Tabora wafurahia huduma za madaktari Bingwa
Na Grace Michael, Tabora
WAGONJWA waliofika na kupata huduma za Madaktari Bingwa ambao wapo kwenye mpango unaoendeshwa na Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya wamefurahia huduma hizo na kusema kwamba zimeokoa fedha nyingi ambazo wangetakiwa kuzitumia kusafiri kufuata huduma hizo.
Wakizungumza kwa nyakati tofauti katika Hospitali ya Mkoa wa Tabora, Kitete, walisema kwamba ujio wa Madaktari hao umewasaidia kupata huduma nzuri na zinazohitajika bila ya usumbufu wa aina yoyote na wala kutumia...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-e1lpdEO_e64/VPRxz3uhFWI/AAAAAAAAMdY/xtkPLd7OIXU/s72-c/NHIF%2BTABORA.5.jpg)
NHIF YAZINDUA HUDUMA ZA MATIBABU ZINAZOTOLEWA BURE NA MADAKTARI BINGWA-TABORA
![](http://2.bp.blogspot.com/-e1lpdEO_e64/VPRxz3uhFWI/AAAAAAAAMdY/xtkPLd7OIXU/s1600/NHIF%2BTABORA.5.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-DAusR2we7DY/VPRw8wZCiBI/AAAAAAAAMdI/i59TF8Und3w/s1600/NHIF%2BTABORA.3.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-aY2L5iPTmPM/VPRwoq4HKCI/AAAAAAAAMdA/LYUiHUkZcO8/s1600/NHIF%2BTABORA.2.jpg)
9 years ago
MichuziTIMU YA MADAKTARI BINGWA KUTOKA NCHINI CHINA WAKISHIRIKIANA NA MADAKTARI WA ZANZIBAR WATOA HUDUMA ZA KIJAMII KATIKA KIJIJI CHA KISAUNI ZANZIBAR
10 years ago
Habarileo13 Nov
Madaktari bingwa 200 kutoa huduma
MADAKTARI bingwa zaidi ya 200 kutoka ndani na nje ya nchi, wanatarajiwa kutoa huduma za uchunguzi na matibabu bure wakati wa mkutano mkuu wa mwaka wa Chama cha Madaktari Tanzania (MAT), utakaofanyika kwa siku sita kuanzia Desemba 9 mwaka huu mjini Dodoma.
10 years ago
MichuziUZINDUZI WA HUDUMA ZA MADAKTARI BINGWA SHINYANGA
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-jtkoAwHhoe4/VZ1B0zGbojI/AAAAAAAHn0k/RJ_YwDZivto/s72-c/IMG-20150703-WA0018.jpg)
HUDUMA ZA MADAKTARI BINGWA ZAHITIMISHWA MKOANI SHINYANGA
![](http://4.bp.blogspot.com/-jtkoAwHhoe4/VZ1B0zGbojI/AAAAAAAHn0k/RJ_YwDZivto/s640/IMG-20150703-WA0018.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-c7ok5qldkRM/VZ1B1LaVa8I/AAAAAAAHn0o/9Dd6lxiH2_E/s640/IMG-20150703-WA0027.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-W4BSJIM1i-g/VZ1B1PnDYlI/AAAAAAAHn0s/IqnswkR28Ik/s640/IMG-20150703-WA0031.jpg)
10 years ago
MichuziNHIF WAZINDUA MPANGO WA HUDUMA ZA MADAKTARI BINGWA MANYARA.
Baadhi ya wakazi wa Wilaya ya Babati Mkoani Manyara, wakishuhudia Mkuu wa Mkoa wa Manyara, Dk Joel Nkaya akizindua mpango wa huduma za madaktari bingwa mkoani humo, zilizowezeshwa na NHIF
10 years ago
Michuzi21 Apr
MADAKTARI BINGWA KUTOKA INDIA WATOA HUDUMA YA MATIBABU JIJINI ARUSHA
Akizungumza na waandishi wa habari katika kituo cha kutoa huduma kwamatibabu Arusha, Austin Makani alisema kuwa , madaktari bingwa haowanatoa ushauri kwa wagonjwa wenye matatizo ya Figo , Moyo, tumbo,saratani, mishipa ya fahamu, uti wa mgongo, upasuaji wa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-_awDbbKInbI/Xl463t0Xt3I/AAAAAAALgs0/lHgf_wQFVnMa38NJTw6Wp5TKsnJbJoLKwCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-03%2Bat%2B13.53.57.jpeg)
MADAKTARI BINGWA WAANZA KUTOA HUDUMA KATIKA VITUO VYA AFYA MANISPAA YA UBUNGO
Amesema katika Wiki ya pili huduma zitahamia kituo cha Afya Kimara na wiki ya tatu litamalizia katika kituo cha Afya Makurumla. Dominic amesema huduma za kibingwa zitakuwa zikitolewa bure katika wiki zote tatu.
Aidha amesema Madaktari bingwa...
5 years ago
CCM BlogMADAKTARI BINGWA WAENDELEA KUTOA HUDUMA KATIKA VITUO VYA AFYA MANISPAA YA UBUNGO
UBUNGO, Dar es Salaam
Manispaa ya Ubungo leo imeendelea kutoa huduma za afya kwa kutumia Madaktari Bingwa waliopo katika Manispaa ambapo leo madaktari hao wameanza kutoa huduma katika kituo cha Afya Kimara.
Huduma...