WAZIRI MKUU MAJALIWA AANZA ZIARA YA SIKU MBILI MKOANI KIGOMA
Waziri Mkuu, Kassim Majliwa akisalikiana na Mkuu wa Mkoa wa Kigoma, Issa Machibya baada ya kuwasili kwenye uwanja wa ndege wa Kigoma kwa ziara ya siku mbili mkoani humo leo Desemba 28, 2015. Kushoto ni Mwenye kiyi wa CCM wa mkoa wa Kigoma, Walid Kabourou. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Muu, Kassim Majliwa akiwapungia wananchi baada ya kuwasili kwenye uwanja wa ndege wa Kigoma kwa ziara ya siku mbili mkoani humo leo Desemba 28, 2015. Kulia kwake ni Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Issa...
CCM Blog
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-aicOCt-Df7k/Xk5qkxsHA7I/AAAAAAALeec/mB0GFkmf9Lwt2aW7W0vmqjo1hjV8J7K6gCLcBGAsYHQ/s72-c/e5f451a3-8467-4e5b-a1e1-a6859d760091.jpg)
WAZIRI MKUU KUANZA ZIARA YA KIKAZI YA SIKU MBILI MKOANI KIGOMA
WAZIRI Mkuu wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Kassim Majaliwa anatarajiwa kuanza ziara ya siku mbili ya kikazi na ya chama cha mapinduzi(CCM)Mkoani hapa.
Akiongea na waandishi wa habari ofisini kwake Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Brigedia jenerali mstaafu Emanuel Maganga amesema kuwa waziri mkuu atawasili mkoani hapa kesho majira ya saa tatu na nusu asubuhi kwaajili ya shughuli maalum za chama cha mapinduzi(CCM)pamoja na shughuli zingine za kiserikali ikiwemo kupewa taarifa...
9 years ago
Dewji Blog29 Dec
Ziara ya Waziri Mkuu Majaliwa Kigoma katika picha
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akipata maelezo kutoka kwa Mkuu wa mkoa wa Kigoma, Issa Machibya kuhusu bunduki iliyokatwa ili kupunguzwa urefu ambayo ilikamatwa na polisi mkoani Kigoma wakati ilipotumika katika uhalifu. Mheshimiwa Majaliwa alikwenda kwenye Ofisi ya Kamanda wa polisi wa Mkoa wa Kigoma kukagua silaha mbalimbali zilizokamatwa na polisi Desemba 28, 2015.. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-CC_BdQbdJGo/Xsfz5VbtRBI/AAAAAAALrTs/6CPow7YcVrcdb36Gqf4RE9Mo7B8U4M9wACLcBGAsYHQ/s72-c/3bf7b521-95c5-44a8-b6a6-884ef19f17cd.jpg)
WAZIRI MKUU KUFANYA ZIARA YA SIKU MOJA YA KIKAZI KIGOMA KIGOMA
WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa anatarajia kufanya ziara ya siku moja
mkoani Kigoma leo kwa ajili ya kugawa miche ya michikichi kwa makundi
mbalimbali ya wakulima ikiwa ishara ya kuanza rasmi utekelezaji wa
mkakati wa serikali kuelekea kujitegemea kwa mafuta ya kula
yatakayokuwa yakizalishwa kupitia zao la michikichi.
