Mkwasa alia msingi mbovu
 Mtaalamu wa Elimu na Mafunzo wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Boniface Mkwasa amesema kuwa kuporomoka kwa soka la Tanzania kunachangiwa na mfumo mbovu uliopo kwenye klabu.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo19 Aug
Mkwasa alia na Yanga, Azam FC
KUSHINDWA kuwepo kambini kwa wachezaji wa Yanga na Azam FC kumeharibu ratiba ya maandalizi ya timu ya taifa, Taifa Stars, inayojiandaa kwa mchezo wa kufuzu Kombe la Mataifa ya Afrika dhidi ya Nigeria.
9 years ago
Habarileo08 Oct
Mkwasa alia mabao machache
KOCHA wa timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars, Charles Boniface Mkwasa anasema pamoja na kupata ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Malawi, lakini lengo lao halikutimia kwani walitaka kushinda mabao mengi.
10 years ago
Michuzi12 Apr
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-pMqFNOc6lzM/ViaVCJPAElI/AAAAAAAIBXU/isyw8IdMW7g/s72-c/unnamed%2B%25286%2529.jpg)
Pinda aweka jiwe la msingi jiwe la Msingi la Jengo la makazi na Biashara la NHC Place eneo la Victoria jijini Dar es slaam
![](http://2.bp.blogspot.com/-pMqFNOc6lzM/ViaVCJPAElI/AAAAAAAIBXU/isyw8IdMW7g/s640/unnamed%2B%25286%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-ug4aTviLuwA/ViaVCPmw0HI/AAAAAAAIBXc/P4SwbQ-tYDs/s640/unnamed%2B%25287%2529.jpg)
10 years ago
Habarileo02 Nov
JK- Utawala wa soka mbovu
RAIS Jakaya Kikiwete amesema timu za Taifa na Klabu zinashindwa kufanya vizuri katika michuano ya kimataifa kutokana na utawala mbovu wa mpira. Akizungumza jana kwenye uzinduzi wa ujenzi wa kituo cha michezo cha Jakaya M. Kikwete Youth Park kinachojengwa kwa udhamini wa Sunderland na Kampuni ya kufua umeme ya Symbion, eneo la Kidongo Chekundu Dar es Salaam, Rais Kikwete alisema kwa muda mrefu timu za soka zimekuwa hazifanyi vizuri kwa sababu uongozi umeshindwa kutilia mkazo klabu kuwekeza...
11 years ago
Mwananchi17 Feb
‘Barabara Chalinze-Mlandizi mbovu’
10 years ago
Mwananchi18 Jan
Kingunge: Katiba mbovu inadumaza maendeleo
11 years ago
Tanzania Daima03 Jun
Katiba mbovu imechangia umasikini — CHADEMA
CHAMA Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kimesema ubovu wa katiba iliyopo pamoja na sheria zake ndizo zinazosababisha umasikini kwa Watanzania. Kauli hiyo imetolewa mjini hapa jana na Mkurugenzi wa Sera...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/*tHd*uipNJBNcuAULv2qdXbFhFV1IWaznV*cfE2Nscc4KfA4sYnZtrsOVK73ZBQQjwHL*edly6hdJWoz4F0Dwl92B2SeMhr9/2AJALI3.jpg?width=650)
BARABARA MBOVU ZAVURUGA USAFIRI MBAGALA