Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tutalipa kisasi kwa Azam-Mkwasa

KOCHA Msaidizi wa Yanga Charles Mkwasa amesema kuna uwezekano mkubwa wa kushinda katika mechi ya ngao ya jamii dhidi ya Azam FC ikiwa watafanya maandalizi mazuri.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Azam, KCCA ni kisasi

AZAM leo itakuwa uwanjani kumenyana na KCCA ya Uganda katika mechi ya nusu fainali ya michuano ya Kombe la Kagame itakayochezwa kwenye Uwanja wa Taifa Dar es Salaam.

 

11 years ago

Mwananchi

Azam, Yanga vita ya kisasi

‘Leo ndiyo leo, asiye na mwana aelekee jiwe’, mabingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Azam FC watakuwa na kibarua kizito mbele ya Yanga ya Marcio Maximo katika mchezo wa Ngao ya Jamii kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.

 

10 years ago

Mwananchi

UHONDO WA LIGI KUU: Simba na kisasi, Yanga, Azam kasi

Ligi Kuu Bara inaendelea leo kwa viwanja saba kuwaka moto,  huku bingwa mtetezi, Yanga ikishuka uwanjani kuikabili Prisons, wakati Azam  ikiwa ugenini Kambarage,  Shinyanga kuumana na Stand United  huku Simba  ikitaka kuendeleza ubabe Tanga na kulipa kisasi kwa Mgambo JKT kwenye Uwanja wa Mkwakani, Tanga.

 

10 years ago

Habarileo

Mkwasa alia na Yanga, Azam FC

KUSHINDWA kuwepo kambini kwa wachezaji wa Yanga na Azam FC kumeharibu ratiba ya maandalizi ya timu ya taifa, Taifa Stars, inayojiandaa kwa mchezo wa kufuzu Kombe la Mataifa ya Afrika dhidi ya Nigeria.

 

9 years ago

MillardAyo

Kutoka Zenji Mtibwa Sugar washindwa kulipa kisasi dhidi ya Azam FC (+Pichaz)

Michuano ya Kombe la Mapinduzi imeendelea tena usiku wa January 3 baada ya kuchezwa mchezo wa awali kati ya Dar Es Salaam Young African ya Tanzania bara dhidi ya Mafunzo FC ya visiwani Zanzibar, baada ya mchezo huo kupigwa na Yanga kuibuka na ushindi wa 3-0. Usiku wa January 3 ulichezwa mchezo wa pili wa […]

The post Kutoka Zenji Mtibwa Sugar washindwa kulipa kisasi dhidi ya Azam FC (+Pichaz) appeared first on TZA_MillardAyo.

 

11 years ago

Mwananchi

Mwigulu: Tutalipa deni la Sh8.4 Tril

Serikali imesema inaandaa utaratibu wa jinsi ia kulipa madeni inayodaiwa na taasisi za hifadhi ya jamii pamoja na Bohari ya Dawa (MSD).

 

10 years ago

Raia Mwema

Lowassa analipiza kisasi kwa Chadema?

NIANZE kwa kuwaomba radhi wasomaji wangu kwamba sitaonekana tena katika safu hii kuanzia toleo li

Johnson Mbwambo

 

10 years ago

Mwananchi

Waliouawa kwa kulipa kisasi watambuliwa

Majina na miili ya watu saba kati ya tisa wanaodaiwa kuuawa katika mapigano ya jamii mbili za wafugaji wa Kabila la Wabarbag na Wasukuma katika Kijiji cha Kihale wilayani hapa, mkoani Pwani yametambuliwa huku miili hiyo ikiwa imeharibika vibaya.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani