TFF WAFURAHIA MAFANIKIO YA LINGALANGALA
![](https://1.bp.blogspot.com/-drJd1ZnjinA/XlVDNM25__I/AAAAAAALfZM/v6gHupgSulQQnWOMb-nhNvvggIAEHYJvgCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-02-25%2Bat%2B17.29.50.jpeg)
Na Zainab Nyamka, Globu ya Jamiihirikisho la Mpira wa Miguu Nchini (TFF) limempongeza Mjumbe wa Shirikisho hilo na Mjumbe wa Kudumu wa Yanga Dkt Tobias Lingalangala kwa kutunukiwa shahada ya uzamivu (PHD- Doctorate in Humanity) mwishoni mwa wiki hii.
Lingalangala ametunukiwa kutoka Chuo cga LeadImpact cha Nchini Marekani baada ya kuonesha mchango wake mkubwa kwa jamii.
Akizungumza kwa niaba ya Rais wa TFF,Makamu wa Rais Stephen Mguto amesema wamefurahi sana kuona moja ya mdau wakubwa wa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi29 Jun
MTAZAMO: TFF inataka mafanikio ya mkato kwa Mkwasa
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-vf94BMWWPyA/UvShtRVzV5I/AAAAAAAFLkE/PpIjzxM6Gcw/s72-c/1.jpg)
RAIS WA TFF JAMAL MALINZI AZUNGUMZIA MAFANIKIO YA UONGOZI WAKE NDANI YA SIKU 100
![](http://4.bp.blogspot.com/-vf94BMWWPyA/UvShtRVzV5I/AAAAAAAFLkE/PpIjzxM6Gcw/s1600/1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-mqH8cO_r5-E/UvShuO0mmKI/AAAAAAAFLkQ/mOVeacd_guE/s1600/2.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-V_zanBiRQXQ/XlPtpwImoTI/AAAAAAABLlU/yomqU802gdEP9wHRGX2lNOgyfUbPqEfAQCNcBGAsYHQ/s72-c/IMG_6156.jpg)
UONGOZI WA YANGA WAMPONGEZA DKT TOBIAS LINGALANGALA
![](https://1.bp.blogspot.com/-V_zanBiRQXQ/XlPtpwImoTI/AAAAAAABLlU/yomqU802gdEP9wHRGX2lNOgyfUbPqEfAQCNcBGAsYHQ/s640/IMG_6156.jpg)
UONGOZI wa Klabu ya Yanga umempongeza Mjumbe wa Kudumu na Mjumbe wa Kamati ya Mashindano Dkt Tobias Lingalangala kwa kutunukiwa shahada ya uzamivu (PHD) kutoka Shirika la LeadImpact ya nchini Marekani.
Lingalangala ametunukiwa shahada ya uzamivu ya Doctorate in humanity baada ya taasisi hiyo kuona juhudi kubwa alizozifanya kwa jamii.
Akizungumza wakati wa hafla ya kumpongeza, Mwenyekiti wa Klabu ya Yanga Dkt Mshindo Msolla amesema baada ya kupata taarifa kuwa...
9 years ago
Mwananchi10 Sep
MBINU ZA MAFANIKIO : Jinsi ya kutawala mafanikio yako - 2
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-SZo6Ey4n678/U_DFbM-Sx_I/AAAAAAAGARs/iGf960dRBCQ/s72-c/images.jpg)
TAARIFA KUTOKA TFF LEO: TFF KUREJESHA OFISI ZAKE KARUME, MUDA WA USAJILI WAONGEZWA KWA SIKU KUMI
![](http://4.bp.blogspot.com/-SZo6Ey4n678/U_DFbM-Sx_I/AAAAAAAGARs/iGf960dRBCQ/s1600/images.jpg)
Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limeamua kurejesha ofisi zake Uwanja wa Kumbukumbu ya Karume kwa vile mipango ya uendelezaji wa eneo hilo bado haijakwenda kama ilivyopangwa awali. Uamuzi huo ni moja ya maazimio yaliyofikiwa kati ya Kamati ya Utendaji ya TFF na ujumbe wa Shirikisho la Kimataifa la Mpira wa Miguu (FIFA) uliokuwepo nchini kwa wiki nzima kwa ajili ya kufanya mapitio (review) ya uendeshaji wa TFF. Akizungumza Dar es Salaam leo (Agosti 17 mwaka huu), kiongozi wa ujumbe...
11 years ago
Tanzania Daima15 Dec
Wafurahia misaada ya TANAPA
WANANCHI wa Kata ya Gorong’a na Nyarokoba wilayani Tarime mkoani Mara, wameeleza kufurahishwa na misaada ya kijamii inayotolewa na uongozi wa Hifadhi za Taifa Nchini (TANAPA). Wakizungumza na waandishi wa...
11 years ago
BBCSwahili04 Jul
Malaika wafurahia Swaum ya Ramadhan
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-0im5XrYR-po/XkwQYLEhSbI/AAAAAAALeF0/Uu3ZyBNrG_oF5dEfkHgNP9JEkpTPPzl-ACLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
WANANCHI WAFURAHIA UJENZI WA ZAHANATI
Wananchi wameonyesha kufurahishwa na kitendo cha Serikali kuendeleza ujenzi wa Zahanati ambazo zilisimama ujenzi kwa muda mrefu.
Hayo yamejitokeza kwenye ziara aliyoifanya Afisa Tarafa Mihambwe Emmanuel Shilatu ya kufuatilia ujenzi wa Zahanati ya Mitondi iliyopo Kijiji cha Mitondi B kata ya Kitama pamoja na Zahanati ya Miuta iliyopo Kijiji cha Miuta kata ya Miuta ambapo alikuta ujenzi ukiendelea kwa kasi hali inayowafurahisha Wananchi kiasi cha kuamua kujitoa...
9 years ago
Mwananchi02 Jan
Kigoma wafurahia ziara ya Majaliwa