Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TFF yamtaka Mkwasa kusuka, kunyoa

SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF) limemtaka kocha wa muda wa timu ya taifa Taifa Stars Charles Mkwasa kufanya maamuzi kama atabaki kuwa kwenye timu hiyo ama Yanga. TFF ilimpa Mkwasa nafasi ya kuwa kocha wa muda wa Stars baada ya kumfuta kazi Mart Nooij Julai mwaka huu.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Pluijm kusuka au kunyoa

Kocha Mdachi wa Yanga, Hans Pluijm ndiye pekee anayejua hatima ya wachezaji tisa wa klabu hiyo kuendelea au kuondolewa kwenye klabu hiyo msimu ujao.

 

10 years ago

Tanzania Daima

JK: Aprili 30 kusuka au kunyoa

RAIS Jakaya Kikwete, amesema kuwa Aprili 30 mwakani ni siku ya kusuka au kunyoa katika kupata Katiba Mpya. Rais Kikwete, alitoa kauli hiyo mjini Dodoma jana wakati akizungumza katika mkutano...

 

10 years ago

BBCSwahili

Kusuka au kunyoa Twiga au Shepolopolo?

Ni kusuka au kunyoa ambapo kitendawili cha timu gani itafuzu kucheza fainali za michezo ya Afrika kwa upande wa soka la wanawake .

 

11 years ago

Tanzania Daima

TFF yampongeza Mkwasa

SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF), limetuma salamu za pongezi kwa aliyekuwa Kocha Msaidizi wa Yanga, Charles Mkwasa ‘Master’ kwa kupata nafasi ya kuwa msaidizi wa Mholanzi Hans van Pluijm katika...

 

9 years ago

Raia Mwema

Mkwasa ametuma salamu TFF

KAMA ulikuwa miongoni mwa watazamaji Jumamosi ya wiki iliyopita katika Uwanja wa Taifa jijini Dar

Mwandishi Wetu

 

9 years ago

TheCitizen

Kudos to the TFF, but Mkwasa shouldn’t relax

It has been said time and again that local coaches are equally as good as their foreign counterparts. In fact, they are even better than their hyped and highly paid colleagues.

 

10 years ago

Mwananchi

MTAZAMO: TFF inataka mafanikio ya mkato kwa Mkwasa

Hakuna mtoto wa waziri anayecheza soka, hakuna mtoto wa mwanasheria anayecheza soka. Soka inachezwa na watu wanaotoka kwenye familia ambazo hazina maisha mazuri na hilo ndiyo daraja la kuelekea maisha mazuri.

 

11 years ago

Mwananchi

Hatua za kunyoa vinyweleo

Msomaji wa kipengele hiki cha urembo, leo tutaangalia hatua za kufuta wakati wa kunyoa vinyweleo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani