Wairan wafurahia makubaliano ya nyuklia
Maelfu ya raia wa Iran wamekuwa wakishangilia mitaani kufutia makubaliano mapya ya mpango wa nyuklia kati ya Iran na mataifa makubwa yenye nguvu duniani.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili03 Apr
Nyuklia:Iran yaapa kutekeleza makubaliano
10 years ago
Habarileo14 Jul
BREAKING NEWS: Makubaliano juu ya mpango wa nyuklia wa Iran yafikiwa
IRAN na mataifa sita yenye nguvu duniani wamefikia makubaliano muhimu leo mjini Vienna , kuhusu mpango wa nyuklia wa Iran kuweza kuondolewa vikwazo ilivyoekewa na mataifa ya magharibi Makubaliano hayo yamekuja katika siku ya 18 za mbio katika mazungumzo kati ya Iran na kundi la mataifa matano lijulikanalo kama P5 +1, mataifa matano ambayo ni Marekani , Urussi , China , Uingereza, Ufaransa pamoja na Ujerumani , mjini Vienna.
11 years ago
GPLWAIRAN KIZIMBANI KWA KUKUTWA NA ‘UNGA’ MELINI
10 years ago
BBCSwahili04 Apr
Nyuklia:Marekani kuafikiana na Iran
10 years ago
BBCSwahili03 Apr
Mazungumzo ya nyuklia ya Iran yaafikiwa
11 years ago
Mwananchi20 Feb
Vifaa vya kudhibiti nyuklia kufungwa
10 years ago
BBCSwahili14 Jul
Nyuklia:Iran yakubaliana na mataifa 6 makubwa
10 years ago
BBCSwahili16 Jun
Urusi kuimarisha zana zake za nyuklia
10 years ago
BBCSwahili09 Aug
Picha za bomu la nyuklia Nagasaki Japan