#Mirumbani ziarani Kigoma Kaskazini
Click to view slideshow.
Zitto Kabwe, MB
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-NJlxfAG2pPs/VSr46NOtyoI/AAAAAAAHQy8/NkFagwdTIso/s72-c/unnamed%2B(34).jpg)
maalim seif ziarani Wilaya ya Kaskazini B unguja
![](http://2.bp.blogspot.com/-NJlxfAG2pPs/VSr46NOtyoI/AAAAAAAHQy8/NkFagwdTIso/s1600/unnamed%2B(34).jpg)
9 years ago
Habarileo27 Dec
Majaliwa ziarani Kigoma
WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa anatarajia kuanza ziara ya kiserikali ya siku mbili mkoani Kigoma kuanzia leo ikiwa ni ziara yake ya kwanza mkoani hapa tangu alipochaguliwa kuwa Waziri Mkuu.
11 years ago
Dewji Blog17 Apr
Balozi wa Ubelgiji ziarani Kigoma
Balozi wa Ubelgiji nchini , muheshimiwa Koen ADAM atakuwa kwenye ziara ya siku mbili mkoani Kigoma, kuanzia Jumatano tarehe 16 mpaka Ijumaa tarehe 18, Aprili 2014. Balozi ataambatana na Ndg. De Feyter, Mkuu wa kitengo cha Ushirikiano wa Maendeleo ya nchi katika Ubalozi wa Ubelgiji. Wakati wa ziara hii balozi atatumia fursa kukutana na Mkuu wa Mkoa na maafisa wa Wilaya ya (Kigoma na Kasulu), ili kuwafahamisha na kuweza kupata uwelewa mzuri wa hali jamii na uchumi katika mkoa huu, ambao...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-1J6ozF4V_Jw/VffRpya8u-I/AAAAAAAH468/tapS5OD2Lbs/s72-c/images.jpg)
RAIS JAKAYA MRISHO KIKWETE ZIARANI MKOA WA KIGOMA
THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA
DIRECTORATE OF PRESIDENTIAL COMMUNICATIONS
![](http://2.bp.blogspot.com/-1J6ozF4V_Jw/VffRpya8u-I/AAAAAAAH468/tapS5OD2Lbs/s200/images.jpg)
PRESIDENT’S OFFICE, STATE HOUSE, 1 BARACK OBAMA ROAD, 11400 DAR ES SALAAM.Tanzania.
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Serikali ya Awamu ya nne inayomaliza muda wake mwezi Octoba mwaka huu, imeyashughulikia matatizo yaliyokuwepo kwa kiasi kikubwa na yale...
10 years ago
Zitto Kabwe, MB15 Mar
Asanteni sana Kigoma Kaskazini-Zitto Kabwe
Asanteni sana Kigoma Kaskazini
HOTUBA YA MH ZITTO KABWE (MBUNGE KIGOMA KASKAZINI) ILIYOTOLEWA LEO TAREHE 15 MACHI 2015
![Zitto Kabwe speaking at a rally in Karatu on September 30 2012.](https://zittokabwe.files.wordpress.com/2012/10/karatu_zitto-10.jpg?w=199&h=300)
Zitto Kabwe .
Mwanamapinduzi na Rais wa zamani wa Burkina Faso Thomas Sankara alisema kuwa ili kuleta mabadiliko ya kimapinduzi ni lazima kuwa na hali fulani ya uendawazimu. Ila tusiufikirie uendawazimu huu wa kuokota makopo bali ule ukichaa mzuri wa kuamini katika mambo au misingi fulani na kuisimamia kwa dhati pamoja na changamoto nyingi.
Kwa kuamini kwa dhati katika...
10 years ago
Habarileo16 Mar
Zitto alitema rasmi jimbo lake la Kigoma Kaskazini
MBUNGE wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe jana amewaaga rasmi wananchi wa jimbo hilo huku akiwataka wananchi hao kutosononeka kwa uamuzi wake wa kutoendelea kugombea ubunge wa jimbo hilo, bali wamwombee na kumuunga mkono katika kila uamuzi atakaouchukua.
10 years ago
GPLZITTO KABWE ALIVYOVULIWA UBUNGE WA KIGOMA KASKAZINI LEO
10 years ago
Mwananchi18 Feb
Mtifuano mkubwa majimbo ya Kigoma Kaskazini, Kusini, Muhambwe na Buyungu
10 years ago
Vijimambo15 Mar
HOTUBA YA MH ZITTO KABWE (MBUNGE KIGOMA KASKAZINI) ILIYOTOLEWA LEO MACHI 15, 2015
![](http://api.ning.com/files/XswnwlaLlAiT2UTbR8jtJRlB*oi02FF-32ekjSnqqFX2LFdE9U7*OFf1d4Pdgwfe3zWIdUg1ssmvYTWp9ds1jBuOLBsbDnMw/ZITTO.jpg?width=650)
Mwanamapinduzi na Rais wa zamani wa Burkina Faso Thomas Sankara alisema kuwa ili kuleta mabadiliko ya kimapinduzi ni lazima kuwa na hali fulani ya uendawazimu.
Ila tusiufikirie uendawazimu huu wa kuokota makopo bali ule ukichaa mzuri wa kuamini katika mambo au misingi fulani na kuisimamia kwa dhati pamoja na changamoto nyingi.
Kwa kuamini kwa dhati katika mabadiliko haya na kutaka...