaya zaidi wahusika wa vitendo hivyo ni ndugu na jamaa zao wa karibu. Hali hii ni ya kusitisha, kwani...
10 years ago
Tanzania Daima28 Aug
Wapinga ukatili kwa wanawake, watoto
TAMASHA la kupinga ukatili wa kijinsia lililopewa jina la ‘siku ya rangi ya chungwa’ limenyika jijini Dar es Salaam kupinga unyanyasaji kwa mwanamke na mtoto wa kike. Akizungumza na waandishi...
11 years ago
Tanzania Daima23 Jan
Mpango kukomesha ukatili kwa watoto wazinduliwa
SERIKALI ya Tanzania kwa kushirikiana na mashirika mbalimbali imezindua mpango wa pamoja wa kukomesha ukatili dhidi ya watoto. Akizungumza katika uzinduzi huo jijini Dar es Salaam jana, Mwakilishi wa Shirika...