Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Watoto wazidi kufanyiwa ukatili

Watoto watatu kati ya 10 wenye umri chini ya miaka 18 nchini wamefanyiwa vitendo vya ukatili.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Wanaharakati walaani mtoto kufanyiwa ukatili

TAASISI zinazojihusisha na utetezi wa haki za binadamu, wanawake na watoto, zimelaani kitendo cha walezi wa mtoto Nasra Rashid (4) kumficha katika boksi tangu akiwa na miezi tisa hadi sasa...

 

5 years ago

CCM Blog

SAMIA: VITENDO VYA KULAWITI WATOTO WA KIUME NI UKATILI NA UDHALILISHAJI WA WATOTO, LAZIMA VIKOMESHWE

Na Mwandishi Maalum, Simiyu
Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan amekemea vitendo vya ukatili wa kijinsia kwa watoto hasa wa kiume ambao baadhi wamekuwa wakiwadhalilisha kwa kuwalawiti.

Ameyasema hayo leo mkoani Simiyu wakati wa Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani yaliyofanyika Kitaifa mkoani hapa/

Makamu wa Rais amewataka Watanzania kusimama pampja kwa kila mmoja kuwa mlinzi wa mwenzie  na kuwa katika mapambano hayo ya kupambana na vitendo vya ukatili wa kijinsia.

"Sasa hii tabia ya kuwageuza...

 

9 years ago

Michuzi

Watoto 25 kufanyiwa Opasuaji wa Moyo JKCI

Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI) katika Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) kwa kushirikiana na Jumuiya ya Sharjah Khayriyyah kutoka Falme za Kiaarab wanatarajia kuwafanyia Operesheni ya moyo watoto 25. Opereshini hiyo imeanza leo na itamalizika Disemba 15, mwaka huu.
Operesheni hiyo inatekelezwa na timu ya wataalamu wanane kutoka Jumuiya hiyo kwa kushirikiana na wataalamu wa Taasisi ya JKCI.
Kaimu Mkuu wa Taasisi hiyo Profesa Mohamed Janabi amesema kambi hiyo ni ya mwisho kwa...

 

11 years ago

Mwananchi

Watoto pacha kufanyiwa operesheni nyingine

Watoto pacha waliotenganishwa, Eliud na Elikana watafanyiwa upasuaji mwingine ili kuwatengenezea njia ya mkojo ya kudumu.

 

11 years ago

Habarileo

Ukimwi wazidi kuwa tishio kwa watoto

HATARI ya kuongezeka kwa vifo vya watoto vinavyotokana na upungufu wa kinga mwilini (Ukimwi) na maradhi nyemelezi, inatishia taifa.

 

10 years ago

BBCSwahili

Ukatili unaofanyiwa watoto Zanzibar

Vitendo vya ukatili na udhalilishaji watoto ikiwemo ubakaji visiwani Zanzibar vimeelezwa kuwa tishio

 

11 years ago

Tanzania Daima

Tushirikiane kukomesha ukatili kwa watoto

VITENDO vya ukatili kwa watoto nchini vinazidi kushamiri kila siku na mbaya zaidi wahusika wa vitendo hivyo ni ndugu na jamaa zao wa karibu. Hali hii ni ya kusitisha, kwani...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Wapinga ukatili kwa wanawake, watoto

TAMASHA la kupinga ukatili wa kijinsia lililopewa jina la ‘siku ya rangi ya chungwa’ limenyika jijini Dar es Salaam kupinga unyanyasaji kwa mwanamke na mtoto wa kike. Akizungumza na waandishi...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mpango kukomesha ukatili kwa watoto wazinduliwa

SERIKALI ya Tanzania kwa kushirikiana na mashirika mbalimbali imezindua mpango wa pamoja  wa kukomesha ukatili dhidi ya watoto. Akizungumza katika uzinduzi huo jijini Dar es Salaam jana, Mwakilishi wa  Shirika...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani