UONGOZI WA YANGA WAMPONGEZA DKT TOBIAS LINGALANGALA
![](https://1.bp.blogspot.com/-V_zanBiRQXQ/XlPtpwImoTI/AAAAAAABLlU/yomqU802gdEP9wHRGX2lNOgyfUbPqEfAQCNcBGAsYHQ/s72-c/IMG_6156.jpg)
Na Zainab Nyamka, Globu ya Jamii
UONGOZI wa Klabu ya Yanga umempongeza Mjumbe wa Kudumu na Mjumbe wa Kamati ya Mashindano Dkt Tobias Lingalangala kwa kutunukiwa shahada ya uzamivu (PHD) kutoka Shirika la LeadImpact ya nchini Marekani.
Lingalangala ametunukiwa shahada ya uzamivu ya Doctorate in humanity baada ya taasisi hiyo kuona juhudi kubwa alizozifanya kwa jamii.
Akizungumza wakati wa hafla ya kumpongeza, Mwenyekiti wa Klabu ya Yanga Dkt Mshindo Msolla amesema baada ya kupata taarifa kuwa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog03 Nov
Vyuo Vikuu wampongeza Dkt. Magufuli
Mwenyekiti wa Shirikisho la Wanafunzi wa Vyuo Vikuu (CCM) Bi. Zainabu Abdallah (katikati) akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) alipokuwa akitoa pongezi kwa Rais mteule wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Awamu ya Tano Dkt. John Pombe Magufuli kwa niaba ya Shirikisho hilo jana jijini Dar es Salaam katika Ukumbi wa Habari (MAELEZO). Kushoto ni Katibu Msaidizi wa Shirikisho hilo Bw. Daniel Zenda na kulia ni Afisa Habari wa Idara ya Habari (MAELEZO) Bw. Frank Mvungi.(Picha na...
11 years ago
Michuzi24 Mar
LUDEWA WAMPONGEZA RAIS DKT JAKAYA KIKWETE
Rais Dr Kikwete Na Francis Godwin Blog WANANCHI wa Ludewa mkoani Njombe wamempongeza Rais Dr Jakaya Kikwete kwa hatua yake ya kuwashirikisha wananchi wa maeneo husika katika suala la utatuzi wa mgogoro wa mpaka kati ya Tanzania na Malawi
Hatua ya wananchi hao kumpongeza Rais Dr Kikwete imekuja huku ikiwa ni siku tatu zimepita toka mbunge wao wa jimbo la Ludewa Deo Filikunjombe ,mbunge wa jimbo la Kyela Dk. Harrison Mwakyembe na mbunge wa jimbo la...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-ZXDVRfMY8p4/VEgB__3ck0I/AAAAAAAGs0g/GVlYDdkcVeM/s72-c/unnamed%2B(26).jpg)
DKT. BILAL AKUTANA NA RAIS WA MMI BINGWA WA MASUALA YA UTAWALA NA UONGOZI KUTOKA BAHAMAS, DKT. MYLES MUNROE
![](http://2.bp.blogspot.com/-ZXDVRfMY8p4/VEgB__3ck0I/AAAAAAAGs0g/GVlYDdkcVeM/s1600/unnamed%2B(26).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-PLwv6e9I2Uw/VEgB_6Sy2PI/AAAAAAAGs0M/ic4r2eYd-g4/s1600/unnamed%2B(27).jpg)
10 years ago
Dewji Blog22 Oct
Dkt. Bilal akutana na Rais wa MMI bingwa wa masuala ya utawala na uongozi kutoka Bahamas, Dkt. Myles Munroe
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisalimiana na kumkaribisha, Rais wa MMI Bingwa wa Masuala ya Utawala na Uongozi kutoka Bahamas, Dkt. Myles Munroe, na ujumbe wake wakati walipofika ofisini kwake Ikulu jijini Dar es Salaam, juzi Oktoba 20, 2014 akiwa na ujumbe wake na kufanya mazungumzo. (Picha na OMR).
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akizungumza na Rais wa MMI Bingwa wa Masuala ya Utawala na...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-o-iftunf9m0/Xs5sKoVfHuI/AAAAAAAAMX0/-u54N-33fpgWuVSJCHe0Hoeif2-7HiXjQCLcBGAsYHQ/s72-c/1.png)
WAKULIMA WILAYA YA IKUNGI WAMPONGEZA RAIS DKT. JOHN MAGUFULI…!
![1 1](https://1.bp.blogspot.com/-o-iftunf9m0/Xs5sKoVfHuI/AAAAAAAAMX0/-u54N-33fpgWuVSJCHe0Hoeif2-7HiXjQCLcBGAsYHQ/s400/1.png)
![2 2](https://1.bp.blogspot.com/-N-jaXoNDBDs/Xs5sIumtuUI/AAAAAAAAMXs/PTznSJOSvE8p_T7IGPMs9oIwQhmGr-LtQCLcBGAsYHQ/s400/2.png)
![vlcsnap-2020-05-27-15h10m19s748 vlcsnap-2020-05-27-15h10m19s748](https://1.bp.blogspot.com/-kXl-FC5nBwk/Xs5sJxecqkI/AAAAAAAAMXw/Soa0dyXhhgIU2dHr8e6ASbEn0TVNb5dzACLcBGAsYHQ/s400/vlcsnap-2020-05-27-15h10m19s748.png)
![vlcsnap-2020-05-27-15h11m55s710 vlcsnap-2020-05-27-15h11m55s710](https://1.bp.blogspot.com/-Xup153Qqz1Y/Xs5sMM2TG-I/AAAAAAAAMX4/F53rTArN5DY52yqdhvBBjKQLKUTkQpeHgCLcBGAsYHQ/s400/vlcsnap-2020-05-27-15h11m55s710.png)
![vlcsnap-2020-05-27-15h12m55s580 vlcsnap-2020-05-27-15h12m55s580](https://1.bp.blogspot.com/-3a_Id4U13K4/Xs5sOUMxw6I/AAAAAAAAMX8/_tWr4BX1lIkXqNYrrkPkbfUv8voIXVdbgCLcBGAsYHQ/s400/vlcsnap-2020-05-27-15h12m55s580.png)
![vlcsnap-2020-05-27-15h13m35s228 vlcsnap-2020-05-27-15h13m35s228](https://1.bp.blogspot.com/-24qSAMLaJ1E/Xs5sOwbGTMI/AAAAAAAAMYE/CuRWPBXTsa4VwejWXoRjQNyX8ECyGKiuQCLcBGAsYHQ/s400/vlcsnap-2020-05-27-15h13m35s228.png)
![vlcsnap-2020-05-27-15h17m45s705 vlcsnap-2020-05-27-15h17m45s705](https://1.bp.blogspot.com/-b8yw5_3azG0/Xs5sOti3mkI/AAAAAAAAMYA/m2Haw1d-v5c29TgK7_MKRB12hnhb9prqgCLcBGAsYHQ/s400/vlcsnap-2020-05-27-15h17m45s705.png)
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-O1bFZIv4d7g/Ux1-Lq1jtkI/AAAAAAAFSkg/NaUGHZ0mNto/s72-c/New+Picture+(15).png)
WALIOSOMA USSR WAMPONGEZA BALOZI MPYA WA MALAYSIA DKT. AZIZI MRIMA
KATIKA SHEREHE HIYO ILIYOANZA SAA 12.30 JIONI HADI SAA 5.45 USIKU, WASOMI HAO WAKIONESHA IMANI KUBWA KWA DTR. AZIZI MRIMA KWA KUMPONGEZA NA KUMPA ZAWADI KWA KUTEULIWA KWAKE KUWA BALOZI WA TANZANIA NNCHINI MALAYSIA NA KUAHIDI KUMPA USHIRIKIANO WA KARIBU KATIKA KAZI ZAKE ZA...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-o-iftunf9m0/Xs5sKoVfHuI/AAAAAAAAMX0/-u54N-33fpgWuVSJCHe0Hoeif2-7HiXjQCLcBGAsYHQ/s72-c/1.png)
WAKULIMA WILAYA YA IKUNGI WAMPONGEZA RAIS DKT. JOHN MAGUFULI KWA MFUMO WA STAKABADHI GHALANI
![](https://1.bp.blogspot.com/-o-iftunf9m0/Xs5sKoVfHuI/AAAAAAAAMX0/-u54N-33fpgWuVSJCHe0Hoeif2-7HiXjQCLcBGAsYHQ/s640/1.png)
![](https://1.bp.blogspot.com/-N-jaXoNDBDs/Xs5sIumtuUI/AAAAAAAAMXs/PTznSJOSvE8p_T7IGPMs9oIwQhmGr-LtQCLcBGAsYHQ/s640/2.png)
![](https://1.bp.blogspot.com/-kXl-FC5nBwk/Xs5sJxecqkI/AAAAAAAAMXw/Soa0dyXhhgIU2dHr8e6ASbEn0TVNb5dzACLcBGAsYHQ/s640/vlcsnap-2020-05-27-15h10m19s748.png)
![](https://1.bp.blogspot.com/-Xup153Qqz1Y/Xs5sMM2TG-I/AAAAAAAAMX4/F53rTArN5DY52yqdhvBBjKQLKUTkQpeHgCLcBGAsYHQ/s640/vlcsnap-2020-05-27-15h11m55s710.png)
![](https://1.bp.blogspot.com/-3a_Id4U13K4/Xs5sOUMxw6I/AAAAAAAAMX8/_tWr4BX1lIkXqNYrrkPkbfUv8voIXVdbgCLcBGAsYHQ/s640/vlcsnap-2020-05-27-15h12m55s580.png)
![](https://1.bp.blogspot.com/-24qSAMLaJ1E/Xs5sOwbGTMI/AAAAAAAAMYE/CuRWPBXTsa4VwejWXoRjQNyX8ECyGKiuQCLcBGAsYHQ/s640/vlcsnap-2020-05-27-15h13m35s228.png)
![](https://1.bp.blogspot.com/-b8yw5_3azG0/Xs5sOti3mkI/AAAAAAAAMYA/m2Haw1d-v5c29TgK7_MKRB12hnhb9prqgCLcBGAsYHQ/s640/vlcsnap-2020-05-27-15h17m45s705.png)
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-cxEkuhwJ4C4/VEderkB5bYI/AAAAAAADKW8/6EXKRcBCrS0/s72-c/1.jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AKUTANA NA RAIS WA MMI BINGWA WA MASUALA YA UTAWALA NA UONGOZI KUTOKA BAHAMAS, DKT. MYLES MUNROE
![](http://4.bp.blogspot.com/-cxEkuhwJ4C4/VEderkB5bYI/AAAAAAADKW8/6EXKRcBCrS0/s1600/1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/--d6XXkK-utU/VEderpfQFgI/AAAAAAADKW0/PFdjSNlhjE8/s1600/2.jpg)