CCM yajichimbia kusuka ripoti ya kina Lowassa
Na Esther Mbussi, Dar es Salaam
KAMATI Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CC), itategua kitendawili dhidi ya makada sita waliopewa adhabu ya mwaka mmoja kwa madai ya kuanza kampeni za kuwania urais ndani ya chama hicho kabla ya wakati.
Kutokana na hatua hiyo katika kikao hicho kitakachofanyika Februari 28, Mwenyekiti wa Kamati Ndogo ya Maadili ya CCM, Philip Mangula, atawasilisha ripoti yake ya tathmini dhidi ya makada hao kama walitekeleza adhabu waliyopewa na chama ama la.
Makada hao walitakiwa...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo29 Mar
BREAKING NEWZZZZ RIPOTI MPYA YAMBIO ZA URAIS YATOKA,NI LOWASSA NA MWIGULU KWA CCM,CHADEMA NI SLAA
![](https://scontent-mad.xx.fbcdn.net/hphotos-xfp1/v/t1.0-9/22704_1569880066600782_5729300747823912878_n.jpg?oh=fb2b3e73471792eff272f55885ecb6d5&oe=55BA6448)
![](https://fbcdn-sphotos-g-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xat1/v/t1.0-9/11088391_1569879943267461_6356965142291801367_n.jpg?oh=98c95caf8f7e226648aac5ff9fb1e72d&oe=55A2A432&__gda__=1438144826_c25d0eba2b617db29bac257850f9a5af)
![](https://scontent-mad.xx.fbcdn.net/hphotos-xpf1/v/t1.0-9/11083873_1569879993267456_2357284592050219961_n.jpg?oh=c8ead43229af3eba53df416d885472cd&oe=55B11F22)
![](https://scontent-mad.xx.fbcdn.net/hphotos-xpa1/v/t1.0-9/11113836_1569880109934111_7712167609056260833_n.jpg?oh=fe0ce65d12eaf144fed451ec7cb4b46b&oe=55B06A9F)
Ripoti hi imetolewa hi leo Jijini DSm,Ripoti yote itawajia
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-RRsTyZ8EtBo/U26Syy-lJuI/AAAAAAAFgw4/V7XMGNjNeVA/s72-c/PICHA+NO+1.jpg)
OFISI YA TAIFA YA TAKWIMU YAENDELEA NA UANDISHI WA RIPOTI ZA KINA ZINAZOTOKANA NA SENSA YA WATU NA MAKAZI YA MWAKA 2012
![](http://1.bp.blogspot.com/-RRsTyZ8EtBo/U26Syy-lJuI/AAAAAAAFgw4/V7XMGNjNeVA/s1600/PICHA+NO+1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-4cbgItD-VRA/U26SzcO8h8I/AAAAAAAFgxE/j7okly2i7Fc/s1600/PICHA+NO+2.jpg)
10 years ago
Vijimambo25 Feb
Hukumu ya kina Lowassa, Wasira, Membe Jumamosi.
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/nAPE-25Feb2015.jpg)
Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CC-CCM) Taifa, itafanya kikao cha kawaida cha siku moja Jumamosi ijayo, huku hatima ya makada sita wa chama hicho, akiwamo Waziri Mkuu mstaafu, Edward Lowassa, kama walitimiza au la masharti ya adhabu ya kifungo cha miezi 12 waliyopewa na Chama, ikitarajiwa kujulikana baada ya kikao hicho cha CC.
Pia inatarajia kutoa hatima ya Mbunge wa Muleba Kusini (CCM), Prof. Anna...
10 years ago
Raia Mwema05 Aug
Kamari waliyoicheza kina Mbowe na Lowassa isipolipa watalipa?
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimeweka hatima yake, hadhi yake, na sifa zake zote m
Lula wa Ndali Mwananzela
10 years ago
Tanzania Daima24 Nov
Wenje: CCM imewatupa vijana, kina mama
MBUNGE wa Nyamagana, Ezekiel Wenje (CHADEMA), amesema Serikali inayoongozwa na Chama Cha Mapinduzi (CCM), imeshindwa kuwathamini vijana na wanawake kitendo kinachosababisha uhalifu. Kauli hiyo, ameitoa juzi wakati wa harambee ya...
10 years ago
Tanzania Daima26 Oct
CCM kina haki gani kudai chama makini?
UKIENDA sehemu inayouzwa pombe hukosi kusikia majisifu (maneno anayosema mtu kujitukuza kwa nia ya kujionesha kuwa bora) ya walevi. Wengine hugawa vinywaji, kuku na nyama za kuokwa lakini maisha ya...
10 years ago
Mwananchi11 Jul
URAIS CCM: Migiro athibitisha; kimya kingi kina mshindo mkuu
10 years ago
VijimamboM/KITI WA TAWI LA CCM CALIFORNIA ATEMBELEA WODI YA KINA-MAMA HOSPITALI YA MWANANYAMALA