Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mkwasa alia na Yanga, Azam FC

KUSHINDWA kuwepo kambini kwa wachezaji wa Yanga na Azam FC kumeharibu ratiba ya maandalizi ya timu ya taifa, Taifa Stars, inayojiandaa kwa mchezo wa kufuzu Kombe la Mataifa ya Afrika dhidi ya Nigeria.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Habarileo

Mkwasa alia mabao machache

KOCHA wa timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars, Charles Boniface Mkwasa anasema pamoja na kupata ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Malawi, lakini lengo lao halikutimia kwani walitaka kushinda mabao mengi.

 

10 years ago

Mwananchi

Mkwasa alia msingi mbovu

 Mtaalamu wa Elimu na Mafunzo wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Boniface Mkwasa amesema kuwa kuporomoka kwa soka la Tanzania kunachangiwa na mfumo mbovu uliopo kwenye klabu.

 

10 years ago

Habarileo

Tutalipa kisasi kwa Azam-Mkwasa

KOCHA Msaidizi wa Yanga Charles Mkwasa amesema kuna uwezekano mkubwa wa kushinda katika mechi ya ngao ya jamii dhidi ya Azam FC ikiwa watafanya maandalizi mazuri.

 

9 years ago

Habarileo

Kocha Azam alia na waamuzi

KOCHA wa Azam FC, Stewart Hall amelitaka Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), kuwa makini na waamuzi akidai wanaharibu mechi za Ligi Kuu kwa kuzipendelea baadhi ya timu. Hall aliyasema hayo baada ya mchezo dhidi ya Yanga juzi uliomalizika kwa sare ya 1-1.

 

9 years ago

Mwananchi

Mkwasa aiacha rasmi Yanga

Yametimia. Ni dhahiri kocha msaidizi wa Yanga, Charles Boniface Mkwasa ameachana na klabu hiyo.

 

11 years ago

Mwananchi

Mkwasa achimba mkwara Yanga

>Kocha msaidizi wa Yanga, Charles Mkwasa jana alianza kazi rasmi ya kukinoa kikosi hicho na kusisitiza kuwa mchezaji asiyekuwa na nidhamu hana nafasi katika timu yake.

 

11 years ago

GPL

MKWASA, PONDAMALI, KUINOA YANGA

Uongozi wa Young Africans SC umepata warithi wa nafasi tatu za benchi la ufundi (Charles Boniface Mkwasa, Juma Pondamali na Dr. Suphian Juma), huku wakiendelea na mchakato kumpata kocha mkuu ambaye atachukua nafasi ya mholanzi Ernie Brandts aliyesitishiwa mkataba wake mwishoni mwa mwaka 2013. Charles Boniface Mkwasa 'Master' aliyekua kocha mkuu wa timu ya Ruvu Shooting katika mzunguko wa kwanza anachukua nafasi ya aliyekua kocha...

 

11 years ago

Mwananchi

Mkwasa akabidhiwa Yanga rasmi

Kocha mpya msaidizi wa Yanga, Charles Mkwasa na mwenzake wa makipa, Juma Pondamali watatambulishwa kwa wachezaji leo asubuhi kwenye Uwanja wa Kijitonyama (Bora), Dar es Salaam.

 

9 years ago

Habarileo

Yanga yapiga ramli msaidizi wa Mkwasa

UONGOZI wa Yanga bado unaendelea kufanya utafiti wa kumtafuta mbadala wa Charles Mkwasa kwa ajili ya kusaidiana na Kocha Mkuu Hans Pluijm (pichani) kukinoa kikosi hicho.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani