Wastaafu wafurahia huduma za NHIF
BAADHI ya walimu wastaafu wa Wilaya ya Temeke jijini Dar es Salaam, wameupongeza Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya kwa kuwa na fao la wastaafu linalowapa uhakika wa matibabu...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
MichuziWananchi wafurahia huduma za NHIF maonesho ya Utumishi wa Umma
10 years ago
MichuziWATOA HUDUMA MKOANI LINDI WAASWA KUCHANGAMKIA MIKOPO INAYOTOLEWA NA NHIF ILI KUBORESHA HUDUMA ZA MATIBABU
10 years ago
MichuziTabora wafurahia huduma za madaktari Bingwa
WAGONJWA waliofika na kupata huduma za Madaktari Bingwa ambao wapo kwenye mpango unaoendeshwa na Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya wamefurahia huduma hizo na kusema kwamba zimeokoa fedha nyingi ambazo wangetakiwa kuzitumia kusafiri kufuata huduma hizo.
Wakizungumza kwa nyakati tofauti katika Hospitali ya Mkoa wa Tabora, Kitete, walisema kwamba ujio wa Madaktari hao umewasaidia kupata huduma nzuri na zinazohitajika bila ya usumbufu wa aina yoyote na wala kutumia...
11 years ago
Tanzania Daima03 Apr
Wanakijiji Pande wafurahia neema ya huduma za afya
MARADHI ni mojawapo ya maadui watatu ukiacha ujinga na umasikini. Hivyo bila kuwa na mchango wa sekta binafsi au wafadhili, serikali pekee haiwezi kupambana nayo. Ukosefu wa huduma za afya...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-LahibZQR4L4/VDfV5JDXXnI/AAAAAAAAILs/KmNyhBBj4Wo/s72-c/IMG-20141008-WA0035.jpg)
WAFANYAKAZI WA BENKI YA CRDB TAWI LA MOSHI WAFURAHIA WIKI YA HUDUMA KWA WATEJA.
![](http://2.bp.blogspot.com/-LahibZQR4L4/VDfV5JDXXnI/AAAAAAAAILs/KmNyhBBj4Wo/s1600/IMG-20141008-WA0035.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-TdgpVauAgio/VDfV7uR4AHI/AAAAAAAAIL4/JuKQQt3u7Ss/s1600/IMG-20141008-WA0041.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-SJGCc8mAFgo/VDfV86J6atI/AAAAAAAAIL8/ja-CU59WrFI/s1600/IMG-20141008-WA0042.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-bGKhwpMfOL4/VDfV9Pm21II/AAAAAAAAIMA/ytCQxpDOQfo/s1600/IMG-20141008-WA0044.jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ug6ORo4NSNQUKt76SdYmIE34ekKQ1ZcNpod8AIpjKotOkbT96ssBEvK6Ygpm0JiJRAr1PvqXIOXaQuHceCx3-THEIcVC75fW/AdamMayingu.jpg?width=650)
PSPF, BENKI YA POSTA WAZINDUA HUDUMA YA MKOPO KWA WASTAAFU
9 years ago
Habarileo01 Jan
NHIF yatangaza maboresho ya huduma
MFUKO wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) umetangaza kuboresha orodha ya huduma na gharama zinazolipwa kwa watoa huduma kwa ajili ya kufanikisha huduma hizo. Aidha, imefunga mfumo wa malipo wa elektroniki katika maduka yote ya dawa yaliyosajiliwa na NHIF ambao unaruhusu uchakataji wa madai ya dawa kwa kila siku.
10 years ago
Habarileo01 Dec
Walemavu kufaidika na huduma za NHIF
MAKUNDI mbalimbali ya wajasiriamali wa jamii ya wenye ulemavu yataanza kunufaika na huduma zinazotolewa na Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF), imefahamika jijini hapa.