Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Majaliwa ziarani Kigoma

WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa anatarajia kuanza ziara ya kiserikali ya siku mbili mkoani Kigoma kuanzia leo ikiwa ni ziara yake ya kwanza mkoani hapa tangu alipochaguliwa kuwa Waziri Mkuu.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Dewji Blog

Balozi wa Ubelgiji ziarani Kigoma

belgium

Balozi wa Ubelgiji nchini , muheshimiwa Koen ADAM atakuwa kwenye ziara ya siku mbili mkoani Kigoma, kuanzia Jumatano tarehe 16 mpaka Ijumaa tarehe 18, Aprili 2014. Balozi ataambatana na Ndg. De Feyter, Mkuu wa kitengo cha Ushirikiano wa Maendeleo ya nchi katika Ubalozi wa Ubelgiji. Wakati wa ziara hii balozi atatumia fursa kukutana na Mkuu wa Mkoa na maafisa wa Wilaya ya (Kigoma na Kasulu), ili kuwafahamisha  na kuweza kupata uwelewa mzuri wa hali jamii na uchumi  katika mkoa huu, ambao...

 

10 years ago

Zitto Kabwe, MB

#Mirumbani ziarani Kigoma Kaskazini

Click to view slideshow.

 

9 years ago

Michuzi

RAIS JAKAYA MRISHO KIKWETE ZIARANI MKOA WA KIGOMA


THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA
DIRECTORATE OF PRESIDENTIAL COMMUNICATIONSTelephone: 255-22-2114512, 2116898 E-mail: ikulucommpress@googlemail.comWebsite : www.ikulu.go.tz               Fax: 255-22-2113425

PRESIDENT’S OFFICE,      STATE HOUSE,               1 BARACK OBAMA ROAD,   11400 DAR ES SALAAM.Tanzania.   
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Serikali ya Awamu ya nne inayomaliza muda wake mwezi Octoba mwaka huu, imeyashughulikia matatizo yaliyokuwepo kwa kiasi kikubwa na yale...

 

9 years ago

Mwananchi

Kigoma wafurahia ziara ya Majaliwa

Baadhi ya viongozi na wakazi wa Kigoma, wamesema ziara ya siku tatu ya Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa mkoani humo itaongeza ufanisi kwa watendaji na kutoa suluhisho la migogoro katika baadhi ya halmashauri nchini.

 

9 years ago

Habarileo

Majaliwa anusa ufisadi Kigoma

WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa ametoa siku mbili kwa Katibu Tawala wa Mkoa wa Kigoma, Dk John Ndunguru kukamilisha uchunguzi wake na kumpatia taarifa ya maandishi juu ya tuhuma za ubadhirifu wa fedha za umma unaohusisha uuzwaji wa jengo la Shirika la Maendeleo Kigoma (KIGODECO) kwa bei ya kutupwa.

 

5 years ago

Michuzi

MAJALIWA AHUTUBIA MKUTANO WA HADHARA MJINI KIGOMA



 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akihutubia mkutano wa hadhara kwenye uwanja wa Mwanga Community Centre uliopo Manispaa ya Kigoma Ujiji, Februari 21,2020Wananchi wakimsikiliza Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa wakati alipowahutubia kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika katika uwanja wa Mwanga Community Centre uliopo Manispaa ya Kigoma Ujiji, Februari...

 

5 years ago

Michuzi

MAJALIWA AONDOKA KIGOMA BAADA YA ZIARA YA SIKU MOJA




Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa leo  Februari 22, 2020 ameondoka mkoani Kigoma baada ya kukamilisha ziara ya kikazi ya siku moja. Pichani, Mheshimiwa Majaliwa akiwaaga viongozi  kwenye uwanja wa Ndege wa Kigoma. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiagana na Mkuu wa Mkoa wa Kigoma, Brigedia Jenerali Mstaafu, Emmanuel Maganga kwenye uwanja wa Ndege wa Kigoma baada ya kukamilisha ziara ya siku moja mkoani humo, Februari 22, 2020. Wa pili kulia ni...

 

9 years ago

Dewji Blog

Ziara ya Waziri Mkuu Majaliwa Kigoma katika picha

IMGS6659

Waziri Mkuu, Kassim  Majaliwa  akipata maelezo kutoka kwa Mkuu wa mkoa wa Kigoma, Issa Machibya kuhusu bunduki iliyokatwa ili kupunguzwa urefu ambayo ilikamatwa na polisi mkoani Kigoma wakati ilipotumika katika uhalifu. Mheshimiwa Majaliwa alikwenda kwenye Ofisi ya  Kamanda wa polisi wa Mkoa wa Kigoma kukagua silaha mbalimbali zilizokamatwa na polisi  Desemba 28, 2015.. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).

IMGS6666

 Waziri Mkuu, Kassim Majliwa  akitazama kifaa kinachotumiwa na wahalifu kutengeneza...

 

9 years ago

Michuzi

WAZIRI MKUU, KASSIM MAJALIWA AWASILI MKOANI KIGOMA LEO

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa awasili kwenye Uwanja wa ndege wa Kigoma mchana huu, tayari kwa kuanza ziara ya kikazi Mkoani humo.Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akivishwa skafu na vijana wa Chipukizi wa Chama cha Mapinduzi, Mkoani Kigoma mara baada ya kuwasili.Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na kamati ya ulinzi na usalama ya Mkoa wa Kigoma iliyofika kwenye Uwanja wa Ndege kumlaki.Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiangalia kikundi cha ngoma cha akina mama wa ujiji Mkoani Kigoma. Kwaya ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani