Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Balozi wa Ubelgiji ziarani Kigoma

belgium

Balozi wa Ubelgiji nchini , muheshimiwa Koen ADAM atakuwa kwenye ziara ya siku mbili mkoani Kigoma, kuanzia Jumatano tarehe 16 mpaka Ijumaa tarehe 18, Aprili 2014. Balozi ataambatana na Ndg. De Feyter, Mkuu wa kitengo cha Ushirikiano wa Maendeleo ya nchi katika Ubalozi wa Ubelgiji. Wakati wa ziara hii balozi atatumia fursa kukutana na Mkuu wa Mkoa na maafisa wa Wilaya ya (Kigoma na Kasulu), ili kuwafahamisha  na kuweza kupata uwelewa mzuri wa hali jamii na uchumi  katika mkoa huu, ambao...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

BALOZI WA TANZANIA UBELGIJI AKUTANA NA WATANZANIA WANAOISHI LIEGE - UBELGIJI

Balozi wa Tanzania Ubelgiji Dr. Diodorus Buberwa Kamala (mwenye tai) akiwa katika picha ya pamoja na Watanzania wanaoishi Ubelgiji baada ya kumaliza mazungumzo nao leo Liege - Ubelgiji.

 

11 years ago

Michuzi

Balozi kamala akutana na balozi wa ubelgiji nchini tanzania

Balozi wa Tanzania Ubelgiji Dr. Diodorus Buberwa Kamala (mwenye miwani) akiwa katika picha ya pamoja na Balozi wa Ubelgiji Tanzania Mhe. Adam Koeler (wa pili kutoka kulia) baada ya kumaliza kikao cha maandalizi ya ziara ya wadau  wa sekta za  miundombinu ya bandari, reli na kilimo itakayofanyika Ubelgiji kuanzia tarehe 19-23 Mei, 2014. Kikao kimefanyika nyumbani kwa Balozi wa Ubelgiji nchini Tanzania.

 

9 years ago

Habarileo

Majaliwa ziarani Kigoma

WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa anatarajia kuanza ziara ya kiserikali ya siku mbili mkoani Kigoma kuanzia leo ikiwa ni ziara yake ya kwanza mkoani hapa tangu alipochaguliwa kuwa Waziri Mkuu.

 

10 years ago

Zitto Kabwe, MB

#Mirumbani ziarani Kigoma Kaskazini

Click to view slideshow.

 

9 years ago

Michuzi

RAIS JAKAYA MRISHO KIKWETE ZIARANI MKOA WA KIGOMA


THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA
DIRECTORATE OF PRESIDENTIAL COMMUNICATIONSTelephone: 255-22-2114512, 2116898 E-mail: ikulucommpress@googlemail.comWebsite : www.ikulu.go.tz               Fax: 255-22-2113425

PRESIDENT’S OFFICE,      STATE HOUSE,               1 BARACK OBAMA ROAD,   11400 DAR ES SALAAM.Tanzania.   
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Serikali ya Awamu ya nne inayomaliza muda wake mwezi Octoba mwaka huu, imeyashughulikia matatizo yaliyokuwepo kwa kiasi kikubwa na yale...

 

11 years ago

Michuzi

MH. LOWASSA AKUTANA NA BALOZI WA UBELGIJI NCHINI

Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Kudumu ya Mambo ya Nje,Mh. Edward Lowassa akizungumza na balozi wa Ubelgiji Hapa nchini,Mh. Koen Adam aliyekwenda kumtembelea ofisini kwake jijini Dar es Saalam leo.Walijadiliana masuala mbalimbali yakiwemo suala la mchakato wa Katiba Mpya,mzozo katika eneo la nchi za maziwa makuu pamoja na hali katika Umoja wa Ulaya.

 

5 years ago

Michuzi

DKT. NDUMBARO AKUTANA NA BALOZI WA UBELGIJI, SWEDEN


Naibu Waziri, Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Dkt. Damas Ndumbaro akisalimiana na Balozi wa Ubelgiji nchini, Mhe. Peter Van Acker kabla ya kuanza kwa mazungumzo yao jijini Dar es Salaam
Balozi wa Ubelgiji nchini, Mhe. Peter Van Acker akiongea na Naibu Waziri, Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Dkt. Damas Ndumbaro wakati wa mazungumzo yaliyofanyika jijini Dar es Salaam
Naibu Waziri, Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika...

 

11 years ago

Michuzi

BALOZI KAMALA AKUTANA NA GAVANA WA HAINAUT UBELGIJI

Balozi wa Tanzania Ubelgiji Dr. Diodorus Buberwa Kamala akizungumza katika tafrija iliyoandaliwa na Gavana wa Hainaut Mhe. Tommy Leclercq kuwashukuru wadau wa reli na bandari kutoka Tanzania kwa kutembelea Ubelgiji. Mhe. Leclercq ameahidi kushiriki ziara ya Wawekezaji na Wafanyabiashara wa Ubelgiji watakaotembelea Tanzania mwaka huu.
Balozi wa Tanzania Ubelgiji Dr. Diodorus Buberwa Kamala akiweka sahihi Hati ya Mapokezi ya Hainaut huku Gavana wa Hainaut Mhe. Tommy Luclercq akishuhudia....

 

11 years ago

Michuzi

BALOZI KAMALA ANADI MADINI YA TANZANIA UBELGIJI

Balozi wa Tanzania Ubelgiji Dr. Diodorus Buberwa Kamala akiwa katika picha ya pamoja na  Mfanyabishara wa  Madini Bwana J. Pattyn baada ya kufanya naye mazungumzo  kuhusu  madini yanayopatikana Tanzania. Balozi Kamala amemshauri Bwana. Pattyn awahimize Wafanyabiashara wenzake washiriki katika ziara ya kibiashara itakayofanyika Tanzania mwezi Novemba, 2014 inayoandaliwa na Ubalozi wa Tanzania Ubelgiji kwa kushirikiana na taasisi ya AWEX ya Ubelgiji.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani