Shahidi aeleza anayedaiwa kusuka mpango wa mauaji alivyonaswa
Erasto Msuya
Shahidi wa tatu wa upande wa mashtaka, Damian Chilumba, katika kesi ndani ya kesi iliyoibuka wakati wa usikilizwaji wa kesi ya mauaji ya kukusudia ya mfanyabiashara, bilionea wa madini ya Tanzanite, Erasto Msuya (43), amedai mshtakiwa Mussa Mangu, ndiye aliyeisaidia Polisi kumtia mbaroni ‘bosi’ aliyesuka mpango mzima wa mauaji hayo.
Chilumba ambaye kwa sasa ni Mkaguzi wa Polisi, Kanda Maalum ya Dar es Salaam, alimedai baada ya kumkamata Mussa, aliwaeleza kwamba yeye binafsi...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi24 Mar
Shahidi aeleza mengi mauaji ya polisi Mwanga
11 years ago
Habarileo17 Jul
Shahidi aeleza watuhumiwa walivyokamatwa
SHAHIDI wa tatu wa kesi ya wizi wa simu za thamani ya Sh milioni 19.4 inayowakabili wafanyakazi sita wa Kampuni ya kupakia na kupakua mizigo ya Swissport, ameieleza Mahakama ya Wilaya ya Ilala kuwa aliwakamata watuhumiwa hao kwa nyakati tofauti.
11 years ago
Mwananchi02 Apr
Shahidi aeleza alivyoshuhudia uporaji Mwanga
9 years ago
Habarileo10 Dec
Shahidi aeleza Mwale ‘alivyocheza’ na akaunti
SHAHIDI wa kwanza katika kesi inayomkabili wakili maarufu hapa, Median Mwale na wenzake watatu, Ofisa wa Jeshi la Polisi, Fadhili Mdem, ameieleza Mahakama Kuu Kanda ya Arusha, kuwa Mwale alipokea dola za Marekani kutoka akaunti ya Moyale Precious Gems Mineral and Enterprise Ltd iliyofunguliwa ikiwa na upungufu wa nyaraka.
10 years ago
Habarileo28 Aug
Shahidi aeleza alivyoingiliwa kimwili na mganga
SHAHIDI wa pili katika kesi ya kujipatia mali kwa njia ya udanganyifu inayomkabili mganga wa kienyeji, Yahaya Michael (34) ameieleza Mahakama ya Wilaya ya Ilala jinsi alivyoingiliwa kimwili na mganga huyo kwa madai kwamba atampatia dawa ya kupata mtoto.
10 years ago
Habarileo14 Aug
Shahidi aeleza trafiki feki alivyofukuzwa chuoni
SHAHIDI wa pili katika kesi ya aliyejifanya askari polisi wa usalama barabarani, James Hassan (45) ameileza Mahakama ya Wilaya ya Ilala jijini Dar es Salaam kuwa mshitakiwa huyo alifukuzwa baada ya kuchelewa kuingia chuoni.
11 years ago
Tanzania Daima05 Aug
Shahidi aeleza mshitakiwa alivyosaidiwa kutorosha twiga
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Moshi, Kilimanjaro imeelezwa namna mshitakiwa namba moja katika kesi ya utoroshaji wa wanyama hai 130 wakiwamo twiga wanne kwenda nchi za Falme za Kiarabu, Kamran Ahmed,...
10 years ago
Mwananchi13 Feb
Shahidi aeleza walivyotekeleza agizo la Kamanda Kamuhanda
10 years ago
Mwananchi11 Feb
Shahidi aeleza Sheikh Ponda alivyorekodiwa kwa siri