Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wastaafu wafurahia huduma za NHIF

BAADHI ya walimu wastaafu wa Wilaya ya Temeke jijini Dar es Salaam, wameupongeza Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya kwa kuwa na fao la wastaafu linalowapa uhakika wa matibabu...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

Wananchi wafurahia huduma za NHIF maonesho ya Utumishi wa Umma

Meneja wa Masoko na Elimu kwa Umma, Anjela Mziray na Ofisa Matekelezo, Geofrey Tumaini wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya wakitoa ufafanuzi kwa wananchi waliotembelea banda la Mfuko katika Maonesho ya Maadhimisho ya Wiki ya Utumishi wa Umma.  Maofisa wa NHIF wakiongozwa na Meneja wa Mkoa wa Temeke, Ellentruda Mbogoro (kushoto) wakichambua na kuhakiki fomu za wanachama waliowasilisha fomu za usajili kwa ajili ya kupatiwa vitambulisho vya matibabu. Ofisa Mifumo Habari wa NHIF, Donald...

 

10 years ago

Michuzi

WATOA HUDUMA MKOANI LINDI WAASWA KUCHANGAMKIA MIKOPO INAYOTOLEWA NA NHIF ILI KUBORESHA HUDUMA ZA MATIBABU

Kaimu katibu tawala wa Mkoa wa Lindi Grayson Mwaigombe amewataka waganga wakuu wa hospitali kuanzia ya mkoa na wilaya,kuchangamkia mikopo ya riba nafuu inayotolewa na NHIF,ili waweze kuboresha huduma na pia kuwa chanzo kingine cha mapato ya hospitali,kwani wananchi kwa sasa wanahitaji huduma bora na stahiki,aliyesema hayo wakati wa elimu ya uhamasishaji watoa huduma wa Serikali, mashirika ya dini na watu binafsi waliosajiliwa na mfuko,kuchangamkia fursa ya mikopo ya vifaa tiba,ukarabati wa...

 

10 years ago

Michuzi

Tabora wafurahia huduma za madaktari Bingwa

Na Grace Michael, Tabora
WAGONJWA waliofika na kupata huduma za Madaktari Bingwa ambao wapo kwenye mpango unaoendeshwa na Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya wamefurahia huduma hizo na kusema kwamba zimeokoa fedha nyingi ambazo wangetakiwa kuzitumia kusafiri kufuata huduma hizo.
Wakizungumza kwa nyakati tofauti katika Hospitali ya Mkoa wa Tabora, Kitete, walisema kwamba ujio wa Madaktari hao umewasaidia kupata huduma nzuri na zinazohitajika bila ya usumbufu wa aina yoyote na wala kutumia...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wanakijiji Pande wafurahia neema ya huduma za afya

MARADHI ni mojawapo ya maadui watatu ukiacha ujinga na umasikini. Hivyo bila kuwa na mchango wa sekta binafsi au wafadhili, serikali pekee haiwezi kupambana nayo. Ukosefu wa huduma za afya...

 

10 years ago

Michuzi

WAFANYAKAZI WA BENKI YA CRDB TAWI LA MOSHI WAFURAHIA WIKI YA HUDUMA KWA WATEJA.

Wafanyakazi wa Benki ya CRDB tawi la Moshi wakiwa katika picha ya pamoja ,aliyekaa ni meneja wa tawi hilo Francis Mollel.Baadhi ya afanyakazi wa kike wa Benki ya CRDB tawi la Moshi wakiweka pozi la picha pembeni ya Keki.Mmoja wa wafanyakazi wa Benki ya CRDB tawi la Moshi akikata keki kwa ajili ya wateja.Keki maalumu iliyoandaliwa kwa ajili ya wateja wa Benki ya CRDB tawi la Moshi wakati wa week ya huduma kwa wateja. Na Dixon Busagaga wa Globu ya jamii kanda ya kaskazini.

 

11 years ago

GPL

PSPF, BENKI YA POSTA WAZINDUA HUDUMA YA MKOPO KWA WASTAAFU

Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF, Adam Mayingu, akitoa hotuba kuelezea huduma hiyo mpya ya "Wastaafu Loan"
Mkurugenzi Mkuu wa Benki ya Posta Tanzania (TPB), Sabasaba Moshingi, akitoa hotuba yake.…

 

9 years ago

Habarileo

NHIF yatangaza maboresho ya huduma

MFUKO wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) umetangaza kuboresha orodha ya huduma na gharama zinazolipwa kwa watoa huduma kwa ajili ya kufanikisha huduma hizo. Aidha, imefunga mfumo wa malipo wa elektroniki katika maduka yote ya dawa yaliyosajiliwa na NHIF ambao unaruhusu uchakataji wa madai ya dawa kwa kila siku.

 

10 years ago

Habarileo

Walemavu kufaidika na huduma za NHIF

MAKUNDI mbalimbali ya wajasiriamali wa jamii ya wenye ulemavu yataanza kunufaika na huduma zinazotolewa na Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF), imefahamika jijini hapa. Mkurugenzi wa huduma za mfuko wa afya ya jamii kutoka NHIF, Rehani Athumani, aliyasema hayo alipokuwa akitoa salamu za NHIF wakati wa uzinduzi wa tawi la Vicoba kwa watu wenye ulemavu katika hafla iliyofanyika katika viwanja vya shule ya sekondari ya Benjamin Mkapa. Awali, Rais wa Vicoba Tanzania, Devota Likokola (MB), aliushukuru Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) kwa kushirikiana na wana-Vicoba katika utoaji wa elimu kwa jamii kuhusu huduma zake na kuuhimiza kuharakisha zoezi la utoaji elimu kwa watu wenye ulemavu ili hatimaye waweze kunufaika na huduma za matibabu. Aidha, Likokola alimshukuru Dk Reginald Mengi ambaye ni mdhamini wa jamii ya watu wenye ulemavu na Benki ya Posta kwa kuunga mkono jamii ya walemavu kujikwamua kiuchumi wakati wote. Katika risala yao mbele ya mdhamini wao, Ramadhani Madabida ambaye ndiye alikuwa mgeni rasmi, walisema kukosa maeneo ya kufanyia biashara na mitaji ni baadhi ya changamoto zinazowakabili katika mapambano yao ya kujikomboa kiuchumi. Madabida aliahidi kuipatia ufumbuzi changamoto ya maeneo ya kufanyia biashara kwa kushirikiana na Meya wa Manispaa ya Kinondoni kama hatua ya awali na pia aliahidi kuwachangia kiasi cha milioni moja kuongezea mtaji wao.MAKUNDI mbalimbali ya wajasiriamali wa jamii ya wenye ulemavu yataanza kunufaika na huduma zinazotolewa na Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF), imefahamika jijini hapa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani