Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MWANAMME ATUMIA SH. MILIONI 230 KUJIBADILI AONEKANE KAMA KIM KARDASHIAN

Thalia Almodovar baada kubadilisha muonekano wake. Katika pozi. ...Akitabasamu.…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Kim Kardashian ampiku Beyonce kama staa mwenye followers wengi Instagram

Beyonce amenyang’anywa rasmi taji la staa mwenye followers wengi zaidi kwenye mtandao wa Instagram. Kim Kardashian sasa amekuwa staa mwenye wafuasi wengi zaidi kwenye mtandao huo. Staa huyo wa Keeping Up With the Kardashians na mke wa Kanye West ana followers milioni 44.1 huku Beyonce akiwa nao milioni 44. Kim anaweza kuwa amemzidi Beyonce kwasababu […]

 

10 years ago

Bongo5

Instagram yafuta 18% ya akaunti feki, Justin Bieber, Kim Kardashian wapoteza followers zaidi ya milioni 4

Mtandao wa Instagram wiki hii umewapa majonzi baadhi ya watumiaji wake baada ya kufanya operation ya kufuta akaunti feki (spammy accounts ) na hivyo kuathiri namba ya followers kwa watu wengi. Asilimia 18.9 ya akaunti (fake) za Instagram zimefutwa kuanzia Jumatano hadi Alhamisi. “We’ve been deactivating spammy accounts from Instagram on an ongoing basis to […]

 

9 years ago

Bongo5

Kim Kardashian ataja jina alilomchagulia mtoto anayetarajia kujifungua, japo hana uhakika kama Kanye atalipenda

Baada ya familia ya Kanye West na Kim Kardashian kushare na ulimwengu jinsia ya mtoto wanayetarajia kumpata siku ya Christmas kuwa ni wa kiume, sasa kinachofata ni jina. Staa wa reality show ya KUWTK, Kim K (34) amesema kuwa kuna jina ambalo yeye binafsi angependa kumwita mwanaye pindi atakapozaliwa ambalo ni Easton, lakini hana uhakika […]

 

9 years ago

Bongo5

Hata Kim Kardashian hakujua kama Kanye West ana mpango wa kugombea urais 2020 mpaka alipotangaza kwenye VMA

Taarifa za rapper Kanye West kutaka kugombea urais wa Marekani ifikapo mwaka 2020, hazikuwashangaza watazamaji tu, bali hata mkewe Kim Kardashian hakuwa anafahamu mpaka aliposikia mumewe Kanye akitangaza kwenye tuzo za VMA. Akizungumza kwenye kipindi cha The Ellen DeGeneres Show, mama kijacho Kim K amesema anaamini kuwa mume wake Kanye yuko serious katika uamuzi huo […]

 

5 years ago

Showbiz Cheat Sheet

Kardashian Fans Think Kourtney and Kim Kardashian are the Most 'Naturally Beautiful' of Their Sisters

Kardashian Fans Think Kourtney and Kim Kardashian are the Most 'Naturally Beautiful' of Their Sisters  Showbiz Cheat SheetKourtney Kardashian Reacts Kylie Jenner & Travis Scott Getting Exposed By Mason Disick  HollywoodLifeWhy Kourtney Kardashian Made Mason Disick Delete His Instagram  E! NEWSMason Disick just spilled the tea about Kylie Jenner and Travis Scott  cosmopolitan.comKim Kardashian Shades Kylie Jenner & Kendall Jenner In New Video  HollywoodLifeView Full coverage on Google...

 

5 years ago

Cosmopolitan.Com

Kim Kardashian and Kourtney Kardashian Are "Embarrassed" About Their 'KUWTK' Fight

Kim Kardashian and Kourtney Kardashian Are "Embarrassed" About Their 'KUWTK' Fight  Cosmopolitan.comKhloé Kardashian would ‘demolish Kourtney if they ever fight  Geo NewsKourtney Kardashian and Scott Disick's Co-Parenting Might Be 'Just For Show' According to Fans  Showbiz Cheat SheetKendall Jenner thinks Kourtney Kardashian’s breakup with Scott Disick is the reason behind her family feud  PINKVILLAKourtney Kardashian defends her stance on motherhood: ‘raising children is a job  Geo NewsView...

 

10 years ago

Habarileo

7,948 wanufaika na milioni 230/-

WATU zaidi ya 7,948 wilayani Nanyumbu mkoani Mtwara wamenufaika na mpango wa kunusuru kaya masikini unaotekelezwa na Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF III) wilayani humo kwa kupatiwa ruzuku ya Sh milioni 231.4 na kubadili hali ya maisha ndani ya familia zao.

 

10 years ago

Raia Tanzania

Okwi auzwa milioni 230/-

KIUNGO mshambuliaji wa Simba raia wa Uganda, Emmanuel Okwi, aliyesajiliwa hivi karibuni na Klabu ya Sonderjyke FC ya Dernmark, ataingizia shilingi milioni 230 Simba, baada ya kujiunga na timu hiyo inayoshiriki ligi kuu ya nchini humo.

Okwi, amesaini mkataba wa miaka mitano na timu hiyo na fedha hizo Simba watazipata Ijumaa ya wiki hii.

Akizungumza jana Mwenyekiti wa Kamati ya Usajili ya Simba Zacharia Hanspoppe alisema, kila kitu kinakwenda vizuri na fedha watakazopata kwenye...

 

10 years ago

BBCSwahili

Kim kardashian ni mjamzito

Nyota wa kipindi cha runinga nchini Marekani ambaye ameolewa na msanii Kanye West amefichua katika kipindi cha keeping up with the Kardashian kwamba ni mjamzito.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani