Kingunge: Katiba mbovu inadumaza maendeleo
Uchumi wa Tanzania utaendelea kudumaa kama itaendelea kung’ang’ania Katiba isiyokuwa na misingi bora ya maendeleo ya uchumi. Hayo yalisemwa jana na mwanasiasa mkongwe nchini, Kingunge Ngombale-Mwiru mjini Dar es Salaam, alipokuwa akizungumza katika mkutano ulioandaliwa na Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, kwa kushirikiana na Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF) .
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima02 Apr
‘Migogoro ya ardhi inadumaza maendeleo’
BAADHI ya wakazi wa mji wa Chalinze wilayani Bagamoyo, Pwani wamesema migogoro kati ya wakulima na wafugaji ni chanzo cha kudumaza maendeleo katika maeneo yao. Wananchi hao katika vijiji tofauti...
11 years ago
Tanzania Daima03 Jun
Katiba mbovu imechangia umasikini — CHADEMA
CHAMA Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kimesema ubovu wa katiba iliyopo pamoja na sheria zake ndizo zinazosababisha umasikini kwa Watanzania. Kauli hiyo imetolewa mjini hapa jana na Mkurugenzi wa Sera...
11 years ago
Mwananchi13 Mar
Sitta: Katiba nzuri ni dawa ya kuua sheria mbovu
10 years ago
Habarileo13 Oct
Katiba Inayopendekezwa ni bora Afrika-Kingunge
MWANASIASA mkongwe nchini, Kingunge Ngombale- Mwiru amewataka vijana wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuisoma Katiba mpya Inayopendekezwa na kuielewa, kwani Katiba hiyo ni bora kuliko Katiba nyingi Afrika.
11 years ago
Mwananchi24 Mar
Tunatengeneza Katiba ya kugawana madaraka-Kingunge
11 years ago
Mwananchi28 Feb
Mtikila, Makaidi, Kingunge ‘waliteka’ Bunge la Katiba
11 years ago
Habarileo21 Mar
Kingunge ataka katiba yenye haki za kiuchumi
MWANASIASA nguli nchini, Kingunge Ngombale-Mwirlu ameshauri kuandikwe katiba yenye haki za kiuchumi ili kuleta maendeleo ya wananchi. Kingunge alieleza hayo wakati akichangia kwenye semina ya wajumbe wa bunge hilo juu ya uzoefu wa Kenya kwenye kupata katiba mpya ulioelezwa na Mwanasheria Mkuu mstaafu wa nchi hiyo aliyekaa madarakani kwa miaka 21 na kushiriki kwa karibu katika uandishi wa katiba mpya, Amos Wako.
9 years ago
Mwananchi04 Oct
Kingunge ajiondoa CCM, asema chama kimekiuka katiba
11 years ago
GPLKINGUNGE: WANAOPONDA UTEUZI WANGU BUNGE LA KATIBA WAMEUMBUKA