JK: Aprili 30 kusuka au kunyoa
RAIS Jakaya Kikwete, amesema kuwa Aprili 30 mwakani ni siku ya kusuka au kunyoa katika kupata Katiba Mpya. Rais Kikwete, alitoa kauli hiyo mjini Dodoma jana wakati akizungumza katika mkutano...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi02 Jan
Pluijm kusuka au kunyoa
10 years ago
BBCSwahili09 Apr
Kusuka au kunyoa Twiga au Shepolopolo?
9 years ago
Habarileo04 Oct
TFF yamtaka Mkwasa kusuka, kunyoa
SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF) limemtaka kocha wa muda wa timu ya taifa Taifa Stars Charles Mkwasa kufanya maamuzi kama atabaki kuwa kwenye timu hiyo ama Yanga. TFF ilimpa Mkwasa nafasi ya kuwa kocha wa muda wa Stars baada ya kumfuta kazi Mart Nooij Julai mwaka huu.
11 years ago
Mwananchi25 May
Hatua za kunyoa vinyweleo
10 years ago
Mtanzania25 Feb
CCM yajichimbia kusuka ripoti ya kina Lowassa
Na Esther Mbussi, Dar es Salaam
KAMATI Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CC), itategua kitendawili dhidi ya makada sita waliopewa adhabu ya mwaka mmoja kwa madai ya kuanza kampeni za kuwania urais ndani ya chama hicho kabla ya wakati.
Kutokana na hatua hiyo katika kikao hicho kitakachofanyika Februari 28, Mwenyekiti wa Kamati Ndogo ya Maadili ya CCM, Philip Mangula, atawasilisha ripoti yake ya tathmini dhidi ya makada hao kama walitekeleza adhabu waliyopewa na chama ama la.
Makada hao walitakiwa...
11 years ago
Mwananchi28 Mar
Wakorea waagizwa kunyoa kiduku kama Rais wao Kim
9 years ago
Vijimambo16 Oct
Shahidi aeleza anayedaiwa kusuka mpango wa mauaji alivyonaswa
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Msuya-16Oct2015.png)
Shahidi wa tatu wa upande wa mashtaka, Damian Chilumba, katika kesi ndani ya kesi iliyoibuka wakati wa usikilizwaji wa kesi ya mauaji ya kukusudia ya mfanyabiashara, bilionea wa madini ya Tanzanite, Erasto Msuya (43), amedai mshtakiwa Mussa Mangu, ndiye aliyeisaidia Polisi kumtia mbaroni ‘bosi’ aliyesuka mpango mzima wa mauaji hayo.
Chilumba ambaye kwa sasa ni Mkaguzi wa Polisi, Kanda Maalum ya Dar es Salaam, alimedai baada ya kumkamata Mussa, aliwaeleza kwamba yeye binafsi...
9 years ago
Bongo509 Nov
Kanye West hutumia zaidi ya shilingi milioni moja kila siku kunyoa nywele
![screen-shot-2015-04-16-at-8-54-18-am](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/screen-shot-2015-04-16-at-8-54-18-am1-300x194.png)
Kanye West anadai kutumia $500 kila siku ambazo ni zaidi ya shilingi milioni moja kunyoa nywele.
Kwa mwaka hiyo inaaminisha kuwa hutumia zaidi ya $180,000.
Taarifa hizo zilisemwa na baba yake Rihanna kwenye mahojiano na jarida la Heat, Ronald Fenty, aliyesafiri na Kanye na mwanae kwenye ziara yao mwaka 2010.
“It’s crazy – he pays his barber $500 a time,” alisema. “I don’t understand how that much hair gets taken off. Kanye just loves the fresh look.”
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!!...