Tunatengeneza Katiba ya kugawana madaraka-Kingunge
Mjumbe wa Bunge la Katiba, Kingunge Ngombale Mwiru, ameishambulia Rasimu ya Pili ya Katiba iliyowasilishwa na Jaji Joseph Warioba kwa kusema “imejaa maneno ya kugawana vyeo kwa watawalaâ€.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili22 Feb
Mahasimu wa Sudan Kusini wamesaini makubaliano ya kugawana madaraka, hii ina maana gani?
10 years ago
Mwananchi28 Dec
Madaraka ya Bunge sasa, katika Rasimu ya Katiba Mpya na Katiba inayopendekezwa
10 years ago
KwanzaJamii15 Aug
MADARAKA YA RAIS YAWAGAWA WAJUMBE BUNGE LA KATIBA
10 years ago
Mwananchi18 Jan
Kingunge: Katiba mbovu inadumaza maendeleo
10 years ago
Habarileo13 Oct
Katiba Inayopendekezwa ni bora Afrika-Kingunge
MWANASIASA mkongwe nchini, Kingunge Ngombale- Mwiru amewataka vijana wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuisoma Katiba mpya Inayopendekezwa na kuielewa, kwani Katiba hiyo ni bora kuliko Katiba nyingi Afrika.
10 years ago
Uhuru Newspaper14 Aug
Wajumbe Bunge la Katiba waridhia madaraka ya Rais kupunguzwa
Na Waandishi Wetu, Dodoma
BAADHI ya wajumbe wa kamati namba 12, wamekubaliana kupunguza majukumu ya Rais na kutengwa kwa orodha ya viongozi ambao Rais anaweza kuwateua endapo atafanya uteuzi.
Akizungumza na waandishi wa habari mjini hapa jana, Mwenyekiti wa Kamati hiyo, Paul Kimiti, alisema kamati yake pia imeridhia utaratibu wa uraia pacha.
Kimiti alisema wajumbe wa kamati yake wameona wapunguze majukumu ya Rais, ikiwa ni pamoja na kumtengea orodha ya viongozi, ambao anaweza kuwateua wakati...
11 years ago
Mwananchi28 Feb
Mtikila, Makaidi, Kingunge ‘waliteka’ Bunge la Katiba
11 years ago
Habarileo21 Mar
Kingunge ataka katiba yenye haki za kiuchumi
MWANASIASA nguli nchini, Kingunge Ngombale-Mwirlu ameshauri kuandikwe katiba yenye haki za kiuchumi ili kuleta maendeleo ya wananchi. Kingunge alieleza hayo wakati akichangia kwenye semina ya wajumbe wa bunge hilo juu ya uzoefu wa Kenya kwenye kupata katiba mpya ulioelezwa na Mwanasheria Mkuu mstaafu wa nchi hiyo aliyekaa madarakani kwa miaka 21 na kushiriki kwa karibu katika uandishi wa katiba mpya, Amos Wako.
9 years ago
Mwananchi04 Oct
Kingunge ajiondoa CCM, asema chama kimekiuka katiba