Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


UCHAGUZI WA VIONGOZI UMOJA WA WATANZANIA NORTH CAROLINA UTNC 2014, ANNA SIMTAJI MMANYWA NDIYE MWENYEKITI MPYA

Uchaguzi wa viongozi uliofanyika Jumamosi Novemba 1, 2014 na kuwachagua viongozi wapya wa jumuiya ya Watanzania North Carolina ambako aliyekua mwenyekiti wa Jumuiya hiyo Geofrey Lipana alimaliza muda wake na kumkabidhi kiti Anna Simtaji Mmanywa ambaye atasaidiana na viongozi wenzake waliochaguliwa. Katika uchaguzi huo,  kura zilipigwa kwa wazi na kuandika historia mpya kwenye jimbo hilo la North Carolina. 
Mbali na Anna Simtaji Mmanywa viongozi wengine waliochaguliwa ni Katibu ni Mshobozi...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

Mkutano wa Viongozi wa Jumuiya ya Watanzania North Carolina Jan 17, 2015

IMG_6126Viongozi wa Jumuiya ya Watanzania North Carolina walikuwa na mkutano wa “Strategic Leadership Meeting” uliofanyika jumamosi January 17, 2015. Mkutano ulidhaminiwa na Mount Eagle University na ulifanyika Winston-Salem , (Pictures na Lucas Mmanywa) Kwa habari zaidi za Jumuiya ya Watanzania North Carolina Tembelea Tovuti yao utnc.org/blog

 

10 years ago

Vijimambo

IBADA YA KUMBUKUMBU YA MAISHA YA REV. EDWARD MMANYWA WINSTON SALEM, NORTH CAROLINA NCHINI MAREKANI

Ibada ya kumbukumbu ya maisha ya marehemu Re. Dr. Edward Mmanywa iliyofanyika siku ya Jumapili Octoba 26, 2014 Winston Salem, North Carolina nchini Marekani na kuhudhuria na ndugu jamaa na marafiki.Mchungaji Dupe Akinola akiongoza ibada iliyofanyika katika kanisa la Christ Center Assembly siku ya Jumapili Octoba 26, 2014.Mchungaji Yinka Akinola akitoa neno la kuwafariji wafiwa katika kanisa la Christ Center Assembly ilikofanyika ibada ya kumbukumbu ya maisha ya marehemu Rev. Dr. Edward...

 

10 years ago

Vijimambo

DICOTA 2014 CONVETION DURHAM, NORTH CAROLINA


 Wadau mbalimbali wakiwasili kwenye hotel ya Millennium Durham tayari kwenye DICOTA 2014 utaonza rasmi Ijumaa Oct 3, 2014 kwenye mji wa Durham jimbo la North Carolina mkutano utamalizika siku ya Jumapili Oct 5, 2014 kwenye picha kushoto ni mpiga picha za kiwango na maarufu kutoka DMV Bi Iska Jojo na makamu wa rais DMV Bi, Harriet Shangarai wakielekea vyumbani baada ya kuwasili kwenye hotel ya Millennium muda si mrefu na kukutana na ukodak wa Vijimambo ambao utakuwepo kwenye mkutano huo...

 

10 years ago

Vijimambo

Welcome to DICOTA 2014 Convention in Durham North Carolina

A Welcome note from the DICOTA President,

 Dear All
Welcome to Durham: Getting Around the City
Arrival: If you’re arriving via RDU Airport, there are several options that will take you to the Millennium Durham Hotel.
1. The dedicated DICOTA Logistic Team will be at their airport. Contact Mr. Saburi Mtarazaki at 919 423 0657 or Mr. Tony Ntirugelegwa at 919 599 7459 and their team, they will give you a ride to the hotel (as part of your convention registration fee- you don’t need to pay for...

 

10 years ago

Vijimambo

LIVEDICOTA 2014 CONVETION DURHAM NORTH CAROLINA

   

Broadcast live streaming video on Ustream

 

10 years ago

GPL

DICOTA 2014 CONVETION DURHAM, NORTH CAROLINA‏

 Wadau mbalimbali wakiwasili kwenye hotel ya Millennium Durham tayari kwenye DICOTA 2014 utaonza rasmi Ijumaa Oct 3, 2014 kwenye mji wa Durham jimbo la North Carolina mkutano utamalizika siku ya Jumapili Oct 5, 2014 kwenye picha kushoto ni mpiga picha za kiwango na maarufu kutoka DMV Bi Iska Jojo na makamu wa rais DMV Bi, Harriet Shangarai wakielekea vyumbani baada ya kuwasili kwenye hotel ya Millennium muda si mrefu na...

 

11 years ago

Michuzi

Umoja wa waTanzania Ujerumani (UTU) kufanya mkutato mkuu wa Uchaguzi 26.April 2014 Berlin

Berlin,Ujerumani, Umoja wa Watanzania Ujerumani (UTU) unatarajia kufanya mkutano wake mkuu  wa uchaguzi siku ya kilele cha sherehe za muunganno wa Tanzania mjini Berlin, Ujerumani. siku ya tarehe 26.April.2014 kuanzia saa 7 mchana katika ukumbi wa Deutsche Bank, Unter den Linden 13-15, 10117 Berlin, Ujerumani.
Watanzania wote wanaoishi Ujerumani wanaombwa kuhudhuria kwa wingi katika mkutano huu muhimu wa chombo chao UTU ambao kinawaunganisha watanzania wote waishio ujerumani bila kujali...

 

11 years ago

GPL

UMOJA WA WATANZANIA UJERUMANI (UTU) KUFANYA MKUTANO MKUU WA UCHAGUZI APRILI 26, 2014 BERLIN

Mwenyekiti wa UTU, MP Mfundo. Berlin, Ujerumani,
UMOJA wa Watanzania Ujerumani (UTU) unatarajia kufanya mkutano wake mkuu wa uchaguzi siku ya kilele cha sherehe za muunganno wa Tanzania mjini Berlin, Ujerumani. Tarehe 26, Aprili 2014 kuanzia saa 7 mchana katika ukumbi wa Deutsche Bank, Unter den Linden 13-15, 10117 Berlin, Ujerumani. Watanzania wote wanaoishi Ujerumani wanaombwa kuhudhuria kwa wingi katika mkutano huu muhimu...

 

11 years ago

Michuzi

Umoja wa waTanzania Ujerumani (UTU) kufanya mkutato mkuu wa Uchaguzi .April 26, 2014 mjini Berlin

Umoja wa Watanzania Ujerumani (UTU) unatarajia kufanya mkutano wake mkuu  wa uchaguzi siku ya kilele cha sherehe za muunganno wa Tanzania mjini Berlin, Ujerumani. siku ya tarehe 26.April.2014 kuanzia saa 7 mchana katika ukumbi wa Deutsche Bank, Unter den Linden 13-15, 10117 Berlin, Ujerumani. Watanzania wote wanaoishi Ujerumani wanaombwa kuhudhuria kwa wingi katika mkutano huu muhimu wa chombo chao UTU ambao kinawaunganisha watanzania wote waishio ujerumani bila kujali itikadi zao za...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani