Harambee stars yarejea nyumbani
Baada ya kukataa kusafiri kwenda Darfur kuchuana na timu ya taifa ya Sudan kwenye mechi ya kirafiki siku ya Alhamisi
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziSTARS YAREJEA NYUMBANI MIKONO NYUMA
Stars ambayo jana jioni ilipoteza mchezo wake wa mwisho dhidi ya Lesotho baada ya kufungwa bao 1 - 0, imerejea baadaa ya kupoteza michezo yote mitatu ya kundi B, baada ya kufungwa na Swaziland, Madagascar na Lesotho.
Mara baada ya mchezo wa jana dhidi ya Lesotho, kocha mkuu wa Taifa Stars Mart...
11 years ago
GPLKILI STARS YAONDOLEWA CHALENJI, YAPIGWA NA HARAMBEE STARS 1-0
9 years ago
BBCSwahili18 Nov
Taifa stars, Harambee Stars hoi
9 years ago
Habarileo03 Sep
Stars yarejea na kutamba
TIMU ya soka ya Taifa, Taifa Stars, imerejea nchini alfajiri ya jana ikitokea Uturuki huku kocha wake mkuu Charles Mkwasa akisema hawaiogopi Nigeria.
11 years ago
Tanzania Daima08 Jul
Stars yarejea, matumaini kibao
MSAFARA wa timu ya soka ya Tanzania, Taifa Stars, ulirejea juzi jioni ukitokea kupiga kambi nchini Botswana huku Kocha Mart Nooij akiwa na matumaini makubwa ya kuifunga Msumbiji katika mechi...
11 years ago
Tanzania Daima23 Jul
Stars yarejea kambini Mbeya
KIKOSI cha timu ya soka ya Tanzania, Taifa Stars kesho kinatarajia kwenda jijini Mbeya kuendelea kujifua kuelekea mechi ya marudiano dhidi ya Msumbiji itakayochezwa wiki mbili zijazo, mjini Maputo, Msumbiji....
10 years ago
MichuziTAIFA STARS MABORESHO YAREJEA DAR
Timu hiyo ambayo leo asubuhi imefanya mazoezi kwenye Uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza, itatua Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) kwa ndege ya Fastjet saa 12.30 jioni na kwenda moja kwa moja kambini hoteli ya Tansoma.
Stars inayodhaminiwa na Kilimanjaro Premium Lager kesho...
9 years ago
Mwananchi19 Nov
Stars yarejea kipigo cha 1945
9 years ago
Habarileo02 Sep
Stars yarejea imeiva atamba Nadir
KIKOSI cha timu ya soka ya taifa, Taifa Stars kilitarajiwa kuwasili nchini alfajiri ya leo kikitokea Uturuki huku wachezaji wake wakitamba kuiva vya kutosha kuikabili Nigeria.