Mtifuano mkubwa majimbo ya Kigoma Kaskazini, Kusini, Muhambwe na Buyungu
KIGOMA KASKAZINI Tuliangalie jimbo hili tangu mwanzo wa mfumo wa vyama vingi. Mwaka 1995 wananchi wa Kigoma Kaskazini waliamini watachagua upinzani, hasa NCCR –Mageuzi. Kwa bahati mbaya matokeo yalipotangazwa, mgombea wa CCM alishinda kwa kura kidogo, huku kura zake zikizidiwa mbali na mchanganyiko wa kura za mgombea wa NCCR-Mageuzi na vyama vingine vya upinzani.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi12 Apr
Chadema kutumia chopa tano kutetea majimbo ya Kaskazini
10 years ago
Zitto Kabwe, MB15 Mar
10 years ago
Zitto Kabwe, MB15 Mar
Asanteni sana Kigoma Kaskazini-Zitto Kabwe
Asanteni sana Kigoma Kaskazini
HOTUBA YA MH ZITTO KABWE (MBUNGE KIGOMA KASKAZINI) ILIYOTOLEWA LEO TAREHE 15 MACHI 2015
![Zitto Kabwe speaking at a rally in Karatu on September 30 2012.](https://zittokabwe.files.wordpress.com/2012/10/karatu_zitto-10.jpg?w=199&h=300)
Zitto Kabwe .
Mwanamapinduzi na Rais wa zamani wa Burkina Faso Thomas Sankara alisema kuwa ili kuleta mabadiliko ya kimapinduzi ni lazima kuwa na hali fulani ya uendawazimu. Ila tusiufikirie uendawazimu huu wa kuokota makopo bali ule ukichaa mzuri wa kuamini katika mambo au misingi fulani na kuisimamia kwa dhati pamoja na changamoto nyingi.
Kwa kuamini kwa dhati katika...
10 years ago
Habarileo16 Mar
Zitto alitema rasmi jimbo lake la Kigoma Kaskazini
MBUNGE wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe jana amewaaga rasmi wananchi wa jimbo hilo huku akiwataka wananchi hao kutosononeka kwa uamuzi wake wa kutoendelea kugombea ubunge wa jimbo hilo, bali wamwombee na kumuunga mkono katika kila uamuzi atakaouchukua.
10 years ago
GPLZITTO KABWE ALIVYOVULIWA UBUNGE WA KIGOMA KASKAZINI LEO
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/826oIv68XgjDaKrcJ-nBS1KfU4t9gO9ChEH*SkhzzpkqYxXlhEodq1qVlm0BkJxHHi9SJWAkIJR1JdAJDCgpWJQfOKbqG8*n/Chadema_logo.jpg)
CHADEMA JIMBO LA KIGOMA KASKAZINI: TAMKO KUHUSU KUONDOKA KWA WALIOKUWA VIONGOZI
10 years ago
Vijimambo15 Mar
HOTUBA YA MH ZITTO KABWE (MBUNGE KIGOMA KASKAZINI) ILIYOTOLEWA LEO MACHI 15, 2015
![](http://api.ning.com/files/XswnwlaLlAiT2UTbR8jtJRlB*oi02FF-32ekjSnqqFX2LFdE9U7*OFf1d4Pdgwfe3zWIdUg1ssmvYTWp9ds1jBuOLBsbDnMw/ZITTO.jpg?width=650)
Mwanamapinduzi na Rais wa zamani wa Burkina Faso Thomas Sankara alisema kuwa ili kuleta mabadiliko ya kimapinduzi ni lazima kuwa na hali fulani ya uendawazimu.
Ila tusiufikirie uendawazimu huu wa kuokota makopo bali ule ukichaa mzuri wa kuamini katika mambo au misingi fulani na kuisimamia kwa dhati pamoja na changamoto nyingi.
Kwa kuamini kwa dhati katika mabadiliko haya na kutaka...
10 years ago
GPL![](https://dub123.afx.ms/att/GetInline.aspx?messageid=cf2570cb-cb1d-11e4-9b80-00215ad85708&attindex=0&cp=-1&attdepth=0&imgsrc=cid%3aimage001.jpg%4001D05F43.0B199D60&cid=8c02edf4c2fc7745&shared=1&hm__login=uwazi&hm__domain=hotm)
HOTUBA YA MH ZITTO KABWE (MBUNGE KIGOMA KASKAZINI) ILIYOTOLEWA LEO TAREHE 15 MACHI 2015
10 years ago
BBCSwahili15 Jun
Mwanajeshi wa Korea Kaskazini atorokea Kusini