Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wairan wafurahia makubaliano ya nyuklia

Maelfu ya raia wa Iran wamekuwa wakishangilia mitaani kufutia makubaliano mapya ya mpango wa nyuklia kati ya Iran na mataifa makubwa yenye nguvu duniani.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Nyuklia:Iran yaapa kutekeleza makubaliano

Rais wa Iran Hassan Rouhani amesema nchi yake itatekeleza wajibu wake kikamilifu kuhusiana na muafaka wa nyuklia ulioafikiwa

 

10 years ago

Habarileo

BREAKING NEWS: Makubaliano juu ya mpango wa nyuklia wa Iran yafikiwa

Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Iran na Marekani wakisalimiana kabla ya kuanza kwa kikao cha mwisho kilichozaa matunda leo mjini Vienna nchini Austria.IRAN na mataifa sita yenye nguvu duniani wamefikia makubaliano muhimu leo mjini Vienna , kuhusu mpango wa nyuklia wa Iran kuweza kuondolewa vikwazo ilivyoekewa na mataifa ya magharibi Makubaliano hayo yamekuja katika siku ya 18 za mbio katika mazungumzo kati ya Iran na kundi la mataifa matano lijulikanalo kama P5 +1, mataifa matano ambayo ni Marekani , Urussi , China , Uingereza, Ufaransa pamoja na Ujerumani , mjini Vienna.

 

11 years ago

GPL

WAIRAN KIZIMBANI KWA KUKUTWA NA ‘UNGA’ MELINI

Washitakiwa wakipelekwa kizimbani. Msafara wa kuelekea kizimbani. Wakisubiri kupandishwa…

 

10 years ago

BBCSwahili

Nyuklia:Marekani kuafikiana na Iran

Obama ana uhakika kuwa Marekani itaafikia makubaliano ya mwisho na Iran kuhusu mpango wake wa nyuklia mwishoni mwa mwezi Juni.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mazungumzo ya nyuklia ya Iran yaafikiwa

Mataifa sita makubwa duniani wamefikia makubalino ya muundo wa mazungumzo ya kina kuhusu mpango wa nyuklia wa Iran

 

11 years ago

Mwananchi

Vifaa vya kudhibiti nyuklia kufungwa

Kampuni ya Atomtek ya Uturuki inatarajia kuwekeza zaidi ya Sh135 bilioni nchini kwa ajili ya kufunga mitambo kwenye viwanja vya ndege, bandari na mipakani kudhibiti bidhaa zenye madhara yatokanayo na nguvu za kinyuklia.

 

10 years ago

BBCSwahili

Nyuklia:Iran yakubaliana na mataifa 6 makubwa

Hatimaye makubaliano ya kihistoria yametangazwa kuhusu mpango wa nyuklia wa Iran na mataifa 6 makubwa duniani.

 

10 years ago

BBCSwahili

Urusi kuimarisha zana zake za nyuklia

Rais Vladmir Putni, ametangaza kuwa Urusi itaongeza zaidi ya makombora 40 ya kinukilia yanayoweza kufikia mabara mbalimbali kabla ya mwisho wa mwaka huu.

 

10 years ago

BBCSwahili

Picha za bomu la nyuklia Nagasaki Japan

Huku ulimwengu ukiadhimisha miaka 70 tangu ndege za kijeshi za Marekani ilipodondosha bomu la kinyuklia juu ya Nagasaki tazama picha za janga hilo

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani