Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WAZIRI MKUU KESHO KUANZA ZIARA YA KIKAZI MKOANI KIGOMA

Na Editha Karlo wa blog ya jamii,KigomaWAZIRI Mkuu Kassimu M Majaliwa(MB) (Pichani) kesho ataanza ziara ya kikazi ya siku mbili Mkoani Kigoma.
Akizungumza na waandishi wa habari juu ya ziara hiyo Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Kanali Mstaafu Issa Machibya alisema kuwa Waziri Mkuu atawasili Mkoani hapa kesho majira ya saa tatu asubuhi.
Alisema kuwa atapokelewa na viongozi mbalimbali wa serikali ya Mkoa na kisha atasomewa taarifa ya Mkoa.
Baada ya hapo ataelekea katika kambi ya wakimbizi ya Nyarugusu...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

WAZIRI MKUU KUANZA ZIARA YA KIKAZI YA SIKU MBILI MKOANI KIGOMA

Na Editha Karlo,Kigoma

WAZIRI Mkuu wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Kassim Majaliwa anatarajiwa kuanza ziara ya siku mbili ya  kikazi na ya chama cha mapinduzi(CCM)Mkoani hapa.

Akiongea na waandishi wa habari ofisini kwake Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Brigedia jenerali mstaafu Emanuel Maganga amesema kuwa waziri mkuu atawasili mkoani hapa kesho majira ya saa tatu na nusu asubuhi kwaajili ya shughuli maalum za chama cha mapinduzi(CCM)pamoja na shughuli zingine za kiserikali ikiwemo kupewa taarifa...

 

5 years ago

Michuzi

WAZIRI MKUU MAJALIWA KUANZA ZIARA MKOANI TANGA KESHO


MKUU wa Mkua wa Tanga Martine Shigella akizungumza na waandishi wa habari mkoani humo leo ambao hawapo pichani kuhusu ziara maalumu ya Waziri Mkuu Kassim Majaliwa itakayoanza kesho Jumatatu

MKUU wa Mkua wa Tanga Martine Shigella akizungumza na waandishi wa
habari mkoani humo kuhusu ziara maalumu ya Waziri Mkuu Kassim
Majaliwa itakayoanza kesho Jumatatu mkoani hapa


WAZIRI mkuu Kassim Majaliwa anatarajiwa kuwasili jijini Tanga kesho June Mosi Mwaka huu kwa ziara maalum ya kutembelea na...

 

5 years ago

Michuzi

WAZIRI MKUU KUFANYA ZIARA YA SIKU MOJA YA KIKAZI KIGOMA KIGOMA

Na Editha Karlo-Michuzi TV,Kigoma.
WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa anatarajia kufanya ziara ya siku moja
mkoani Kigoma leo kwa ajili ya kugawa miche ya michikichi kwa makundi
mbalimbali ya wakulima ikiwa ishara ya kuanza rasmi utekelezaji wa
mkakati wa serikali kuelekea kujitegemea kwa mafuta ya kula
yatakayokuwa yakizalishwa kupitia zao la michikichi.

Mkuu wa mkoa Kigoma,Emanuel Maganga akizungumza na waandishi wa habari mjini Kigoma leo alisema kuwa mpango wa ugawaji wa miche hiyo
utafanyika katika...

 

5 years ago

CCM Blog

WAZIRI MKUU ATARAJIWA KUWASILI MKOANI KAGERA KWA ZIARA YA KIKAZI

    Na Lydia Lugakila:- Kagera.

Waziri mkuu wa Jamhuli ya Muungano wa Tanzania Kassim Majaliwa anatarajiwa kuwasili mkoani humo kwa ziara ya siku mbili kwa ajili ya shughuli za  kiserikali pamoja na za chama cha mapinduzi CCM.

Kauli hiyo imetolewa na Mkuu wa mkoa wa Kagera Brigedia Jenerali Marco Elisha Gaguti katika kikao na waandishi wa habari katika ofisi za mkoa huo.

Akitoa taarifa za ujio wa Waziri mkuu , mkuu wa mkoa wa Kagera Brigedia Jenerali Marco Gaguti amesema waziri Majaliwa...

 

5 years ago

Michuzi

Ziara ya Waziri Mkuu Mkoani Kigoma

Wizara ya Kilimo imejipanga kuhakikisha mikoa mingi kujitosheleza kwa mafuta ya kula.
Kauli hiyo imetolewa leo Ijumaa mjini Kigoma na Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo Bw. Gerald Kusaya alipoongea na waandishi wa habari kuhusu ziara ya Waziri Mkuu . 
" Jitihada za Wizara hadi sasa tumeweza kuzalisha mbegu bora za michikichi 1,556,111 ambapo miche 49,032 ipo tayari kwa ajili ya kupandwa kwenye Halmashauri sita za Mkoa wa Kigoma" , alisema Kusaya.
Katibu Mkuu huyo amesema Waziri Mkuu Mhe....

 

10 years ago

Michuzi

WAZIRI MKUU AWASILI MKOANI TANGA KWA ZIARA YA SIKU MOJA YA KIKAZI

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na wasanii wa kikundi cha wanawake wa cha Tanga cha Msanja baada ya kuwasili kwenye uwanja wa ndege wa Tanga kwa ziara ya siku moja ya kikazi Kulia ni Mkuu wa Mkoa huo Chiku Gwao. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

 

11 years ago

Dewji Blog

Kinana atinga Kigoma kuanza ziara ya kikazi ya siku tano

Untitled

Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akiwasili kwenye Uwanja wa Ndege wa Kigoma jana  jioni akitokea Rwanda, tayari kuendelea na ziara ya siku tano katika Mkoa wa Kigoma, kwa ajili ya kuimarisha uhai wa chama na kukagua miradi ya maendeleo inayoyekelezwa kwa kufuata Ilani ya CCM.

 Kinana akilakiwa na Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Kigoma, Walidi Kaburu baada ya kuwasili kwenye Uwanja wa Ndege wa Kigoma.Kulia ni Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM kutoka Zanzibar, Ally Karume.

 Gwaride la...

 

9 years ago

Michuzi

WAZIRI MKUU KUANZA ZIARA MKOANI RUVUMA

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa   anatarajia kuanza ziara ya kikazi ya siku nne mkoani Ruvuma, ambapo atawasili mkoani  hapo  leo saa tisa alasiri.
Baada ya Waziri Mkuu kuwasili Uwanja wa Ndege wa Songea, atapokelewa na viongozi wa Chama na Serikali, pia atakwenda Ikulu kupokea taarifa ya maendeleo ya mkoa wa Ruvuma.
Aidha, siku ya jumatatu  atakuwa na shughuli za kufungua  tawi la Benki ya Posta mjini Songea, kukagua  maghala ya Wakala wa Taifa wa  Hifadhi ya chakula  (NFRA) kanda ya Songea na...

 

11 years ago

GPL

KINANA ATINGA KIGOMA KUANZA ZIARA YA KIKAZI YA SIKU TANO‏

 Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akiwasili kwenye Uwanja wa Ndege wa Kigoma jioni hii akitokea Rwanda, tayari kuendelea na ziara ya siku tano katika Mkoa wa Kigoma, kwa ajili ya kuimarisha uhai wa chama na kukagua miradi ya maendeleo inayoyekelezwa kwa kufuata Ilani ya CCM.
 Kinana akilakiwa na Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Kigoma, Walidi Kaburu baada ya kuwasili kwenye… ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani