Wasanii wafurahia Tamasha la Uluguru
WASANII mbalimbali wa filamu mkoani Morogoro, wameelezea kufurahishwa kuandaliwa kwa Tamasha la Filamu la Uluguru ‘Uluguru Film Festival 2013’ linalotarajiwa kufanyika Ukumbi wa Vijana Social ulioko mjini hapa, Desemba 20....
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziWASANII WAPANIA MAKUBWA TAMASHA LA AMANI
Taarifa kwa vyombo vya habari iliyotolewa wiki hii na Mwenyekiti wa Kamati ya Maandalizi ya tamasha hilo,Alex Msama ilieleza kuwa wasanii hao wamesema kuna mambo mazuri watayafanya siku hiyo.
Baadhi ya wasanii waliotajwa kwamba watatumbuiza siku hiyo ni Sarah K, John Lissu, Rose Muhando, Upendo...
10 years ago
Michuzi
Wasanii LUNDOO watajwa Tamasha la Pasaka

10 years ago
MichuziWASANII 74 WAOMBA KUSHIRIKI TAMASHA LA AMANI
Na Mwandishi WetuKAMATI ya Maandalizi ya Tamasha la Amani, imesema inapata wakati mgumu kuhusiana na idadi ya waimbaji ambao wanaomba kushiriki tamasha hilo litakalofanyika Oktoba 4, mwaka huu. Mwenyekiti wa kamati hiyo, Alex Msama amesema wiki hii kuwa idadi ya wanaoomba washiriki tamasha hilo imekuwa kubwa kuliko kawaida, ambapo hadi juzi walikuwa waombaji wamefikia 74. “Tunapata maombi mengi, tunajitahidi kadri ya...
10 years ago
Mwananchi21 Feb
Wasanii wa Tanzania ‘wafunikwa’ Tamasha la Sauti za Busara
Zanzibar. Unaweza kusema U-super staa au kuona muziki siyo kazi ama biashara kama zilivyo nyingine ndiko kulipowaponza wanamuzi wa Tanzania na kujikuta wakishindwa kufanya vyema katika tamasha la mwaka huu la Sauti za Busara.
11 years ago
Tanzania Daima01 Aug
Wasanii wakamia kivingine Tamasha la Matumaini 2014
AGOSTI 8, Uwanja wa Taifa ‘utasimama’ kwa saa kadhaa kupisha burudani kya nguvu kutoka kwa wasanii ambao watapamba Tamasha la Matumaini linalofanyika kwa mara ya tatu tangu lianze. Lengo la...
10 years ago
GPLWASANII WAANDAA TAMASHA LA KUHAMASISHA KUPIGA KURA
Joseph Haule `Profesor J’ akizungumza na waandishi wa habari, wa kwanza kushoto ni mwanamuziki Kala Jeremiah akifuatiwa na Juma Kassim `Juma Nature’. Msanii wa muziki Bongo, Kala Jeremiah (katikati) akizungumzia tamasha hilo. Kulia kwake ni msanii Joseph Haule `Profesor Jay’ na kushoto ni Juma Kassim ‘Juma Nature’. Msanii `Juma Nature’ akizungumza kwa kina… ...
11 years ago
Mwananchi21 Jun
MAONI: Wasanii wetu kususa tamasha ni aibu
>Siku chache zilizopita msanii Yesaya Ambwene au AY aliteuliwa na Shirika la Kuhudumia Watoto la Umoja wa Mataifa (Unicef) kuwa balozi katika ‘Kampeni ya Tokomeza Ukatili Dhidi ya Watoto.’
10 years ago
Vijimambo13 Jan
WASANII MJIANDIKISHE KUSHIRIKI TAMASHA LA MTANZANIA ,KOLON,UJERUMANI
Tamasha litafanyika mjini Koloni,Ujerumani April 2015
Wasanii wanaotaka kushiriki katika katamasha la kongamano la wasanii wa Tanzania na afrika mashariki linalotarajiwa kufanyika mjini Kolon,Ujermani siku ya 8 November 2014 mnaombwa mjiandikishe kwa kuwasiliana katika namba ya simu +49(0)15778645623 .Tamasha hili linania ya kutangaza sanaa za maonyesho za Tanzania nchini ujerumani,wasanii wa ngoma za asili,Sarakasi,Maigizo, Muziki n.k mnakaribishwa kujiandikisha kushiriki Tamasha hili...
Wasanii wanaotaka kushiriki katika katamasha la kongamano la wasanii wa Tanzania na afrika mashariki linalotarajiwa kufanyika mjini Kolon,Ujermani siku ya 8 November 2014 mnaombwa mjiandikishe kwa kuwasiliana katika namba ya simu +49(0)15778645623 .Tamasha hili linania ya kutangaza sanaa za maonyesho za Tanzania nchini ujerumani,wasanii wa ngoma za asili,Sarakasi,Maigizo, Muziki n.k mnakaribishwa kujiandikisha kushiriki Tamasha hili...
11 years ago
GPLMWALIKO WA WA WASANII KWENDA CAIRO, MISRI KWENYE TAMASHA
Tarehe: 14/08/2014
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
BASATA Arts Centre                                                                           Tel. 2863748/2860485...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
07-May-2025 in Tanzania