BALOZI KAMALA AKUTANA NA GAVANA WA HAINAUT UBELGIJI
![](http://2.bp.blogspot.com/-dWMai3HlFDo/U4IJ97b1NgI/AAAAAAAFk88/K51Fi5LwmEI/s72-c/unnamed+(27).jpg)
Balozi wa Tanzania Ubelgiji Dr. Diodorus Buberwa Kamala akizungumza katika tafrija iliyoandaliwa na Gavana wa Hainaut Mhe. Tommy Leclercq kuwashukuru wadau wa reli na bandari kutoka Tanzania kwa kutembelea Ubelgiji. Mhe. Leclercq ameahidi kushiriki ziara ya Wawekezaji na Wafanyabiashara wa Ubelgiji watakaotembelea Tanzania mwaka huu.
Balozi wa Tanzania Ubelgiji Dr. Diodorus Buberwa Kamala akiweka sahihi Hati ya Mapokezi ya Hainaut huku Gavana wa Hainaut Mhe. Tommy Luclercq akishuhudia....
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Dewji Blog26 May
Balozi Dr Kamala alipokutana na Gavana wa Hainaut nchini Ubelgiji hivi karibuni
Balozi wa Tanzania nchini Ubelgiji,Luxermbourg na Jumuiya ya Ulaya Dr Kamala akilakiwa na Gavana wa jimbo la Hainaut nchini Ubelgiji Bw. Tommy Luclercq hivi karibuni alipomualika katika tafrija aliyoandaa katika jimbo lake.
Balozi Kamala akitia saini kitabu cha mapokezi huku gavana Tommy Luclercq akishuhudia utiaji wa saini hiyo.(picha na Maganga One).
10 years ago
MichuziBALOZI KAMALA AKUTANA NA NAIBU GAVANA WA KANDA YA BRABANT WALONIA YA UBELGIJI
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-3LyUftqWQTM/U2wfHuzZV1I/AAAAAAAFgag/khC7zAklDas/s72-c/unnamed+(26).jpg)
Balozi kamala akutana na balozi wa ubelgiji nchini tanzania
![](http://1.bp.blogspot.com/-3LyUftqWQTM/U2wfHuzZV1I/AAAAAAAFgag/khC7zAklDas/s1600/unnamed+(26).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-zOv47Aemykc/VAiEFloaZqI/AAAAAAAGeCg/YRiUyTGddhA/s72-c/unnamed%2B(86).jpg)
BALOZI KAMALA AKUTANA NA MEYA WA MANISPAA YA COVVIN UBELGIJI
![](http://3.bp.blogspot.com/-zOv47Aemykc/VAiEFloaZqI/AAAAAAAGeCg/YRiUyTGddhA/s1600/unnamed%2B(86).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-g4r6YQsvzRE/VAhcZQ_5LiI/AAAAAAAGd4c/qa7tbNtRA7E/s72-c/unnamed%2B(3).jpg)
BALOZI KAMALA AKUTANA NA MKURUGENZI MKUU WA KAMPUNI YA DELANOUT YA UBELGIJI
![](http://1.bp.blogspot.com/-g4r6YQsvzRE/VAhcZQ_5LiI/AAAAAAAGd4c/qa7tbNtRA7E/s1600/unnamed%2B(3).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-CITTKSOJx8g/VVNTmMSOkYI/AAAAAAAHXC4/DQlTb3qXn10/s72-c/unnamed%2B(62).jpg)
BALOZI KAMALA AKUTANA NA MHARIRI WA JARIDA LA BIASHARA NA UCHUMI LA UBELGIJI
![](http://4.bp.blogspot.com/-CITTKSOJx8g/VVNTmMSOkYI/AAAAAAAHXC4/DQlTb3qXn10/s640/unnamed%2B(62).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-t_z0RN7vnEs/VQBhaDSYeLI/AAAAAAAHJnc/T8k8dryOFFw/s72-c/unnamed%2B(78).jpg)
BALOZI KAMALA AKUTANA NA VIONGOZI WA ASASI YA WERELD MISSIE HULP YA UBELGIJI
![](http://4.bp.blogspot.com/-t_z0RN7vnEs/VQBhaDSYeLI/AAAAAAAHJnc/T8k8dryOFFw/s1600/unnamed%2B(78).jpg)
11 years ago
MichuziBALOZI KAMALA AKUTANA NA MKURUGENZI MKUU WA TAASISI YA USALAMA WA CHAKULA YA UBELGIJI
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-mz8pK5qkGVg/UwO0UHd6AzI/AAAAAAAFN1E/PWypXTX0MMk/s72-c/unnamed+(16).jpg)
KIONGOZI MKUU WA SERIKALI YA JIMBO LA FLANDERS LA UBELGIJI AKUTANA NA BALOZI KAMALA
![](http://4.bp.blogspot.com/-mz8pK5qkGVg/UwO0UHd6AzI/AAAAAAAFN1E/PWypXTX0MMk/s1600/unnamed+(16).jpg)