UCHAGUZI WA UMOJA WA WATANZANIA WAISHIO AFRIKA KUSINI KUFANYIKA MACHI 21, 2020
![](https://1.bp.blogspot.com/-aoVk7C0BsmI/Xl1XuJhOEPI/AAAAAAALgdY/h1kvwC6dXjAJ9QtGPkZwbt1TMb4wXlq-wCLcBGAsYHQ/s72-c/PHOTO-2020-03-02-20-44-23.jpg)
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-JPg6mHxOD6U/UwdEPsEnHXI/AAAAAAAFOm4/LDfYxrNZmdQ/s72-c/TASWALOGO.jpg)
UCHAGUZI WA KAMATI YA UTENDAJI YA TASWA KUFANYIKA MACHI 2,2014
![](http://2.bp.blogspot.com/-JPg6mHxOD6U/UwdEPsEnHXI/AAAAAAAFOm4/LDfYxrNZmdQ/s1600/TASWALOGO.jpg)
Fomu kwa ajili ya waombaji uongozi zinaanza kutolewa Jumatatu (Februari 24 mwaka huu) kwenye ofisi za Idara ya Habari. Mwisho wa kuchukua na kurudisha fomu ni Alhamisi (Februari 27 mwaka huu) saa 9 alasiri.
Ada kwa wagombea wa nafasi za Mwenyekiti, Makamu Mwenyekiti, Katibu Mkuu, Katibu Msaidizi, Mhazini na Mhazini Msaidizi ni sh. 50,000 kwa fomu....
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-Lan-pcEuezY/VX0BU3apIjI/AAAAAAAHfSE/es9kYldeCic/s72-c/unnamed%2B%252846%2529.jpg)
RAIS KIKWETE AWASILI AFRIKA KUSINI KUHUDHURIA MKUTANO WA 25 WA UMOJA WA AFRIKA
![](http://1.bp.blogspot.com/-Lan-pcEuezY/VX0BU3apIjI/AAAAAAAHfSE/es9kYldeCic/s640/unnamed%2B%252846%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-f6T41KzEiUg/VX0BUzf7sgI/AAAAAAAHfSA/IDRjfqJw3t8/s640/unnamed%2B%252847%2529.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-6nxr3mhY4ZE/XneROqz0QAI/AAAAAAALkvw/3iIx9O0G2AQ1i7idydFe2AS5hGLOCv3JwCLcBGAsYHQ/s72-c/CNT_0904.jpg)
WAZIRI HASUNGA AFUTA MIKUTANO YOTE YA WADAU WA KILIMO ILIYOPANGWA KUFANYIKA MWEZI MACHI NA APRILI 2020 ILI KUJIEPUSHA NA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-6nxr3mhY4ZE/XneROqz0QAI/AAAAAAALkvw/3iIx9O0G2AQ1i7idydFe2AS5hGLOCv3JwCLcBGAsYHQ/s640/CNT_0904.jpg)
Waziri wa Kilimo Mhe Japhet Hasunga (Mb) akitoa taarifa ya kufuta mikutano ya wadau wa kilimo wakati akizungumza Ofisini kwake Jijini Dodoma leo tarehe 22 Machi 2020.
Na Mathias Canal, Wizara ya Kilimo-Dodoma
Kutokana na kuwepo kwa ugonjwa wa homa kali ya mapafu ujulikanao kama corona Wizara ya Kilimo imeamua kufuta mikutano yote ya wadau wa mazao ya kilimo iliyopangwa kufanyika kati ya mwezi Machi na Aprili, 2020 hadi hapo baadae maelekezo yatakapotolewa na kuziagiza Bodi za mazao na Taasisi...
9 years ago
VijimamboWAANGALIZI WA UCHAGUZI KUTOKA UMOJA WA AFRIKA (AU) WATUA OFISINI KWA WAZIRI CHIKAWE, WAJADILIANA KUHUSU UCHAGUZI MKUU.
10 years ago
GPLWATANZANIA WAISHIO BOTSWANA WAVUTIWA NA KUJIUNGA KWA WINGI KATIKA GEPF DIASPORA SCHEME (GDS) ULIOANZISHWA MAALUM KWA WATANZANIA WAISHIO NJE NA MFUKO WA GEPF.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/a5b4X5Lcvi3MIHYmP0iOIeT8RMl18MgRxV3MpXO7PVpe3cUgMeaEsc1H22Ly*1Bjh6nsuZed1*SPi1nYAJk0UCyXAu7ZfU87/billboard_MAMA_980x368.jpg?width=650)
TUZO ZA MTV MAMA KUFANYIKA LEO, DURBAN AFRIKA KUSINI
10 years ago
Habarileo21 Apr
‘Watanzania hawajafa Afrika Kusini’
SERIKALI imesema hakuna Mtanzania aliyekufa Afrika Kusini, licha ya watu kadhaa kutoka mataifa mengine kupoteza maisha.
10 years ago
Mwananchi26 Apr
Watanzania waliokuwa Afrika Kusini warudishwa
10 years ago
Mtanzania21 Apr
Watanzania 23 walijificha dukani Afrika Kusini
Patricia Kimelemeta na Grace Shitundu
SERIKALI imesema Watanzania 23 wamenusurika kuuawa katika ghasia zinazoendelea nchini Afrika Kusini baada ya kujificha kwenye duka kubwa (Supermarket).
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe, alisema hadi jana hakuna taarifa za Mtanzania aliyepoteza maisha.
Alisema katika vurugu hizo, watu wanane ambao walifariki dunia wanatoka nchi za Malawi, Msumbiji, Ethiopia,...