Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wafurahia misaada ya TANAPA

WANANCHI wa Kata ya Gorong’a na Nyarokoba wilayani Tarime mkoani Mara, wameeleza kufurahishwa na misaada ya kijamii inayotolewa na uongozi wa Hifadhi za Taifa Nchini (TANAPA). Wakizungumza na waandishi wa...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Kigoma wafurahia ziara ya Majaliwa

Baadhi ya viongozi na wakazi wa Kigoma, wamesema ziara ya siku tatu ya Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa mkoani humo itaongeza ufanisi kwa watendaji na kutoa suluhisho la migogoro katika baadhi ya halmashauri nchini.

 

5 years ago

Michuzi

TFF WAFURAHIA MAFANIKIO YA LINGALANGALA

Na Zainab Nyamka, Globu ya Jamiihirikisho la Mpira wa Miguu Nchini (TFF) limempongeza Mjumbe wa Shirikisho hilo na Mjumbe wa Kudumu wa Yanga Dkt Tobias Lingalangala kwa kutunukiwa shahada ya uzamivu   (PHD- Doctorate in Humanity) mwishoni mwa wiki hii.

Lingalangala ametunukiwa kutoka Chuo cga LeadImpact cha Nchini Marekani baada ya kuonesha mchango wake mkubwa kwa jamii.

Akizungumza kwa niaba ya Rais wa TFF,Makamu wa Rais Stephen Mguto amesema wamefurahi sana kuona moja ya mdau wakubwa wa...

 

10 years ago

BBCSwahili

Wairan wafurahia makubaliano ya nyuklia

Maelfu ya raia wa Iran wamekuwa wakishangilia mitaani kufutia makubaliano mapya ya mpango wa nyuklia kati ya Iran na mataifa makubwa yenye nguvu duniani.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wastaafu wafurahia huduma za NHIF

BAADHI ya walimu wastaafu wa Wilaya ya Temeke jijini Dar es Salaam, wameupongeza Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya kwa kuwa na fao la wastaafu linalowapa uhakika wa matibabu...

 

11 years ago

BBCSwahili

Malaika wafurahia Swaum ya Ramadhan

Huu ni mwezi wa Ramadhan.Inaelezwa kuwa hata Malaika wanafurahia mfungo huo? Baruan Muhuza anaangazia mfungo huo

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wasanii wafurahia Tamasha la Uluguru

WASANII mbalimbali wa filamu mkoani Morogoro, wameelezea kufurahishwa kuandaliwa kwa Tamasha la Filamu la Uluguru ‘Uluguru Film Festival 2013’ linalotarajiwa kufanyika Ukumbi wa Vijana Social ulioko mjini hapa, Desemba 20....

 

5 years ago

Michuzi

WANANCHI WAFURAHIA UJENZI WA ZAHANATI

Na Mwandishi wetu Mihambwe

Wananchi wameonyesha kufurahishwa na kitendo cha Serikali kuendeleza ujenzi wa Zahanati ambazo zilisimama ujenzi kwa muda mrefu.

Hayo yamejitokeza kwenye ziara aliyoifanya Afisa Tarafa Mihambwe Emmanuel Shilatu ya kufuatilia ujenzi wa Zahanati ya Mitondi iliyopo Kijiji cha Mitondi B kata ya Kitama pamoja na Zahanati ya Miuta iliyopo Kijiji cha Miuta kata ya Miuta ambapo alikuta ujenzi ukiendelea kwa kasi hali inayowafurahisha Wananchi kiasi cha kuamua kujitoa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani