Umoja wa waTanzania Ujerumani (UTU) kufanya mkutato mkuu wa Uchaguzi 26.April 2014 Berlin
Berlin,Ujerumani,
Umoja wa Watanzania Ujerumani (UTU) unatarajia kufanya mkutano wake mkuu wa uchaguzi siku ya kilele cha sherehe za muunganno wa Tanzania mjini Berlin, Ujerumani. siku ya tarehe 26.April.2014 kuanzia saa 7 mchana katika ukumbi wa Deutsche Bank, Unter den Linden 13-15, 10117 Berlin, Ujerumani.
Watanzania wote wanaoishi Ujerumani wanaombwa kuhudhuria kwa wingi katika mkutano huu muhimu wa chombo chao UTU ambao kinawaunganisha watanzania wote waishio ujerumani bila kujali...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-mvGxljca6-k/U0q6xafy-ZI/AAAAAAAFagU/KloqIywStKU/s72-c/images+(1).jpg)
Umoja wa waTanzania Ujerumani (UTU) kufanya mkutato mkuu wa Uchaguzi .April 26, 2014 mjini Berlin
![](http://4.bp.blogspot.com/-mvGxljca6-k/U0q6xafy-ZI/AAAAAAAFagU/KloqIywStKU/s1600/images+(1).jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/zbcSW1D04asG4Yx4OnAu2PoKC7x*OmzyrBB0yn5rymuOndh*PdNiW*H3w7o6WXb*0qUtAossRZ4r04EXcvbeRf0JUck7X2JC/LOGO_UTU.jpg?width=650)
UMOJA WA WATANZANIA UJERUMANI (UTU) KUFANYA MKUTANO MKUU WA UCHAGUZI APRILI 26, 2014 BERLIN
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-IKAaiarNfvI/VM6dNxNCe3I/AAAAAAAHAzY/vnwaVWTlhtA/s72-c/unnamed%2B(90).jpg)
Makamu mwenyekiti wa Umoja wa Watanzania Ujerumani (UTU e.V) kuwasili nchini leo
![](http://2.bp.blogspot.com/-IKAaiarNfvI/VM6dNxNCe3I/AAAAAAAHAzY/vnwaVWTlhtA/s1600/unnamed%2B(90).jpg)
Akiwa nchini atafanya mazungumzo na uongozi wa taasisi mbali mbali zikiwepo TIC, Basata, Wizara ya Ardhi,Wizara ya Habari,Vijana,Utamaduni na Michezo pamoja na mashirika ya NSSF, NHC, Tanzania Diaspora Initiative.
Mazungumzo hayo yatalenga upatikanaji wa Fursa zilizopo Tanzania kwa Diaspora....
10 years ago
VijimamboUCHAGUZI WA VIONGOZI UMOJA WA WATANZANIA NORTH CAROLINA UTNC 2014, ANNA SIMTAJI MMANYWA NDIYE MWENYEKITI MPYA
Mbali na Anna Simtaji Mmanywa viongozi wengine waliochaguliwa ni Katibu ni Mshobozi...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-k3YxBRJ3rHg/U3kdkn_AEpI/AAAAAAAFjm8/hhzR93zSIFA/s72-c/unnamed+(45).jpg)
Umoja Wa Watanzania Ujerumani Wazindua Tovuti
![](http://3.bp.blogspot.com/-k3YxBRJ3rHg/U3kdkn_AEpI/AAAAAAAFjm8/hhzR93zSIFA/s1600/unnamed+(45).jpg)
9 years ago
MichuziWaangalizi wa uchaguzi kutoka Umoja wa Ulaya (EU) kuingia nchini kufuatilia Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 25
9 years ago
VijimamboWAANGALIZI WA UCHAGUZI KUTOKA UMOJA WA AFRIKA (AU) WATUA OFISINI KWA WAZIRI CHIKAWE, WAJADILIANA KUHUSU UCHAGUZI MKUU.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-aoVk7C0BsmI/Xl1XuJhOEPI/AAAAAAALgdY/h1kvwC6dXjAJ9QtGPkZwbt1TMb4wXlq-wCLcBGAsYHQ/s72-c/PHOTO-2020-03-02-20-44-23.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Sg5jjPVxmQI/VMjpj2XnHcI/AAAAAAAG_6Y/nU_0FMkVivE/s72-c/0L7C0310.jpg)
ANKAL AKIWA NA WADAU WA BERLIN, UJERUMANI
![](http://4.bp.blogspot.com/-Sg5jjPVxmQI/VMjpj2XnHcI/AAAAAAAG_6Y/nU_0FMkVivE/s1600/0L7C0310.jpg)