Kigoma wafurahia ziara ya Majaliwa
Baadhi ya viongozi na wakazi wa Kigoma, wamesema ziara ya siku tatu ya Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa mkoani humo itaongeza ufanisi kwa watendaji na kutoa suluhisho la migogoro katika baadhi ya halmashauri nchini.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-hPQj8TP3uJ8/XlFHpXGEIQI/AAAAAAALe1o/hXIMT6zxd38me6WiflVJTypp4Np4inxnACLcBGAsYHQ/s72-c/4fe13d19-7941-414f-9809-1362bd38223d.jpg)
MAJALIWA AONDOKA KIGOMA BAADA YA ZIARA YA SIKU MOJA
![](https://1.bp.blogspot.com/-hPQj8TP3uJ8/XlFHpXGEIQI/AAAAAAALe1o/hXIMT6zxd38me6WiflVJTypp4Np4inxnACLcBGAsYHQ/s640/4fe13d19-7941-414f-9809-1362bd38223d.jpg)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa leo Februari 22, 2020 ameondoka mkoani Kigoma baada ya kukamilisha ziara ya kikazi ya siku moja. Pichani, Mheshimiwa Majaliwa akiwaaga viongozi kwenye uwanja wa Ndege wa Kigoma. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/3b228c12-68cc-43c2-8833-51d5d0ba9c18.jpg)
9 years ago
Dewji Blog29 Dec
Ziara ya Waziri Mkuu Majaliwa Kigoma katika picha
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akipata maelezo kutoka kwa Mkuu wa mkoa wa Kigoma, Issa Machibya kuhusu bunduki iliyokatwa ili kupunguzwa urefu ambayo ilikamatwa na polisi mkoani Kigoma wakati ilipotumika katika uhalifu. Mheshimiwa Majaliwa alikwenda kwenye Ofisi ya Kamanda wa polisi wa Mkoa wa Kigoma kukagua silaha mbalimbali zilizokamatwa na polisi Desemba 28, 2015.. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
9 years ago
CCM BlogWAZIRI MKUU MAJALIWA AANZA ZIARA YA SIKU MBILI MKOANI KIGOMA
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-CC_BdQbdJGo/Xsfz5VbtRBI/AAAAAAALrTs/6CPow7YcVrcdb36Gqf4RE9Mo7B8U4M9wACLcBGAsYHQ/s72-c/3bf7b521-95c5-44a8-b6a6-884ef19f17cd.jpg)
WAZIRI MKUU KUFANYA ZIARA YA SIKU MOJA YA KIKAZI KIGOMA KIGOMA
WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa anatarajia kufanya ziara ya siku moja
mkoani Kigoma leo kwa ajili ya kugawa miche ya michikichi kwa makundi
mbalimbali ya wakulima ikiwa ishara ya kuanza rasmi utekelezaji wa
mkakati wa serikali kuelekea kujitegemea kwa mafuta ya kula
yatakayokuwa yakizalishwa kupitia zao la michikichi.
Mkuu wa mkoa Kigoma,Emanuel Maganga akizungumza na waandishi wa habari mjini Kigoma leo alisema kuwa mpango wa ugawaji wa miche hiyo
utafanyika katika...
9 years ago
Habarileo27 Dec
Majaliwa ziarani Kigoma
WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa anatarajia kuanza ziara ya kiserikali ya siku mbili mkoani Kigoma kuanzia leo ikiwa ni ziara yake ya kwanza mkoani hapa tangu alipochaguliwa kuwa Waziri Mkuu.
9 years ago
Habarileo31 Dec
Majaliwa anusa ufisadi Kigoma
WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa ametoa siku mbili kwa Katibu Tawala wa Mkoa wa Kigoma, Dk John Ndunguru kukamilisha uchunguzi wake na kumpatia taarifa ya maandishi juu ya tuhuma za ubadhirifu wa fedha za umma unaohusisha uuzwaji wa jengo la Shirika la Maendeleo Kigoma (KIGODECO) kwa bei ya kutupwa.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-UwKM_gubd5Y/XlDkqbxMXyI/AAAAAAALeyg/a60E6G_9cV0HM7Mtoi-ufZo0q9jIkzoQwCLcBGAsYHQ/s72-c/PMO_0143AA-1024x424.jpg)
MAJALIWA AHUTUBIA MKUTANO WA HADHARA MJINI KIGOMA
![](https://1.bp.blogspot.com/-UwKM_gubd5Y/XlDkqbxMXyI/AAAAAAALeyg/a60E6G_9cV0HM7Mtoi-ufZo0q9jIkzoQwCLcBGAsYHQ/s640/PMO_0143AA-1024x424.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/PMO_0188AAA-1024x682.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-fo6wUQ8NCwM/VoEnA_ksCOI/AAAAAAAIPAU/Iuk3yrSgjb4/s72-c/20151228040819.jpg)
WAZIRI MKUU, KASSIM MAJALIWA AWASILI MKOANI KIGOMA LEO
![](http://3.bp.blogspot.com/-fo6wUQ8NCwM/VoEnA_ksCOI/AAAAAAAIPAU/Iuk3yrSgjb4/s640/20151228040819.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-RgVJMKCo_lA/VoEm_d6jKOI/AAAAAAAIPAM/lgfK-PlxiGo/s640/20151228040830.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-lEQJL5vfkYg/VoEnA1IMFbI/AAAAAAAIPAY/d-lqoSbCO58/s640/20151228040850.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-moQTy6xfWDk/VoEnBjCmfLI/AAAAAAAIPAk/raMH5U3YP58/s640/20151228040914.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-5Yc7MqmlleM/VoEnCUnIHhI/AAAAAAAIPAw/q3EvBxKH6xM/s640/20151228040934.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-tQZPx9WY1co/Xk_oKmgxu5I/AAAAAAALes0/w0FMt9MfBYc42N9-jgGr_ctjbzs6A0wGQCLcBGAsYHQ/s72-c/PMO_9891AA-1024x508.jpg)
MAJALIWA AZUNGUMZA KATIKA MKUTANO WA HALMASHAURI KUU YA CCM YA MKOA WA KIGOMA
![](https://1.bp.blogspot.com/-tQZPx9WY1co/Xk_oKmgxu5I/AAAAAAALes0/w0FMt9MfBYc42N9-jgGr_ctjbzs6A0wGQCLcBGAsYHQ/s640/PMO_9891AA-1024x508.jpg)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza katika Mkutano wa Halmashauri Kuu ya CCM ya Mkoa wa Kigoma kwenye ukumbi wa Ofisi ya CCM Mkoa wa Kigoma, Februari 21, 2020.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/PMO_9901AA-1024x625.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/PMO_9915AA-1024x591.jpg)