HOTUBA YA MH ZITTO KABWE (MBUNGE KIGOMA KASKAZINI) ILIYOTOLEWA LEO TAREHE 15 MACHI 2015
![](https://dub123.afx.ms/att/GetInline.aspx?messageid=cf2570cb-cb1d-11e4-9b80-00215ad85708&attindex=0&cp=-1&attdepth=0&imgsrc=cid%3aimage001.jpg%4001D05F43.0B199D60&cid=8c02edf4c2fc7745&shared=1&hm__login=uwazi&hm__domain=hotm)
Zitto Kabwe . Mwanamapinduzi na Rais wa zamani wa Burkina Faso Thomas Sankara alisema kuwa ili kuleta mabadiliko ya kimapinduzi ni lazima kuwa na hali fulani ya uendawazimu. Ila tusiufikirie uendawazimu huu wa kuokota makopo bali ule ukichaa mzuri wa kuamini katika mambo au misingi fulani na kuisimamia kwa dhati pamoja na changamoto nyingi.… ...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo15 Mar
HOTUBA YA MH ZITTO KABWE (MBUNGE KIGOMA KASKAZINI) ILIYOTOLEWA LEO MACHI 15, 2015
![](http://api.ning.com/files/XswnwlaLlAiT2UTbR8jtJRlB*oi02FF-32ekjSnqqFX2LFdE9U7*OFf1d4Pdgwfe3zWIdUg1ssmvYTWp9ds1jBuOLBsbDnMw/ZITTO.jpg?width=650)
Mwanamapinduzi na Rais wa zamani wa Burkina Faso Thomas Sankara alisema kuwa ili kuleta mabadiliko ya kimapinduzi ni lazima kuwa na hali fulani ya uendawazimu.
Ila tusiufikirie uendawazimu huu wa kuokota makopo bali ule ukichaa mzuri wa kuamini katika mambo au misingi fulani na kuisimamia kwa dhati pamoja na changamoto nyingi.
Kwa kuamini kwa dhati katika mabadiliko haya na kutaka...
10 years ago
GPLZITTO KABWE ALIVYOVULIWA UBUNGE WA KIGOMA KASKAZINI LEO
10 years ago
Zitto Kabwe, MB15 Mar
Asanteni sana Kigoma Kaskazini-Zitto Kabwe
Asanteni sana Kigoma Kaskazini
HOTUBA YA MH ZITTO KABWE (MBUNGE KIGOMA KASKAZINI) ILIYOTOLEWA LEO TAREHE 15 MACHI 2015
![Zitto Kabwe speaking at a rally in Karatu on September 30 2012.](https://zittokabwe.files.wordpress.com/2012/10/karatu_zitto-10.jpg?w=199&h=300)
Zitto Kabwe .
Mwanamapinduzi na Rais wa zamani wa Burkina Faso Thomas Sankara alisema kuwa ili kuleta mabadiliko ya kimapinduzi ni lazima kuwa na hali fulani ya uendawazimu. Ila tusiufikirie uendawazimu huu wa kuokota makopo bali ule ukichaa mzuri wa kuamini katika mambo au misingi fulani na kuisimamia kwa dhati pamoja na changamoto nyingi.
Kwa kuamini kwa dhati katika...
11 years ago
Dewji Blog01 Jun
Mwili wa Mama yake Mbunge wa Kigoma Zitto Kabwe wasafirishwa kwenda Kigoma
Zitto Kabwe akiwa na Prof Ibrahimu Lipumba wakati wa kuuaga Mwili wa mama yake kipenzi Bi Shida Salumu aliyefariki leo kabla ya kusafirishwa kwenda Kigoma kwa mazishi.
Ndege ikiandaliwa ili kuweza kuingiza mwili wa Marehemu Mama yake Zitto Kabwe.
Waheshimiwa Wabunge na Baadhi ya Viongozi wakibeba Jeneza lililobeba Mwili wa Marehemu Mama yake Zitto Kabwe Bi Shida Salum kuingiza kwenye ndege Tayari kwa safari ya kwenda Kigoma Kwenye mazishi.
Prof. Ibrahimu Lipumba akijadili jambo na...
11 years ago
GPLHOTUBA YA MH ZITTO Z. KABWE - KIGOMA – 21 DESEMBA 2013
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Vf77AmMaeXvByimJdb*TUgMH7sQPGxazPkC2H21RrE3o2KUdl4gvH9xM9l3C9PcTJRKbrepgMhqgGZPUiz9BWeRJxSkr8h15/ZITTOKIGOMA10.jpg?width=650)
TASWIRA ZA MKUTANO WA ZITTO KABWE KIGOMA MJINI LEO
10 years ago
Mwananchi12 Mar
Zitto Kabwe kuibukia Kigoma kesho
11 years ago
Habarileo31 Dec
CCM Kigoma wamuunga mkono Zitto Kabwe
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) wilaya ya Kigoma Mjini kimeunga mkono hatua ya Naibu Katibu Mkuu wa CHADEMA aliyevuliwa madaraka, Zitto Kabwe kusimamia demokrasia na matumizi sahihi ya fedha katika chama chake.
10 years ago
IPPmedia03 Feb
Kigoma legislator, Zitto Zuberi Kabwe (Chadema)
IPPmedia
IPPmedia
Kigoma legislator Zitto Zuberi Kabwe (Chadema) has proposed introduction of digital land titles in a bid to curb persistent land conflicts in the country. Debating the annual report tabled by the Parliamentary Committee on Land, Environment and Natural ...