Mkuu wa mkoa Kigoma,Emanuel Maganga akizungumza na waandishi wa habari mjini Kigoma leo alisema kuwa mpango wa ugawaji wa miche hiyo
utafanyika katika...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-fo6wUQ8NCwM/VoEnA_ksCOI/AAAAAAAIPAU/Iuk3yrSgjb4/s72-c/20151228040819.jpg)
WAZIRI MKUU, KASSIM MAJALIWA AWASILI MKOANI KIGOMA LEO
![](http://3.bp.blogspot.com/-fo6wUQ8NCwM/VoEnA_ksCOI/AAAAAAAIPAU/Iuk3yrSgjb4/s640/20151228040819.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-RgVJMKCo_lA/VoEm_d6jKOI/AAAAAAAIPAM/lgfK-PlxiGo/s640/20151228040830.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-lEQJL5vfkYg/VoEnA1IMFbI/AAAAAAAIPAY/d-lqoSbCO58/s640/20151228040850.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-moQTy6xfWDk/VoEnBjCmfLI/AAAAAAAIPAk/raMH5U3YP58/s640/20151228040914.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-5Yc7MqmlleM/VoEnCUnIHhI/AAAAAAAIPAw/q3EvBxKH6xM/s640/20151228040934.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-KNSQ_w4GEVg/VoJlhkfPqDI/AAAAAAAIPKE/8Sh17W3mdyU/s72-c/20151229022304.jpg)
WAZIRI MKUU, KASSIM MAJALIWA ATEMBELEA KAMBI YA WAKIMBIZI YA NYARUGUSU, MKOANI KIGOMA
![](http://4.bp.blogspot.com/-KNSQ_w4GEVg/VoJlhkfPqDI/AAAAAAAIPKE/8Sh17W3mdyU/s640/20151229022304.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-viPVHbjlVU4/VoJlgaGmmJI/AAAAAAAIPKA/0bFA8upGUog/s640/20151229022627.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-FratSDvW2Vc/VoJlh133gZI/AAAAAAAIPKM/-ItI7ykv_jc/s640/20151229023342.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-ZrHjL9Bdcmw/VoJlmhlOF6I/AAAAAAAIPKg/Xs2uYYbAfSQ/s640/20151229023247.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-rZWE5E8wG_4/VoJlkriOhNI/AAAAAAAIPKY/ZRgldKQ9wgw/s640/20151229023316.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-fA0KSn9y050/XsfMfBZ91tI/AAAAAAALrRQ/dBlmjLB1I3g8ueHWYf02hCMHeZ5o99CAwCLcBGAsYHQ/s72-c/KM%2BKusaya________.jpg)
Ziara ya Waziri Mkuu Mkoani Kigoma
Kauli hiyo imetolewa leo Ijumaa mjini Kigoma na Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo Bw. Gerald Kusaya alipoongea na waandishi wa habari kuhusu ziara ya Waziri Mkuu .
" Jitihada za Wizara hadi sasa tumeweza kuzalisha mbegu bora za michikichi 1,556,111 ambapo miche 49,032 ipo tayari kwa ajili ya kupandwa kwenye Halmashauri sita za Mkoa wa Kigoma" , alisema Kusaya.
Katibu Mkuu huyo amesema Waziri Mkuu Mhe....
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-mBKET8JFpUo/VoFc6wQGiQI/AAAAAAAIPDU/2tWp4i9QSLM/s72-c/20151228075903.jpg)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa afungua soko la kimataifa la Samaki Mkoani Kigoma leo
![](http://2.bp.blogspot.com/-mBKET8JFpUo/VoFc6wQGiQI/AAAAAAAIPDU/2tWp4i9QSLM/s640/20151228075903.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-d0U0pLGD06c/VoFc64sznxI/AAAAAAAIPDQ/jQQpmNVPIuc/s640/20151228075911.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-wcWkhBE01u0/VoFc7Rg325I/AAAAAAAIPDc/DyoVduwVtHg/s640/20151228075934.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-V03Klr4z7ro/VoFc7vyMxuI/AAAAAAAIPDg/10Lt5XHSFYI/s640/20151228075943.jpg)
10 years ago
VijimamboWAZIRI MUHONGO AANZA ZIARA YA SIKU 6 MKOANI MARA KUTEMBELEA MIRADI YA UMEME
9 years ago
Dewji Blog03 Jan
Waziri Mkuu Mh. Kassim Majaliwa kuanza ziara Mkoani Ruvuma!!
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa (Pichani) anatarajia kuanza ziara ya kikazi ya siku nne mkoani
Ruvuma, ambapo atawasili mkoani hapo leo saa tisa alasiri.
Baada ya Waziri Mkuu kuwasili Uwanja wa Ndege wa Songea, atapokelewa na viongozi wa
Chama na Serikali, pia atakwenda Ikulu kupokea taarifa ya maendeleo ya mkoa wa Ruvuma.
Aidha, siku ya jumatatu atakuwa na shughuli za kufungua tawi la Benki ya Posta mjini
Songea, kukagua maghala ya Wakala wa Taifa wa Hifadhi ya chakula (NFRA) kanda ya...
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10