Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Katiba mbovu imechangia umasikini — CHADEMA

CHAMA Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kimesema ubovu wa katiba iliyopo pamoja na sheria zake ndizo zinazosababisha umasikini kwa Watanzania. Kauli hiyo imetolewa mjini hapa jana na Mkurugenzi wa Sera...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

'Migogoro Chadema ishara ya utawala mbovu'

MIGOGORO inayoendelea ndani ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), imedaiwa kuwa ni ishara ya utawala mbovu, unaotokana na udikteta, udini na ukabila vinavyosababisha chama kukosa kuaminiwa na wananchi.

 

10 years ago

Mwananchi

Kingunge: Katiba mbovu inadumaza maendeleo

Uchumi wa Tanzania utaendelea kudumaa kama itaendelea kung’ang’ania Katiba isiyokuwa na misingi bora ya maendeleo ya uchumi. Hayo yalisemwa jana na mwanasiasa mkongwe nchini, Kingunge Ngombale-Mwiru mjini Dar es Salaam, alipokuwa akizungumza katika mkutano ulioandaliwa na Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, kwa kushirikiana na Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF) .

 

10 years ago

Habarileo

Mwandosya: Katiba itamaliza umasikini

MJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba, Profesa Mark Mwandosya amesema ifikapo mwaka 2055, Tanzania haitakuwa tena nchi masikini.

 

11 years ago

Mwananchi

Sitta: Katiba nzuri ni dawa ya kuua sheria mbovu

Baada ya Kamati ya Uongozi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kumpitisha Waziri wa Afrika Mashariki, Samuel Sitta kugombea nafasi ya uenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba, jana idadi kubwa ya wajumbe walimuunga mkono na kumpa kura 487 kuongoza Bunge hilo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Facebook imechangia ongezeko la talaka China

Maafisa nchini Uchina wanaulaumu mtandao wa kijamii wa Facebook kwa ongezeko la idadi ya talaka nchini humo.

 

11 years ago

Michuzi

Viongozi wa Siasa Muache Uswahili mtupatie katiba ya watu wote siyo ya CCM,AU CHADEMA,AU CUFU TUNATAKA KATIBA.

Mheshimiwa michuzi tunashukulu sana kwa kazi yako ya kutujulisha yanayoendelea TANZANIA leo naomba unipe nafasi niweke ya moyoni mwangu na maoni yangu kuhusu huu mstakabali wa kupata katiba ya Jamuhuri ya muungano wa Tanzania, mengi yamekuwa yakisemwa sana kuhusu hii katiba au ni muundo ghani wa muungano tunaoutaka,watu wengi na wana siasa wamesahu kwamba muungano huu na katiba hii ya zamani ndio umetufanya tuwe na undungu  na pia tuwe na amani mpaka hapa tulipo watu...

 

11 years ago

TheCitizen

Chadema says Sitta not sincere on Katiba

Chadema yesterday told off the Constituent Assembly chairman Samuel over the meeting he was reportedly planning later in the month to try to reach a consensus on the stalled Katiba review process.

 

11 years ago

Tanzania Daima

CHADEMA: CCM inavuruga katiba

MWENYEKITI wa Vijana wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), John Heche, amesema kuwa chama cha siasa, taasisi, asasi yoyote ya kiraia kuweka msimamo wake kwenye hatua ya sasa ya...

 

11 years ago

Habarileo

Chadema: Katiba mpya itapatikana

Katibu Mkuu wa Chadema, Dk Willibrod SlaaCHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimesema Katiba mpya ya Tanzania itapatikana na kusisitiza kuwa suala la kundi la wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba linalounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) kurejea bungeni, linategemea utekelezaji wa masharti yao.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani