Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wakorea waagizwa kunyoa kiduku kama Rais wao Kim

Wanaume Korea Kaskazini wanakabiliwa na mtihani mpya katika taifa lao; wa kunyoa nywele kwa mtindo ulioamuliwa na rais wao.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

GPL

‘RAIS MTARAJIWA’ KANYE WEST NA MKEWE KIM WAHUDHURIA HARUSI YA BOSI WAO

Kanye West na mkewe, Kim Kardashian. Kanye na mkewe, Kim. Kanye West. Mwanamitindo maarufu duniani, Kim Kardashian, alipokuwa akielekea kwenye harusi ya bosi wao. Kanye na Kim New York,…

 

10 years ago

Tanzania Daima

Ya Warioba; tusiwe kama wao kwani wao sio sisi

MOJAWAPO ya vitu ambavyo naviogopa sana ninapotafakari hatima ya taifa letu huko mbeleni ni uwezekano kuwa tunaweza kubadilisha watawala bila kubadilisha utawala. Lugha ya kisiasa nchini imebadilika sana kiasi kwamba...

 

9 years ago

Bongo5

Kanye West na Kim Kardashian watoa jina la mtoto wao wa kiume

kanye and kim

Baada ya ubashiri wa watu wengi juu ya jina atakalopewa mtoto wa pili wa mastaa Kanye West na mkewe Kim Kardashian West, hatimaye wazazi wake wametoa jina.

kanye and kim

Mtoto wao wa kiume aliyezaliwa siku ya Jumamosi asubuhi wamemuita ‘SAINT WEST’, unalionaje?

Kim K ameshare na ulimwengu jina la baby brother wa North West kupitia website yake kwa kuandika, “To our fans. Saint West. 12.05.15. 8 pounds, 1 ounce.” Na kwenye page yake ya Instagram alipost emoji za watu wanne, baba, mama, na watoto wawili...

 

11 years ago

GPL

CHUCHU NA RAY KAMA KIM NA KANYE

KUKOPI na kupesti bila kuboresha! Mastaa wenye mapenzi kama ya njiwa kutoka kiwanda cha filamu za Kibongo, Chuchu Hans na Vincent Kigosi ‘Ray The Greatest’ wamekuwa wakitupia swaga za picha kama zile za Kim Kardashian na mwandani wake, Kanye West. Wasanii wa filamu za Kibongo, Chuchu Hans na Vincent Kigosi ‘Ray The Greatest’ wakijiachia. Kupitia kurasa zao za mitandao ya kijamii, Chuchu na Ray ambao...

 

10 years ago

GPL

HAMISA MABETO KAMA KIM, AMBER ROSE

Na Hamida Hassan
Tabia ya mastaa kujipiga picha za nusu utupu wakiwa na mimba haikuwepo Bongo, wamekuwa wakifanya hivyo mastaa wa nje kama vile Kim Kardashian, Amber Rose na wengineo lakini mwanamitindo, Hamisa Mabeto amefanya hivyo kisha kuzitupia picha zake mtandaoni. Hamisa Mabeto. Hamisa alijifungua hivi karibu baada ya kufanikiwa kuificha mimba yake lakini kumbe alijipiga picha hizo za kihasara kisha kuzihifadhi. Hata...

 

9 years ago

Bongo5

Kanye West na Kim Kardashian bado wanahaha kutafuta jina la mtoto wao ajaye

1420671242_kanye-west-kim-kardashian-zoom

Muda wa kumpokea mtoto wa pili umekaribia lakini Kim Kardashian na Kanye West wanadaiwa hadi sasa hawajapata jina la kumpa.

1420671242_kanye-west-kim-kardashian-zoom

Vyanzo vimeuambia mtandao wa TMZ kuwa wanandoa hao wamekuwa wakijadiliana majina ya kumpa lakini bado hawajapenda hata moja.

Wanatarajia kupata mtoto wa kiume siku ya Christmas japo Kim anahofia kuwa anaweza kujifungua mapema zaidi. Kanye na Kim wana mtoto wa kike, North.

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili...

 

9 years ago

Habarileo

Walimu waagizwa kufuata kasi ya Rais

WALIMU wametakiwa kufanya kazi kwa ufanisi, ubunifu na maarifa kuendana na kauli mbiu ya Rais John Magufuli ya Hapa Kazi tu ili wanafunzi waelewe kinachofundishwa darasani bila ya kutegemea masomo ya ziada.

 

9 years ago

GPL

MWANAMME ATUMIA SH. MILIONI 230 KUJIBADILI AONEKANE KAMA KIM KARDASHIAN

Thalia Almodovar baada kubadilisha muonekano wake. Katika pozi. ...Akitabasamu.…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani