WAZIRI MKUU KUANZA ZIARA YA KIKAZI YA SIKU MBILI MKOANI KIGOMA
![](https://1.bp.blogspot.com/-aicOCt-Df7k/Xk5qkxsHA7I/AAAAAAALeec/mB0GFkmf9Lwt2aW7W0vmqjo1hjV8J7K6gCLcBGAsYHQ/s72-c/e5f451a3-8467-4e5b-a1e1-a6859d760091.jpg)
Na Editha Karlo,Kigoma
WAZIRI Mkuu wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Kassim Majaliwa anatarajiwa kuanza ziara ya siku mbili ya kikazi na ya chama cha mapinduzi(CCM)Mkoani hapa.
Akiongea na waandishi wa habari ofisini kwake Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Brigedia jenerali mstaafu Emanuel Maganga amesema kuwa waziri mkuu atawasili mkoani hapa kesho majira ya saa tatu na nusu asubuhi kwaajili ya shughuli maalum za chama cha mapinduzi(CCM)pamoja na shughuli zingine za kiserikali ikiwemo kupewa taarifa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-aGSaruYT-us/Vn4ummVbIQI/AAAAAAAIOuA/cwTUKygKOVg/s72-c/Regional-Administration-and-Local-Government-Deputy-Minister-Education-Kassim-Majaliwa.jpg)
WAZIRI MKUU KESHO KUANZA ZIARA YA KIKAZI MKOANI KIGOMA
![](http://1.bp.blogspot.com/-aGSaruYT-us/Vn4ummVbIQI/AAAAAAAIOuA/cwTUKygKOVg/s320/Regional-Administration-and-Local-Government-Deputy-Minister-Education-Kassim-Majaliwa.jpg)
Akizungumza na waandishi wa habari juu ya ziara hiyo Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Kanali Mstaafu Issa Machibya alisema kuwa Waziri Mkuu atawasili Mkoani hapa kesho majira ya saa tatu asubuhi.
Alisema kuwa atapokelewa na viongozi mbalimbali wa serikali ya Mkoa na kisha atasomewa taarifa ya Mkoa.
Baada ya hapo ataelekea katika kambi ya wakimbizi ya Nyarugusu...
9 years ago
CCM BlogWAZIRI MKUU MAJALIWA AANZA ZIARA YA SIKU MBILI MKOANI KIGOMA
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-CC_BdQbdJGo/Xsfz5VbtRBI/AAAAAAALrTs/6CPow7YcVrcdb36Gqf4RE9Mo7B8U4M9wACLcBGAsYHQ/s72-c/3bf7b521-95c5-44a8-b6a6-884ef19f17cd.jpg)
WAZIRI MKUU KUFANYA ZIARA YA SIKU MOJA YA KIKAZI KIGOMA KIGOMA
WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa anatarajia kufanya ziara ya siku moja
mkoani Kigoma leo kwa ajili ya kugawa miche ya michikichi kwa makundi
mbalimbali ya wakulima ikiwa ishara ya kuanza rasmi utekelezaji wa
mkakati wa serikali kuelekea kujitegemea kwa mafuta ya kula
yatakayokuwa yakizalishwa kupitia zao la michikichi.
Mkuu wa mkoa Kigoma,Emanuel Maganga akizungumza na waandishi wa habari mjini Kigoma leo alisema kuwa mpango wa ugawaji wa miche hiyo
utafanyika katika...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-zX1-jJ-lov4/VBQmggSRvjI/AAAAAAAGjaw/czyJRNih7M4/s72-c/unnamed%2B(36).jpg)
WAZIRI MKUU AWASILI MKOANI TANGA KWA ZIARA YA SIKU MOJA YA KIKAZI
![](http://4.bp.blogspot.com/-zX1-jJ-lov4/VBQmggSRvjI/AAAAAAAGjaw/czyJRNih7M4/s1600/unnamed%2B(36).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-WwDxPXtqPlk/VBQmhaedaqI/AAAAAAAGja0/G8tSWnxA_Vw/s1600/unnamed%2B(35).jpg)
11 years ago
Dewji Blog09 Apr
Kinana atinga Kigoma kuanza ziara ya kikazi ya siku tano
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akiwasili kwenye Uwanja wa Ndege wa Kigoma jana jioni akitokea Rwanda, tayari kuendelea na ziara ya siku tano katika Mkoa wa Kigoma, kwa ajili ya kuimarisha uhai wa chama na kukagua miradi ya maendeleo inayoyekelezwa kwa kufuata Ilani ya CCM.
Kinana akilakiwa na Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Kigoma, Walidi Kaburu baada ya kuwasili kwenye Uwanja wa Ndege wa Kigoma.Kulia ni Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM kutoka Zanzibar, Ally Karume.
Gwaride la...
11 years ago
GPLKINANA ATINGA KIGOMA KUANZA ZIARA YA KIKAZI YA SIKU TANO
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-Zew0yiZueLY/VojjdgqHONI/AAAAAAAIQDs/WIzz7rQD9aw/s72-c/Kassim_Majaliwa.jpg)
WAZIRI MKUU KUANZA ZIARA YA SIKU NNE MKOANI RUVUMA
![](http://1.bp.blogspot.com/-Zew0yiZueLY/VojjdgqHONI/AAAAAAAIQDs/WIzz7rQD9aw/s1600/Kassim_Majaliwa.jpg)
Baada ya Waziri Mkuu kuwasili Uwanja wa Ndege wa Songea, atapokelewa na viongozi wa Chama na Serikali, pia atakwenda Ikulu kupokea taarifa ya maendeleo ya mkoa wa Ruvuma.
Aidha, siku ya Jumatatu atakuwa na shughuli za kufungua tawi la Benki ya Posta mjini Songea, kukagua maghala ya Wakala wa Taifa wa Hifadhi ya chakula (NFRA) kanda ya Songea...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-U7XwKbp4ikE/UzM771rcUPI/AAAAAAAFWto/h-Fhr48uwFY/s72-c/unnamed+(20).jpg)
Katibu Mkuu Kiongozi ahitimisha Ziara ya kikazi ya siku mbili kukagua mradi wa bomba la gesi aasilia